Obama atoa fundisho kwa Magufuli

Obama atoa fundisho kwa Magufuli

Kweli ukisikia kuishiwa hoja ndo huku! Kitu kinachoitwa ushauri si amri wala si kitu cha lazima kutekelezwa hususani pale mshauri anapotoa ushauri ambao hakuombwa bila hata ya kujua anae mshauri kwa wakati huo anawaza nini au anataka kufanya nini? Siioni mantiki ya vijana wa DJ kua busy na kumshauri Raisi ilihali wakijua kua Raisi anao washauri wa kutosha tena wanaolipwa kwa kazi hiyo badala yake wangeelekeza ushauri wa kwa DJ maana inaonyesha hana mshauri yeyote maana mpaka mbeba mikoba wake kapotea bila yeye kujua kapotelea wapi na kwanini apotee?
Pale mheshimiwa anapokuwa na washauri lakini BADALA ya yeye kushauriwa, yeye ndio anakuwa mshauri [emoji23][emoji23]
 
Obama naye ni intelectual? Huyo Obama maisha yake yote kasaidiwa na Affirmative action ambayo ni quota system USA, mpka uraisi wenyewe kaupata shauri ya quota system, kwa maana nyingine ni upendeleo maalumu wanaopewa watu weusi nchini USA, hivyo hawashindanishwi sawa na jamii ya watu wengine kama Waasia,Wazungu na wengineo!

41ZiflDe7WL.jpg
Ulicho ONGEA SIO kweli!
Obama alikwenda Private high school Panahou-Hawaii akilipiwa na bibi yake aliyekuwa msomi ,na kuwa mwanafunzi bora darasani na kwenda Acc College na baadae Columbia College!Kote huko akafanya vyema na baadae kwenda HAVARD.Obama alichaguliwa kuwa Rais wa serikali ya wanafunzi kitivo cha sheria Havard,na kuwa minority wa kwanza kuwa Rais wa ktk miaka zaidi ya 400 ya chuo hicho bora zaidi duniani!

Hamna AFFIRMATIVE ACTION yyt inyotumika kumchagua Rais wa USA,Obama kashinda toka kura za maoni wapiga kura asilimia kubwa wazungu na baadae uchaguzi mkuu 70% ya wapiga kura wazungu kwa uwezo wake sio rangi yake!Obama ni mmoja wa viongozi wenye uwezo mkubwa kuongoza dunia hii kupata kutokea!

Kama affirmative action inakupa U Rais wa US mbona akina Jesse Jackson walipigwa hata kura za maoni!Obama kavunja records mbalimbali hapa US ina maana kote huko anaonewa huruma?
 
Sio lazima ajifuze kwa obama hata jpm kuna marais wanalo la kujifunza kwake
Siyo lazima ndiyo, lakini ni vema akajifunza kwa Obama na wengine wenye publications muhimu kwa jamii.
Hakuna anayekataa watu kujifunza kwa mkulu waonapo kuna cha kujifunza.
 
Obama naye ni intelectual? Huyo Obama maisha yake yote kasaidiwa na Affirmative action ambayo ni quota system USA, mpka uraisi wenyewe kaupata shauri ya quota system, kwa maana nyingine ni upendeleo maalumu wanaopewa watu weusi nchini USA, hivyo hawashindanishwi sawa na jamii ya watu wengine kama Waasia,Wazungu na wengineo!

41ZiflDe7WL.jpg
Utetezi wako kwa Muhishimiwa hauna mashiko
 
Back
Top Bottom