Uko sahihi, kwa tukio la Minnesota Polisi wamekosea kabisa..!! I was trying to generalise HALI NA TABIA HALISI YA BLACKS walio U.S.A hasa ambao hawajaenda hadi chuo au Chuo Kikuu na kupata Elimu vema... ni wahuni na wakorofi sana, hili lazima tuseme na akimiliki silaha ndio hapo hasikii la mtu yeyote...!! But ukichukua issue moja ya Minnesote kweli polisi wana kosa la wazi..
But let me tell you something, sbb mm nimeishi U.S.A mara mbili kwa nyakati tofauti, nikiwa chuoni Florida, Fort Lauderdale, U.S.A na pia nikaenda kwa mafunzo tena kuongeza elimu.. UKIWA UNAENDESHA GARI U.S.A... polisi akikukamata kwa kosa lolote lile, before hajakwambia chochote kile, ur two hands must be on STEERING WHEEL... hii ni must...!! Kisha polisi officer
atakuja yuko armed, atakuangalia machoni kwa umakini sana sana na mikono yako ilipo, kisha akifika, atakusalimia, atakwambia naomba licence yako..ndipo unatakiwa sasa utoe mikono yako uchukue driving licence, na si kingine..!! Mm nahisi huenda huyu jamaa wa Minnesota alianza kuchukua driving licence may be kabla polisi hajatoa amri atoe | I said NAHISI, may be | So, kama walikuwa wana taarifa ana silaha, even is becoming worse, sbb polisi akijua una miliki silaha hasa U.S.A na kabla haja kwambia leta licence yako, ukaanza kujigusa gusa ni hatari sana... mikono yako yote must be on steering wheel, na unamsubiria polisi akupe order anataka nn...!! Sometimes anakuuliza hata baada ya licence una silaha..? Sbb kule wakichukua licence wanajua kila kitu chako, kama ni mtu mkorofi wanajua kupitia driving licence ina criminal records zote hata kama ulipigana bar, ukapelekwa polisi, au ulipigana na mkeo, au any case records zako zinawekwa thru centralised system...
So, in general U.S.A masharti ya polisi na usalama C.I.A, F.B.I ni makali sana, ni kufuata orders zao tu, ukileta UBABE utayaona, wako very very sensitive vyombo vya ulinzi na usalama kule.. THEY DON'T TAKE CHANCES...!! Sbb wanajua pia raia wengi wanamiliki silaha pia...
In general, blacks ambao hawajaenda shule hadi level ya chuo, wengi vijana wakorofi sana... mm nawajua, na wababe mno.. One day, utaja niambia