Obama aikosoa vikali Israel; aiambiia: Wewe ndiye sababu ya vita vya Ghaza na maafa ya Wapalestina

Malaria 2

JF-Expert Member
Oct 17, 2023
2,646
3,936

Nov 05, 2023 06:50 UTC

  • Obama aikosoa vikali Israel; aiambiia: Wewe ndiye sababu ya vita vya Ghaza na maafa ya Wapalestina
Katika matamshi yake mapya kuhusu vita vya Ghaza, Barack Obama, rais wa zamani wa Marekani ameulaumu vikali utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema kuwa ndio unaobeba lawama za kutokea mashambulizi ya HAMAS na maafa yanayowatesa Wapalestina hasa wa Ghaza hivi sasa.
Kwa mujibu wa shirika la habari la Mehra ambalo limenukuu taarifa hiyo kutoka kwenye tovuti ya al Mash'had al Yamani, Barack Obama amesema kuwa, utawala wa Kizayuni ndio unaobeba dhima ya hali ya hivi sasa na maafa ya kibinadamu ya miaka hiyo miaka iliyopita huko Palestina.
Amesema hayo katika mahojiano aliyofanyiwa na gazeti la Politico la nchini Marekani na kuonya kwamba, kuendelea kwa vita huko Ghaza kunatubebesha majukumu sisi sote; sote tunalaumika kutokana na hali hiyo na ni wajibu wetu tuwajibike.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa, katika mahojiano yake hayo Obama ametahadharisha kuhusu madhara ya kupuuzwa vita kati ya Israel na Hamas na kutoa mwito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kukomesha vita hivyo.
4c3radbb41f1672e5aj_800C450.jpg
Hakuna kilichobaki salama Ghaza. Wazayuni wanavunja Misikiti, maskuli, mahospitali, makanisana kila kitu

Amesema, haungi mkono shambulio la Hamas la tarehe 7 Oktoba, lakini mauaji makubwa yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel hivi sasa na maafa wanayopata Wapalestina hasa wa Ukanda wa Ghaza, hayavumiliki.
Aidha amekiri kwamba maafisa wote wa Marekani wanahusika katika kujitokeza hali ya hivi sasa ya Ghaza, na kusisitiza kwa kusema: "Hakuna mikono ya mtu iliyo safi. Ikiwa unataka kutatua tatizo, unapaswa kuzingatia ukweli wote."
Rais huyo wa zamani wa Marekani pia amesema: Lazima tukubali kwamba, sote tuna jukumu na tunapaswa kulaumiwa kwa kiasi fulani. Bado ninawaza, ningefanya nini wakati wa urais wangu ili kudumisha amani? Ingawa nilijaribu, lakini juhudi hizi hazikufaulu.
 

Nov 05, 2023 06:50 UTC

  • Obama aikosoa vikali Israel; aiambiia: Wewe ndiye sababu ya vita vya Ghaza na maafa ya Wapalestina
Katika matamshi yake mapya kuhusu vita vya Ghaza, Barack Obama, rais wa zamani wa Marekani ameulaumu vikali utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema kuwa ndio unaobeba lawama za kutokea mashambulizi ya HAMAS na maafa yanayowatesa Wapalestina hasa wa Ghaza hivi sasa.
Kwa mujibu wa shirika la habari la Mehra ambalo limenukuu taarifa hiyo kutoka kwenye tovuti ya al Mash'had al Yamani, Barack Obama amesema kuwa, utawala wa Kizayuni ndio unaobeba dhima ya hali ya hivi sasa na maafa ya kibinadamu ya miaka hiyo miaka iliyopita huko Palestina.
Amesema hayo katika mahojiano aliyofanyiwa na gazeti la Politico la nchini Marekani na kuonya kwamba, kuendelea kwa vita huko Ghaza kunatubebesha majukumu sisi sote; sote tunalaumika kutokana na hali hiyo na ni wajibu wetu tuwajibike.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa, katika mahojiano yake hayo Obama ametahadharisha kuhusu madhara ya kupuuzwa vita kati ya Israel na Hamas na kutoa mwito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kukomesha vita hivyo.
4c3radbb41f1672e5aj_800C450.jpg
Hakuna kilichobaki salama Ghaza. Wazayuni wanavunja Misikiti, maskuli, mahospitali, makanisana kila kitu

Amesema, haungi mkono shambulio la Hamas la tarehe 7 Oktoba, lakini mauaji makubwa yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel hivi sasa na maafa wanayopata Wapalestina hasa wa Ukanda wa Ghaza, hayavumiliki.
Aidha amekiri kwamba maafisa wote wa Marekani wanahusika katika kujitokeza hali ya hivi sasa ya Ghaza, na kusisitiza kwa kusema: "Hakuna mikono ya mtu iliyo safi. Ikiwa unataka kutatua tatizo, unapaswa kuzingatia ukweli wote."
Rais huyo wa zamani wa Marekani pia amesema: Lazima tukubali kwamba, sote tuna jukumu na tunapaswa kulaumiwa kwa kiasi fulani. Bado ninawaza, ningefanya nini wakati wa urais wangu ili kudumisha amani? Ingawa nilijaribu, lakini juhudi hizi hazikufaulu.
Yeye alifanya nini Libya?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 

Nov 05, 2023 06:50 UTC

  • Obama aikosoa vikali Israel; aiambiia: Wewe ndiye sababu ya vita vya Ghaza na maafa ya Wapalestina
Katika matamshi yake mapya kuhusu vita vya Ghaza, Barack Obama, rais wa zamani wa Marekani ameulaumu vikali utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema kuwa ndio unaobeba lawama za kutokea mashambulizi ya HAMAS na maafa yanayowatesa Wapalestina hasa wa Ghaza hivi sasa.
Kwa mujibu wa shirika la habari la Mehra ambalo limenukuu taarifa hiyo kutoka kwenye tovuti ya al Mash'had al Yamani, Barack Obama amesema kuwa, utawala wa Kizayuni ndio unaobeba dhima ya hali ya hivi sasa na maafa ya kibinadamu ya miaka hiyo miaka iliyopita huko Palestina.
Amesema hayo katika mahojiano aliyofanyiwa na gazeti la Politico la nchini Marekani na kuonya kwamba, kuendelea kwa vita huko Ghaza kunatubebesha majukumu sisi sote; sote tunalaumika kutokana na hali hiyo na ni wajibu wetu tuwajibike.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa, katika mahojiano yake hayo Obama ametahadharisha kuhusu madhara ya kupuuzwa vita kati ya Israel na Hamas na kutoa mwito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kukomesha vita hivyo.
4c3radbb41f1672e5aj_800C450.jpg
Hakuna kilichobaki salama Ghaza. Wazayuni wanavunja Misikiti, maskuli, mahospitali, makanisana kila kitu

Amesema, haungi mkono shambulio la Hamas la tarehe 7 Oktoba, lakini mauaji makubwa yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel hivi sasa na maafa wanayopata Wapalestina hasa wa Ukanda wa Ghaza, hayavumiliki.
Aidha amekiri kwamba maafisa wote wa Marekani wanahusika katika kujitokeza hali ya hivi sasa ya Ghaza, na kusisitiza kwa kusema: "Hakuna mikono ya mtu iliyo safi. Ikiwa unataka kutatua tatizo, unapaswa kuzingatia ukweli wote."
Rais huyo wa zamani wa Marekani pia amesema: Lazima tukubali kwamba, sote tuna jukumu na tunapaswa kulaumiwa kwa kiasi fulani. Bado ninawaza, ningefanya nini wakati wa urais wangu ili kudumisha amani? Ingawa nilijaribu, lakini juhudi hizi hazikufaulu.

Wanacheza na akili za wajinga,endeleeni kujifariji ila gaza inaenda kuwa chini ya israel.
 
Mnafiki mkubwa

Akiwa madarajani aliwahi tamka hakuna mtu mwongo kama Benjamin ,hivyo nilitarajia aseme kile ambacho benja Kila walivyoongea atatekeleza,aliitikia hakutekeleza
 

Nov 05, 2023 06:50 UTC

  • Obama aikosoa vikali Israel; aiambiia: Wewe ndiye sababu ya vita vya Ghaza na maafa ya Wapalestina
Katika matamshi yake mapya kuhusu vita vya Ghaza, Barack Obama, rais wa zamani wa Marekani ameulaumu vikali utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema kuwa ndio unaobeba lawama za kutokea mashambulizi ya HAMAS na maafa yanayowatesa Wapalestina hasa wa Ghaza hivi sasa.
Kwa mujibu wa shirika la habari la Mehra ambalo limenukuu taarifa hiyo kutoka kwenye tovuti ya al Mash'had al Yamani, Barack Obama amesema kuwa, utawala wa Kizayuni ndio unaobeba dhima ya hali ya hivi sasa na maafa ya kibinadamu ya miaka hiyo miaka iliyopita huko Palestina.
Amesema hayo katika mahojiano aliyofanyiwa na gazeti la Politico la nchini Marekani na kuonya kwamba, kuendelea kwa vita huko Ghaza kunatubebesha majukumu sisi sote; sote tunalaumika kutokana na hali hiyo na ni wajibu wetu tuwajibike.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa, katika mahojiano yake hayo Obama ametahadharisha kuhusu madhara ya kupuuzwa vita kati ya Israel na Hamas na kutoa mwito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kukomesha vita hivyo.
4c3radbb41f1672e5aj_800C450.jpg
Hakuna kilichobaki salama Ghaza. Wazayuni wanavunja Misikiti, maskuli, mahospitali, makanisana kila kitu

Amesema, haungi mkono shambulio la Hamas la tarehe 7 Oktoba, lakini mauaji makubwa yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel hivi sasa na maafa wanayopata Wapalestina hasa wa Ukanda wa Ghaza, hayavumiliki.
Aidha amekiri kwamba maafisa wote wa Marekani wanahusika katika kujitokeza hali ya hivi sasa ya Ghaza, na kusisitiza kwa kusema: "Hakuna mikono ya mtu iliyo safi. Ikiwa unataka kutatua tatizo, unapaswa kuzingatia ukweli wote."
Rais huyo wa zamani wa Marekani pia amesema: Lazima tukubali kwamba, sote tuna jukumu na tunapaswa kulaumiwa kwa kiasi fulani. Bado ninawaza, ningefanya nini wakati wa urais wangu ili kudumisha amani? Ingawa nilijaribu, lakini juhudi hizi hazikufaulu.
Maralia leo umekuja na uzi mwingine😂🤣🤣🤣🤣🤣 Kweli kichapo cha gaza kinakuchanganya
 
Okay, hebu tuzungumzie Libya kidogo, Mr Mwafrika mwenzetu Obama.
Libya si Obama, Libya ni Nicolas Sarkozy. Obama alisema kabisa yeye hakutoa wazo la Khadhafi kuuliwa ,na alisema anajuta kushindwa kuzuia hayo mauaji.Ndo maana unaona alikataa kwenda Syria kumuua Bachar Al Assad.
 
Back
Top Bottom