Oa ujue thamani ya mwanamke

Oa ujue thamani ya mwanamke

Kaka hongera sana kw ilo, unachofanya utapata dhawabu kwa mungu tena ikibid muombe mungu akufundishe namna ya kuuzidizha uo upendo kw mkeo.... Mimi ni mwanamke mwenye ndoa, sikudanganyi asilimja kubw ya wanawke wanaosaliti ndoa wnayakksa hayo kwa waume zao. Mwanaume hamdhamini mwnamke, hajali hisia zake tena wewe mkeo amezaa umemuona shujaa big uo sana,, wengi wnawchoka wake zao na kuwona wamepitwa na wakati. Faham kua kati y wanaume kumi mpo wawili tu wa dizain yako ishi na mkeo kwa akili na kumtanguliza mungu mbele. Uwe na familia yenye amani. Wengi tunayakosa hayo kakaangu
 
Hongera sana mpendwa, na mzidi kumtanguliza Mungu kwenye ndoa yenu. Msiache kumshukuru Mungu hata kama ndoa yenu ina siku moja, kuna watu walifunga ndoa, kufika kwenye honey moon tu zikavunjika, nyie kufikisha hiyo miaka kwenye ndoa ni kwa neema tu. Watu tumeshazoea na tunapenda kweli kusikia habari mbaya kuhusu ndoa, sijui kwa sababu ndoa zetu zishajifia ndo maana tunatamani na za wenzetu zijifie pia? Mtu akimsifia mkewe, utawasikia tu watabiri wa ndoa za watu "ndoa yenu bado mpya ooh huwajui wanawake wewe lazima tu atakuumiza", sasa usimsifie mkeo kwa sababu tu unahisi mbeleni atasumbua, jamaniiii. Mpende muheshimu, mjali na mthamini mkeo as if there is no tomorrow. Enjoy ndoa yako kiasi kwamba hata ukitwaliwa leo, utasema tu Mungu ahsante kwa ajili ya ndoa yangu. Hakuna maisha yasiyo na changamoto, hamuwezi tu kucheka siku zote 365, so tatizo likitokea, shirikianeni kwenye kulitatua, then uchekeni wakati ujao

Wengine hapa kuwaonyesha wake zao wanavyowajali au kuwapenda watakwambia si sawa. Ila subiria sasa wanavyoicare michepuko yao mtcheew. Unampenda mkeo, just muoneshe eeh, otherwise una Mtu mwingine wa kumuoneshea. Kwa nini uishi na Mtu kwa machale/kutokumiani as if kuna kitu kibaya amekufanyia? Kwa nini uishi maisha yako kwa kutumia mifano ya walioharibu maisha yao? Ndoa ni yako, itengeneze iwe vile unavyoitaka wewe. Nawatakia maisha ya amani na furaha, zibeni masikio kwa sisi tunaoendekeza mifano ya walioshindwa. Nyie mkishindwa ndo furaha yetu, maana mtaongeza list yetu ya walioshindwa eishh

Nimekupenda bure.
 
Mkuu ndoa bado changa sana hiyo, kuna rafiki yangu aliishi kwa amani sana kwenye ndoa. Amekuja kusalitiwa live na mkewe ndoa ikiwa na miaka 18. Mpaka mda huu naandika walishaachana!
Sikuombei mabaya la hasha! Muombe sana Mungu katika ndoa yako asije yule mwovu akawatenganisha.
Mke akikusaliti ujue kuna maumivu kavumilia akachoka upo hapo
 
Kaka hongera sana kw ilo, unachofanya utapata dhawabu kwa mungu tena ikibid muombe mungu akufundishe namna ya kuuzidizha uo upendo kw mkeo.... Mimi ni mwanamke mwenye ndoa, sikudanganyi asilimja kubw ya wanawke wanaosaliti ndoa wnayakksa hayo kwa waume zao. Mwanaume hamdhamini mwnamke, hajali hisia zake tena wewe mkeo amezaa umemuona shujaa big uo sana,, wengi wnawchoka wake zao na kuwona wamepitwa na wakati. Faham kua kati y wanaume kumi mpo wawili tu wa dizain yako ishi na mkeo kwa akili na kumtanguliza mungu mbele. Uwe na familia yenye amani. Wengi tunayakosa hayo kakaangu
Amina
 
Mke akikusaliti ujue kuna maumivu kavumilia akachoka upo hapo
Sipo hapo, miaka yote hiyo tunaishi pamoja tena kwa furaha ukiacha matatizo madogo madogo ya hapa na pale ambayo ni ya kawaida kwenye ndoa ushindwe kuniambia!?

Utakuwa taahira ww.
 
Sipo hapo, miaka yote hiyo tunaishi pamoja tena kwa furaha ukiacha matatizo madogo madogo ya hapa na pale ambayo ni ya kawaida kwenye ndoa ushindwe kuniambia!?

Utakuwa taahira ww.
Kwa hapo atakua taaira kam tu ukiambiwa unasikia... Mkuu kuna mwingine unamwambia kabisa napenda iki napenda unifanyie ivi. , siku iz mambo flan siienjoy, huna muda na mimi lkin mkuu huwez kuamini hamn hata moja utakaloona analifanya. Akifanya ni vile anavotaka yeye n kw jinsi anavotaka yeye. Sasa apo michepuko itaepukika vip mkuu
 
Kuna ombi nimeomba hapo au unajizongondoa... KILA kitu kina mabaya na mazuri yake ulienda kwenye usaili?
Umemwambia asubiri shetani aje. As if una uhakika kama shetani ataingilia ndoa yake. Basi andika mazuri, mpongeze kama wengine wanavyompongeza. Mpaka umwambie asubiri shetani aje? Kama sio kumuombea mabaya ni nin?
 
Umemwambia asubiri shetani aje. As if una uhakika kama shetani ataingilia ndoa yake. Basi andika mazuri, mpongeze kama wengine wanavyompongeza. Mpaka umwambie asubiri shetani aje? Kama sio kumuombea mabaya ni nin?
Ukweli ndio huo kataa kubali sikulazimishi.......
 
Najua hii itaonekana tofauti..

Lakini hii imenitokea live, since nimeoa nazidi kumpenda mke wangu zaidi ya kipindi tulipokua wapenzi tu kabla ya ndoa. Kipindi hicho nilikua naweza kumchukulia poa hata simu zake nilikua naweza potezea tu na nikatoka club alone.

Lakini saizi ikitokea sijamuona siku chache tu napata shida sana na weza kuita wivu wa mapenzi lakini with very good feeling.

Kipindi amejifungua akaenda kwao kupumzika kidogo nyumbani palikua ovyo sana tofauti na zamani, ningefurahia uhuru na kufanya yangu lakini nimejikuta nakua mpweke sana na nikamrudisha haraka sana.

Saizi tumepata mtoto na namuona shujaa sana kwa hali aliyopitia kipindi chote kwa ujauzito. Nimejikuta namheshimu sana bila kulazimishwa.

Sijui this feeling ni kawaida au nitofauti na kawaida?
You can say that again!!
Nimependa sana "confession" yako.
 
Natamani nikup
mmmhh tubadilishane na mume wangu baaasii!!🙂
hongera mwaya kwa kuwa mume bora kwa mkeo mko wachache ujue!
usiskize maneno ya watu penda mkeo hadi shetani aone wivu!!!!![/QU.
Natamani nikupe mke wangu ukae naye mwezi ndo ujue wengine tunayoyapata
 
Back
Top Bottom