Oa mwanamke mwenye elimu

Oa mwanamke mwenye elimu

Mimi Nina degree in science and technology management na degree in social marketing and economics management , na Masters in Love and feelings and being dump and be dumbing others , Masters in bad mouthing and sex realizing and manufacturing the product to someone I love Sasa nani ataniacha mtu kama Mimi .
 
Kwangu mimi, elimu ya sekula sio kigezo kabisa cha kuoa. Halafu sioni uhusiano wa akili na elimu ya sekula hasa ukizingatia mfumo wa elimu katika nchi yetu.

Elimu ya sekula kwangu sio kigezo katika kumchagua mke wa kuoa. Kuna vigezo muhimu mno ambavyo vikifikiwa unasema hapa kuna mke.

Na mwanamke akiwa na akili ana akili tu hata kama kaishia la nne.
 
Mimi Nina degree in science and technology management na degree in social marketing and economics management , na Masters in Love and feelings and being dump and be dumbing others , Masters in bad mouthing and sex realizing and manufacturing the product to someone I love Sasa nani ataniacha mtu kama Mimi .
Utakuja kutobolewa macho bure na hizo masters zako
 
At least awe amefika form four..narudia tena at least awe amefika form four.

As far as unajali future ya watoto wako,oa mwanamke mwenye elimu.

Usiwe mbinafsi kwa kutazama vigezo vyako kingono tu.

Oa mama wa watoto wako,

Kumbuka jinsi mke wako alivo ndio hivo pia watoto wako watakuwa.

Watoto wanarithi akili kwa mama yao ,naongea hili with experience.

Ni ushauri
Kuna wake wenye digrii na bado kulea watoto ni issue,

Mimi nashauri vijana waoe wake wenye sifa za kuitwa mama.

Japo kuna wale wadau wanaosema wanaoa wanawake wazuri, akili watatumia za mume.
 
Kipondi mimi nipo mdogo nilikuwa nataka kuwa rubani lakini baada ya miaka 25 kupita saizi nafuga kuku.
Anyway ndege ni ndege tu
Na conclude kwa kusema maisha hayana formular......ukitaka kuamini Mpitishe mwanao kwenye formular za waliofanikiwa au pita wewe uone unavoangukia pua
 
Hadi hapa naona kabisa wengi tulipotezwa na hatuku elimishwa.
So kigezo cha Elimu kiwekwe kando.
Maisha ni mtazamo wa mtu, hapa lets say uoe mwanamke mwenye maono au mtazamo chanya katika maisha

Mfano mama ambae anaeka kipaumbele makuzi ya wanae. Including elimu, afya etc huyu anamtazamo chanya

Na kuna wale wanadekeza na kulea watoto kimayai mayai hawa most wanakua hawana maono ya kesho

So elimu ya mama i think inachukua asilimia ndogo sana
 
Back
Top Bottom