Sipendi mtu akisema kama kichwa
Cha thread yako... ndo maana stinto
Kaa ni nunue ule wimbo wa Usher na
Ule mwingine wa Gwin.
Afro, kwa nini hupendi? hebu toa ufafanuzi kidogo
Nilishawahi sikia hii clip kipindi kidogo. Ni program ya kenya nadhani. Nadhani ikija Tz watakamatwa wengi. Mama ameshikwa vibaya kweli kweli. OMG. Simu zinarahisisha cheating as well as kukamatwa.
My motto... I never entertain communications na mtu ambae ni
opposite sex alafu hatuna la msingi la kuongea... ni moja ya
strategy nzuri naona.... for hakuna kitu kinajenga intimacy kama simu...