Hapo ukiweka kitelezishi alafu akabama, ukiweka mashine unakuja mwenyewe bila kuitwa!
Ningekuwa na hizo nywele ningekuwa nanyoa upara kote kuanzia juu mpaka chiniumenchekesha kipilipili
mkuu sikuhizi huoni kipilipili cha mwanamke labda uzae nae ndiyo utaona nywele za mtoto wako ni proper katani. Mambo ni Brazilian hair na kwapa ni upara kwa kwenda mbele.Duuh..
Anakipilipili hadi makwapani....
Bora hata zingekuwa laini kidogo.
Asilimia kubwa ya wazungu(wanaume) niliowaona wanaachia sana sijui kisa nini?Hata angekua na za kujaa hazina faida kwapan kuleta harufu tu
Uchafu. Ila wenzetu wengi huko unyamwezini wanapenda kufuga hiyo kitu. Nadhani ile hali ya baridi kali ni conducive kwao. Jaribu kuyafunga hapa Bongo uone kazi yake.
Mkuu ni biashara gani ilikufanya kuona makwapa ya wazungu wanaume?Asilimia kubwa ya wazungu(wanaume) niliowaona wanaachia sana sijui kisa nini?
Sure vipilipili vimebaki kwa wanaume.. tena wengine nao wanatumia creme relaxer vipilipili vimebaki kwa wasiojuamkuu sikuhizi huoni kipilipili cha mwanamke labda uzae nae ndiyo utaona nywele za mtoto wako ni proper katani. Mambo ni Brazilian hair na kwapa ni upara kwa kwenda mbele.
Mugabe alisema ukiiba nywele za mdada wa kiafrika ukamloge uchawi unampata mwanamke wa watu Brazil.Sure vipilipili vimebaki kwa wanaume.. tena wengine nao wanatumia creme relaxer vipilipili vimebaki kwa wasiojua