Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,614
- 67,078
tunakosa muda wa kunyoaHao ukiwauliza watasingizia ubusy
tunakosa muda wa kunyoaHao ukiwauliza watasingizia ubusy
Handsome na wewe umo!!
Uyo mtoto unamuona wa Daladala ? Hata mnaosema uchafu Uchafu ni tabia ya MTU hiyo ni chachandu ndugu ndio maana mungu aliziumba nendeni unyago mtajua KAZI YAKE nishiiida bola msjijue mtaamiaAisee huku ni shughuli,just imagine upo kwenye daladala unafuraha zako kugeuka upande unakuta jiran yako kainua mkono kwapan ana bonge la msitu lazima stimu zikate tiketi ya bombadear fasta
Huo ni uchafu tuu
Asilimia kubwa ya wazungu(wanaume) niliowaona wanaachia sana sijui kisa nini?
Uyo mtoto unamuona wa Daladala ? Hata mnaosema uchafu Uchafu ni tabia ya MTU hiyo ni chachandu ndugu ndio maana mungu aliziumba nendeni unyago mtajua KAZI YAKE nishiiida bola msjijue mtaamia
hahahaHahaa na kuwa single pia
ntakusibir ukimaliza uje unitekeAah nipo busy ujue ningekuteka tuView attachment 497500
Ee bana daah hadi huyo rais ana kamsitu aisee
Wazungu wao kuziacha hizo makitu wanaona poa tu.
Za chini upara nao hapana aisee, unakuwa kama mtoto bhana....Siku hizi kuna kundi la watu limezuka na linazidi kuongezeka kwa ukubwa linadai hizo na zile za nyetini zipunguzwe tu zisiondolewe kabisa. Na za kule nyetini eti zinapendezesha kuliko kukiwa na upara. Hizi pia inadaiwa zinakuwa na harufu (natural smell) ya muhusika inaongeza kupandisha mizuka.
Aah nipo busy ujue ningekuteka tuView attachment 497500
Ee bana daah hadi huyo rais ana kamsitu aisee
Za chini upara nao hapana aisee, unakuwa kama mtoto bhana....
Kwani mwanaume unanyoa nywele kwapani ili iweje!!?Asilimia kubwa ya wazungu(wanaume) niliowaona wanaachia sana sijui kisa nini?
HahahaNa hilo ndiyo lalamiko lenyewe hasa kwamba wanataka kuona grown up papuchi.