πππ mkuu,samahani lakini, naona hutaki uonekane wewe ndio source ya hiyo taarifa. Dah! hofu zimetujaa. Jamani na mimi hizi taarifa nilisoma humu humu, msiniteke.Kuna post nilisoma humu, wanadai wali mkata kuanzia kucha kwenye vidole mbele yake, na badae wakenda muua na kwenda kuktumba kwemye mto wa mamba... NB nilisoma humu humu... sijui lolote kuhusu haya mambo mazito
Katika taifa lolote lile dunian adhabu ya msalit Ni kifo tu hakuna adhabu nyingne na ndio maana ukiwa mtu wa system ukiagizwa Kaz nje ya mipaka ukadakwa huwa unakanwa moja kwa Moja linakuwa lako HiloAchilia Saitoti, kama unamkumbuka mtaalamu IT ofisi ya tume ya uchaguzi pale Kenya walimkata hadi vidole.
Kabisa mkuu.Katika taifa lolote lile dunian adhabu ya msalit Ni kifo tu hakuna adhabu nyingne na ndio maana ukiwa mtu wa system ukiagizwa Kaz nje ya mipaka ukadakwa huwa unakanwa moja kwa Moja linakuwa lako Hilo
Mie nilisoma humu humu ndani... sina cha hofu kwasabu sina baya ambalo nimetendaπππ mkuu,samahani lakini, naona hutaki uonekane wewe ndio source ya hiyo taarifa. Dah! hofu zimetujaa. Jamani na mimi hizi taarifa nilisoma humu humu, msiniteke.
Mungu amnusuru.Kuna post nilisoma humu, wanadai wali mkata kuanzia kucha kwenye vidole mbele yake, na badae wakenda muua na kwenda kuktumba kwemye mto wa mamba... NB nilisoma humu humu... sijui lolote kuhusu haya mambo mazito
Bensaa8 disappeared and died - Prof Kabudi.naitaka serikali ya bwana MAGUFULI imwachie ndugu Ben sanane ili arudi kwa familia yake
Acha uongo, Siyo Kila nchi, ni ktk mataifa ya kipumbavu na ya kidikteta Kama Tanzania, nchi zenye utawala bora, safe house za nini? Mtu Akifanya jinai atakamatwa na kufikishwa mahakamani ambako mahakama itaamua hatima yake.
Safe house kwa nchi za kishenzi Kama Tanzania ni kuweka watu ambao wanajua mahakamani watashinda kesi, huwekwa humo wakosoaji wa madikteta
Yes uko sahihi, wengi wanajua ni kwa kutesea kumbe ina matumizi mengine km ulivyosema mdauSafe house zipo kila nchi, mnachoshindwa ni kutofautisha kazi yake.
Nadhan kibongo bongo zinatumika kutesea watu, lkn kiujalisia safe house hutumiwa na kitengo km sehem ya kuhifadhi watu(asset) ambao wako hatarini na wana maslahi makubwa kwa kitengo hasa wakati wa kukamilisha mission ya kitengo.
Naam ndio safe house a.k.a Makazimabeberu safe house uhifadhiwa washtakiwa wenye ushaidi ambao utasaidia kuwaunganisha na watu wengine tena wakubwa katika mnyororo wa makosa.
kuitwa safe house, wanatunzwa huko ili wasiuawe na hao ambao wasingependa jamaa atoe ushaidi ambao utahatarisha maslahi yao
Humo ndani wana TV, gym na swimming pool, hata mpishi anaewapikia hatakiwi kuonana naomabeberu safe house uhifadhiwa washtakiwa wenye ushaidi ambao utasaidia kuwaunganisha na watu wengine tena wakubwa katika mnyororo wa makosa.
kuitwa safe house, wanatunzwa huko ili wasiuawe na hao ambao wasingependa jamaa atoe ushaidi ambao utahatarisha maslahi yao
Uongo umeanza lini bibi?Humo ndani wana TV, gym na swimming pool, hata mpishi anaewapikia hatakiwi kuonana nao
Wanachanganya na Detention Housesmabeberu safe house uhifadhiwa washtakiwa wenye ushaidi ambao utasaidia kuwaunganisha na watu wengine tena wakubwa katika mnyororo wa makosa.
kuitwa safe house, wanatunzwa huko ili wasiuawe na hao ambao wasingependa jamaa atoe ushaidi ambao utahatarisha maslahi yao