Wanadhani watasimama mbele ya hukumu kama viongozi kumbe sawa na wengine tu.Huwa wanasali bure wanaenda kupoteza muda wao bure makanisani wao ni kuni za motoni.Ni mungu pekee anayeweza kumrudisha Ben.
viongozi Wengi wataingia motoni.
Wanadhani watasimama mbele ya hukumu kama viongozi kumbe sawa na wengine tu.Huwa wanasali bure wanaenda kupoteza muda wao bure makanisani wao ni kuni za motoni.Ni mungu pekee anayeweza kumrudisha Ben.
viongozi Wengi wataingia motoni.
Sasa mbona mamba hali mzoga?
Walimtupa mzima mzima... baada ya mateso... au bado hujaelewa niongeze sauti ?😳😳😳Sasa mbona mamba hali mzoga?
Acha uongo Area 51 ni kambi ya jeshi USAF.Us kuna sehemu ipo nevada huruhusiwi hata kukaribia hilo eneo. Area 51
Acha uongo, Siyo Kila nchi, ni ktk mataifa ya kipumbavu na ya kidikteta Kama Tanzania, nchi zenye utawala bora, safe house za nini? Mtu Akifanya jinai atakamatwa na kufikishwa mahakamani ambako mahakama itaamua hatima yake.
Area 51 Siyo safe house, ni eneo la siri la Kijeshi la Marekani, hapo ndo pana zana zote nzito zaidi za KijeshiUs kuna sehemu ipo nevada huruhusiwi hata kukaribia hilo eneo. Area 51
Aaah wewe naeUs kuna sehemu ipo nevada huruhusiwi hata kukaribia hilo eneo. Area 51
True keshamtoa kafara kwa miungu yake!
!
Ben Hawezi Kuwa Hai.
Heri wangewakabidhi ndugu mwili wa mpendwa wao wauage kwa heshima.Kutwa wamejaa makanisani wanasali bureSidhani kama Ben yupo wa kwetu anapenda kuuwa mno Tena kikatili
Anayezuia wachunguzi huru wa kimataifa ndie anayejua alipo.Hawawezi kuwa hai hata sasaMbowe ni wa kuulizwa alipo Ben
Angekuwa ndo kawekwa jela miaka 27 kama mandela wallahi hakika angepoteza makaburu wote.angepewa haki ya kugawa pumzi asingebaki mtu duniani.Sidhani kama Ben yupo wa kwetu anapenda kuuwa mno Tena kikatili
Wewe ulijuaje kama eneo ni la siri?Area 51 Siyo safe house, ni eneo la siri la Kijeshi la Marekani, hapo ndo pana zana zote nzito zaidi za Kijeshi
Wewe ulijuaje kama eneo ni la siri?
Na unapataje nguvu ya kumwambia mwenzako muongo wakati haupo hata kwenye ukurut wa jeshi la marekani?
Kama ni eneo la siri na pana zana zite nzito za kijeshi na wewe umejua kuna siri gani hapo?!Area 51 Siyo safe house, ni eneo la siri la Kijeshi la Marekani, hapo ndo pana zana zote nzito zaidi za Kijeshi
Ndio jibu mkuu?