rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,503
- 41,933
Aisee kwani alikuwa anaishi peke yake??? hakuna jirani???Kuna mshkaji wangu alikua anakaa huko tandale kwa tumbo, siku moja akasafiri. Usiku wa siku aliyosafiri,wazee wa kazi wakafumua bati wakakomba kila kitu TV,radio,kitanda n.k mpaka carpet . Siku aliyorudi anafungua mlango akakuta kweupe pee,walimwachia mswaki na kitana tu