Nyumba za kupanga ni degree tosha

Ukihamia nyumba ya kupanga njia pekee ta kupunguza mneno mnemo ni kugegeda wapangaji wenzako na majirani
Utaishi kwa raha sana maana ujinga ujinga hutoletea mtu akitaka kufungua mdomo wewe unamletea za kuvuana chupi watakuogopa!
mbaya sn hii
 
Nilikaa nyumba moja mkoa mmoja vyumba zaidi ya 20 maji ya kununua , madumu 6 shs 3000 nilipata shida sana niliishi miezi 8 sitasahau, nimeathirika sipendi kwenda chooni mpaka leo nakaa asubuhi hadi jioni kazini, nirudi nyumbani ndio niingie chooni kwangu siwezi, napata shida kushare choo na mtu yoyote. Siwezi kuhadithia nitawatapisha, bafuni ukidondosha sabuni bahati mbaya ndio ukatafute nyingine huwezi okota hata kama huna hata mia ndani utaoga maji matupu.Sitaki kukumbuka yale maisha.
 
Nilipanga chumba Mazimbu Morogoro.Mama mwenye nyumba naye alikuwa anaishi hapo hapo.Akija mgeni wa kike Kama analipa anakusifia balaaa kuwa unajua kuleta vitu vya ukweli.Yule mwenye nyumba alikuwa mzungu balaaaa.Ukikaa Muda mrefu bila kuonekana na manzi unakuta kwake manzi hawakauki halafu lazima akutambulishe.wawili nilibonyeza kimya kimya.
wazinzi utawajua tu.....
 
Mji mkubwa kuna kama nyumba tatu bubwa na zote Zina wapangaji wengi tu, hatufahamiani kila mmoja na hamsini zake, wapangaji wengi ni wanavyuo.

Chumba cha jirani yangu alikuwa amepanga dem fulani hivi miss mtata hatari, alikuwa na mtoto hvyo alikuwa anaitwa mama Paul.

Huyu demu alikuwa kichomi haswa yeye deile alikuwa hapitishi hata usiku mmoja bila kuleta jidume ndani, basi usiku ni milio mikali kama wacheza X.

Halafu dari halikuwa na silngbord,mikelele yote kwangu aiseee alikuwa ananitesa sana hyu Dada, kurudi kwake midnight tena anakugongea dirisha umfungulie geti hata akirudi saa 9 za usiku, nilikuwa single wakati huo.

Asubuhi yeye na kanga moko halafu ndani hajavaa chupi, akifua chupi anazianika kwenye kikamba cha korido, basi bwana unaambiwa hapo utaona kila dizaini ya chupi, Mara bikini, Mara za chandarua yani ni full majaribu.

Siku moja katoka kuoga, kavaa kanga moja tena maksudi kailoanisha chepechepe,kama kawaida yake havaagi chupi, mbaya zaidi anavunga kufagia korido yuko vilevile, kainama kiuno unaona vyote,
Kinajisemea lakn huu ni ufala, nikampangia siku yake ili nimnyoshe adabu.

Siku mbili mbele, akanigongea mlango eti nkamsaidie kupachika balbu chumbani kwake sababu ilkuwa imeungua, nikaenda kavaa vilevile kama anavyovaaga looh.

Mara nyodo akaanza niletea, nilimfurumisha humo chumbani kwake masaa matatu ya nguvu.

Mpaka nahama hapo hakuniletea tena nyodo za kijinga maana nilimpa alichotaka kutoka kwangu.
ukimwi ulipona?
 
Nilikaa nyumba moja mkoa mmoja vyumba zaidi ya 20 maji ya kununua , madumu 6 shs 3000 nilipata shida sana niliishi miezi 8 sitasahau, nimeathirika sipendi kwenda chooni mpaka leo nakaa asubuhi hadi jioni kazini, nirudi nyumbani ndio niingie chooni kwangu siwezi, napata shida kushare choo na mtu yoyote. Siwezi kuhadithia nitawatapisha, bafuni ukidondosha sabuni bahati mbaya ndio ukatafute nyingine huwezi okota hata kama huna hata mia ndani utaoga maji matupu.Sitaki kukumbuka yale maisha.
pole mkuu
 
Nilimega wife wa jamaa kimasihara, siku nilimuomba cd akanipa cd kibao pamoja na za X, daa mzee mzima nikajifikiria na mm nikampa cd zangu za mambo ya utamu, demu si akazama room kucheck, baada ya muda nasikia miguno ya kwenye cd, nikamgongea mlango kuzama room kwa jamaa demu mwepesi nikajilia vyangu kiulaini ila demu alikuja kupata mimba alisemaga ya kwangu na kashazaa na jamaa analea. Wanaume tunakazi sisi
 
Nilipanga chumba Mazimbu Morogoro.Mama mwenye nyumba naye alikuwa anaishi hapo hapo.Akija mgeni wa kike Kama analipa anakusifia balaaa kuwa unajua kuleta vitu vya ukweli.Yule mwenye nyumba alikuwa mzungu balaaaa.Ukikaa Muda mrefu bila kuonekana na manzi unakuta kwake manzi hawakauki halafu lazima akutambulishe.wawili nilibonyeza kimya kimya.
Haaaaaaaa barakuda? Maukii? Au Kabla ya relii?
 
Nilishawahi kataa chumba na sebule sababu mwenye nyumba alikua ana duka kwa nje ila alitaka wapangaji tuwe tunaweka umeme yeye haweki pia alitaka atuuzie unit za umeme kwa shs 350 aisee nilimweleza hio shughuli mimi siiwezi
Aisee huo ujinga ulikuwaa
 
Nilikaa nyumba moja mkoa mmoja vyumba zaidi ya 20 maji ya kununua , madumu 6 shs 3000 nilipata shida sana niliishi miezi 8 sitasahau, nimeathirika sipendi kwenda chooni mpaka leo nakaa asubuhi hadi jioni kazini, nirudi nyumbani ndio niingie chooni kwangu siwezi, napata shida kushare choo na mtu yoyote. Siwezi kuhadithia nitawatapisha, bafuni ukidondosha sabuni bahati mbaya ndio ukatafute nyingine huwezi okota hata kama huna hata mia ndani utaoga maji matupu.Sitaki kukumbuka yale maisha.
Duuh maji shida sana ilikuwa...singida nini
 
41 Reactions
Reply
Back
Top Bottom