Tuchambue mambo kwa makini. Hivi ni ajabu mbunge kumiliki nyumba ya mil400? Mshahara wake kwa miaka mitano ni mil420 na bado wanachukua mikopo. Kwa hiyo kuwa na vitu hivyo si ajabu. Bodaboda wajue adui yao ni nani, si mbunge wala nyumba wala matrekta ni mfumo. Tupigane kuondoa mfumo si kuharibu mali.
Thamani za nyumba zetu sinema tupu!..........milioni 400? Masasi?
![]()
Mh! hata mimi najiuliza...haya! mliochoma nyumba ya watu jiandaeni kulipa fidia, bei ndio hiyo mshapewa!
thamani za nyumba zetu sinema tupu!..........milioni 400? Masasi?
![]()
mama kasembe ana elimu ya darasa la saba alikua mwalimu wa U.E kabla ajaacha na kugombea udiwani then ubunge viti maalumu then ubunge wa jimbo
soma habari kwa makini. bei ya nyumba imefahamika baada ya kuchomwa....wazalendo walichoma kwa kuwa walikuwa na hasira....hata kama ingekuwa ya makuti bado wangechoma coz ni ya gamba ambalo halijawafanyia chochote zaid ya kujilimbikizia...Ndo wachome? Sababu ya bei tu?
hapana hii ni chuki ya tabaka tawaliwa dhidi ya tabaka tawala.Ninachokiona hapo ni chuki ya wananchi juu ya baadhi ya wana siasa. Haiwezekani upigane na polisi halafu ukachome nyumba ya mheshimiwa fulani.
Ina maana wananchi hawako pamoja na wana siasa katika mitazamo ya maisha ya kila siku.
Sio sahihi kupora, kuharibu mali au kuchoma nyumba ya mtu mwingine yeyote bila kujali sababu zinazokusukuma kufanya hivyo. Huu ni utamaduni mpya unaojenga mwelekeo mbaya sana kwa taifa kwani leo limetokea kwa wabunge kesho linaweza kutokea kwa mtu mwingine yeyote kati yetu. Pole sana kwa wabunge na viongozi wengine waliochomewa nyumba na kuharibiwa mali zao nyingine.
Ninachokiona hapo ni chuki ya wananchi juu ya baadhi ya wana siasa. Haiwezekani upigane na polisi halafu ukachome nyumba ya mheshimiwa fulani.
Ina maana wananchi hawako pamoja na wana siasa katika mitazamo ya maisha ya kila siku.