Umaskini janga la kitaifa...we acha tu. Badala ya kuhangaika na wanayoyaweza wamevamia kitu ambacho piga ua hawakiwezi ng'oo.
On the other hand, this is a business opportunity. kachukue jimbo Kongosho...Mbunge wao naona wamemchoka
I can't manage myself, nitawezaje jimbo na watu wake?
Mie nafaa kwa politik za chit chat
" .... kama wewe (mtangazaji) ulivyo huna kitu hata mimi nimebaki sina kitu chochote sasa" aliongeza kusema Mh. Kassembe... Mwiso wa kunukuu..
Tuchambue mambo kwa makini. Hivi ni ajabu mbunge kumiliki nyumba ya mil400? Mshahara wake kwa miaka mitano ni mil420 na bado wanachukua mikopo. Kwa hiyo kuwa na vitu hivyo si ajabu. Bodaboda wajue adui yao ni nani, si mbunge wala nyumba wala matrekta ni mfumo. Tupigane kuondoa mfumo si kuharibu mali.
Mh! hata mimi najiuliza...haya! mliochoma nyumba ya watu jiandaeni kulipa fidia, bei ndio hiyo mshapewa!
Haaahaaa! Tutakutafutia mabouncer watakusaidia mambo yasiende kombo.
wakati wazazi wake wakimsisitiza elimu dunia na akhera ,hao wengine ni akhera tu sasa hivi matunda ya elimu yake yanaonekana japo ya kuunga unga wanachoma moto hahahaahah
Thamani za nyumba zetu sinema tupu!..........milioni 400? Masasi?
![]()
Nimepapenda sana hapa.....sijui katumia criteria gani kutambua kwamba mtangazaji hanakitu, bilashaka yawezekana wanauhusiano wa karibu sana au katumia kigezo cha kwamba watangazaji wengi hawana kitu! Nchi inavihoja hii!
Wacha na yeye afeel pain kama tunayofeel maskin ambao hatuna nyumba bora za kuishi labda atajifunza ki2l
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
wakati wazazi wake wakimsisitiza elimu dunia na akhera ,hao wengine ni akhera tu sasa hivi matunda ya elimu yake yanaonekana japo ya kuunga unga wanachoma moto hahahaahah