Tuchambue mambo kwa makini. Hivi ni ajabu mbunge kumiliki nyumba ya mil400? Mshahara wake kwa miaka mitano ni mil420 na bado wanachukua mikopo. Kwa hiyo kuwa na vitu hivyo si ajabu. Bodaboda wajue adui yao ni nani, si mbunge wala nyumba wala matrekta ni mfumo. Tupigane kuondoa mfumo si kuharibu mali.
Matokeo ya pengo kubwa kati ya walionacho na wasionacho.Ha ha ha hii ni zaidi ya over price,,, hata kama ni inflation hii ni kali..
Hivi anaijua million 400 ilivyo? Pesa lazima tuipe heshima yake.. Hiyo nyumba hata million 100 tu kufika kwa mbinde..
Nyumba za million 400 ni viota kweli kweli vimejaa mikocheni na mbezi beach sio hiyo nyumba ya vifaa vya kichina kutoka Good one, sunda etc kama inavoonekana hapo juu
Je Masasi kuna wananchi 10000? Masasi kuna matajiri wengi kuliko masikini? Je huyo Mbunge alijenga hilo jumba kabla ya Ubunge? I did not say anything bad about Masasi, I did question MP only. Please before you made comment, understant the whole thing otherwise, B**ch! go wash your stink punany.Huijuwi Masasi wee acha kuandika vitu usivyovijua kuna nyumba nyingi sana tena bora zaidi ya 10000 ukilinganisha na ya mbunge, masasi is a hub of mtwara corriddor na southern corridor. KWA UFUPI Masasi ni miongoni mwa mji bora sana kusini yote. Uliza waliofika Masasi watakujuza peleka umbeya wako FB
I did not talk about Masasi, so I don't have a clue WF are you bitching aboutHuijuwi Masasi wee acha kuandika vitu usivyovijua kuna nyumba nyingi sana tena bora zaidi ya 10000 ukilinganisha na ya mbunge, masasi is a hub of mtwara corriddor na southern corridor. KWA UFUPI Masasi ni miongoni mwa mji bora sana kusini yote. Uliza waliofika Masasi watakujuza peleka umbeya wako FB
Unadhani hawa akina mama walipolia walikuwa wanalilia nyumba zao? La hasha bima italipa......wao walikuwa wanalilia uhai wao wa kisiasa ambao umetoweka!