Nyumba ya milioni 400 shilingi za kitanzania,bodaboda kapanga chumba cha 10,000 kwa mwezi halafu hiyo nayo wanapigana chenga na land lord wake kuilipa wakti huo huo ameahidiwa maisha bora kwa kila mtanzania,na Mariam ndie alikuwa akiwaahidi,unategemea wasipoyaona hayo maisha bora ingali wanamuona yeye ananeemeka tutegemee nini hapo?wakifikiria hela za kuwaletea maisha bora waliokuwawakiambiwa huenda kazichukua yeye tutawalaumu?hilo gap hilo la walio nacho na wasio nacho,ni hatari kuliko watu wanavyodhani.