Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,595 215,280 Jul 20, 2021 #1 Ukifanikiwa kujenga nyumba hii hakikisha au muombe Mungu usiwe na marafiki wanaonunua petrol mkigombana.
Ukifanikiwa kujenga nyumba hii hakikisha au muombe Mungu usiwe na marafiki wanaonunua petrol mkigombana.
Opportunity Cost JF-Expert Member Dec 10, 2020 9,035 6,907 Jul 21, 2021 #3 Kama za tofali/ blocks zimekushinda ndio hizi utaziweza?
Opportunity Cost JF-Expert Member Dec 10, 2020 9,035 6,907 Jul 21, 2021 #4 Afu hizi nyumba zimekaa kibachela bachela ila ni nzuri Sana kupangisha
Opportunity Cost JF-Expert Member Dec 10, 2020 9,035 6,907 Jul 21, 2021 #5 paka_wa_Simba said: Nzurii sanaa Click to expand... Udsm pale nimewahi kukaona kamoja kanatumika kama ofisi na kwenye Kambi za watalii wanatumia Sana hizi nyumba
paka_wa_Simba said: Nzurii sanaa Click to expand... Udsm pale nimewahi kukaona kamoja kanatumika kama ofisi na kwenye Kambi za watalii wanatumia Sana hizi nyumba
funzadume JF-Expert Member Jan 28, 2010 13,562 21,042 Jul 21, 2021 #6 Hizi nyumba zinafaa nchi za baridi. Huku tropical countries zitashambuliwa na kila aina ya wadudu
Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,595 215,280 Jul 21, 2021 Thread starter #7 Opportunity Cost said: Afu hizi nyumba zimekaa kibachela bachela ila ni nzuri Sana kupangisha Click to expand... Unaweza kuiweka kama guest wing ndani ya eneo lako, ukipata wageni mnafanya bbq na kuenjoy upepo nje.
Opportunity Cost said: Afu hizi nyumba zimekaa kibachela bachela ila ni nzuri Sana kupangisha Click to expand... Unaweza kuiweka kama guest wing ndani ya eneo lako, ukipata wageni mnafanya bbq na kuenjoy upepo nje.
Numbisa JF-Expert Member Dec 12, 2016 268,282 1,096,070 Jul 21, 2021 #8 Adui wa hizi nyumba pande zetu ni mchwa
Evelyn Salt JF-Expert Member Jan 5, 2012 63,681 112,900 Sep 8, 2021 #9 Hapo bado haujajengewa na kina fundi maiko....