Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 391
- 873
Ivi Tanzania hatuwezi kuanza kujenga nyumba km izi za Japan kutumia mbao na karatasi kwa sababu mi naona cement inachukua nguvu kubwa na bei sana; mb izi zipo so simple na nzuri pia?
Imagina hata masikini wanaweza kusaidiwa kuweka kitu kama iki simple tu kuliko nyumba za udongo au nyasi? Ma engineers mnaonaje me nataka kuweka kitu kama hiki?
Imagina hata masikini wanaweza kusaidiwa kuweka kitu kama iki simple tu kuliko nyumba za udongo au nyasi? Ma engineers mnaonaje me nataka kuweka kitu kama hiki?