Nyumba ya Historia mkoani Kilimanjaro

Nyumba ya Historia mkoani Kilimanjaro

"NYUMBA YA HISTORIA" Nyumba hii ilijengwa mwaka 1949, katika Kijiji cha Nkoringa, Kata ya Kibosho, Wilaya ya Moshi Vijijni, Mkoa wa Kilimanjaro. Ndani yake ilikuwa na patision kuu sita "6" (1) Sehemu ya mbuzi (komburu) (2) Sehemu ya Ng'ombe (koombe) (3) Dari (Kayi) (4) Sehemu anakolala Bibi (Kondoo) (5) Sehemu wankolala wajukuu (Kirin) na (6) Eneo la mlangoni (Muungon) "Story itaendelea"View attachment 1201535

Nipe bei ya hiyo ndizi nisepe zangu
 
Yote hiyo sababu Kilimanjaro kuna uhaba wa ardhi??!!, mbona maajabu hayo ya kulala nyumba moja na wanyama??!!---- kondoo, Mbuzi, ng'ombe, watoto, wajukuu, kuku nk. 🤣🤣, vipi Masawe??

Masawe atakula mafi yake
 
Umesoma vizuri au umekurupuka hembu tupe na za kwenu


Sisi kwetu hatukulala na wanyama nyumba moja, kwanza kwasababu ardhi inatosha, pili siyo jambo la afya kulala na wanyama chumba kimoja (non hygenical).

Kama ilitokea mtu kulala na wanyama, ilikuwa ni kwa sababu maalumu ya muda fulani, mfano kama kuna tishio la wanyama wakali nk.
 
Halafu watu tunaukataa ushamba.

Mimi mshamba lakini nashukuru kwetu hatujawahi kuishi hivyo hata kihistoria ya zamani zaidi.

Hawa wakuja baada ya kutoka huku na kufunua macho ndiyo wakaanza kwenda kujenga makwao. Wengine mpaka leo wapo vivyo hivyo tu.

Nyie wakuja inabidi mtuheshimu sana watu wa Pwani maana tumewastaarabisha wengi sana Tanzania hii.
 
Sasa hapo Akili si lazima zifanane na kondoo na mbuzi kweli?mana kama mnaishi pamoja uwezekano wa Kuadapt tabia ni mkubwa sana..














Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
Mungu Ibariki Morogoro
 
Mwanaume wa Dar akilala siku moja tu humo nitamkubali kuwa ni mjeda kwa sababu Kunguni wakishirikiana na Kupe huku Mbu wakishambulia usiku kucha.
Nimewahi lala nyumba ya aina hiyo Mengwe,Rombo. Tulikuwa tunalala na mifugo yote hivyo na jiko ndani. Hakukuwa na kunguni,kupe Wala mbu.
 
Nimewahi lala nyumba ya aina hiyo Mengwe,Rombo. Tulikuwa tunalala na mifugo yote hivyo na jiko ndani. Hakukuwa na kunguni,kupe Wala mbu.
Kuku wana utitiri Ngombe na Mbuzi wana Kupe Binadamu kwenye nyumba yenye giza Kunguni lazima halafu Mbu lazima waje kuchukua mgao wao.
 
Halafu watu tunaukataa ushamba.

Mimi mshamba lakini nashukuru kwetu hatujawahi kuishi hivyo hata kihistoria ya zamani zaidi.

Hawa wakuja baada ya kutoka huku na kufunua macho ndiyo wakaanza kwenda kujenga makwao. Wengine mpaka leo wapo vivyo hivyo tu.

Nyie wakuja inabidi mtuheshimu sana watu wa Pwani maana tumewastaarabisha wengi sana Tanzania hii.
Mbona utamaduni wa kulala na wanyama mpaka kwa wazungu upo na jamii nyingine za Asia
 
Back
Top Bottom