nessonlegend
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,698
- 1,514
Shimboni mbe
Halafu watu tunaukataa ushamba.
Mimi mshamba lakini nashukuru kwetu hatujawahi kuishi hivyo hata kihistoria ya zamani zaidi.
Hawa wakuja baada ya kutoka huku na kufunua macho ndiyo wakaanza kwenda kujenga makwao. Wengine mpaka leo wapo vivyo hivyo tu.
Nyie wakuja inabidi mtuheshimu sana watu wa Pwani maana tumewastaarabisha wengi sana Tanzania hii.
Kuku wana utitiri Ngombe na Mbuzi wana Kupe Binadamu kwenye nyumba yenye giza Kunguni lazima halafu Mbu lazima waje kuchukua mgao wao.
Ndiyo maana hawa watu wa huko akili zao za kinyama nyama.
Ungesema Mbu lakini kunguni na Mende Hata London wapo.kunguni
Mkuu mbona mm kijijini nimelel chumba kimoja na mbuzi,nakumbuka kabisa nilikuwa mdogo kama 8 yrs hvYote hiyo sababu Kilimanjaro kuna uhaba wa ardhi??!!, mbona maajabu hayo ya kulala nyumba moja na wanyama??!!---- kondoo, Mbuzi, ng'ombe, watoto, wajukuu, kuku nk. 🤣🤣, vipi Masawe??
🥳🥳😉Hahahaa bujibuji nimekumbuka Thread yako kuhusu utumbo wa mbuzi na tambiko kwa wachagga.! Una nini lakini wewe
Shida zimetokea wapi tena? Wee tunaona shida tu hata mahali ambapo hazipo. Yafundishe macho yako kuona vitu vizuri vya kufurahisha badala ya kuona shida na taabu tuKwani tambiko lina shida gani?
kirima chini BoroMoshi Sehemu gani Machame, kibosho, marangu au rombo
Of course, labda uwe huelewi maana ya neno ustaarabu.Na nyie mlistaarabishwa na waarabu au sio mama ?
Mkuu mbona mm kijijini nimelel chumba kimoja na mbuzi,nakumbuka kabisa nilikuwa mdogo kama 8 yrs hv
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shakumiss mankhede [emoji23][emoji23][emoji23]
Bwana sijui kimachame najua kikibosho tuu [emoji85][emoji85]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kisaa chaho.
Iore mchallo pfo! Kacha Ilya vaveich mchallo pfoAilyi ngillawonyi mchallo !?
Isembo kabisaa,lyileonekya numba ya ndawa[emoji3][emoji3]Isembo lyi lya warumu kuchidima kwamba lyileonikia Magorofe tye[emoji23][emoji23]
Hata iny ngaseka Sana[emoji3][emoji3]Ode komanya engiseta, yani ngaseka leeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe kibibi acha porojo,hyo nyumba imekatwa vyumba sio kwamba watu wanalala na mifugo, kumbuka hapo ni mwaka 1949 na nyumba Ni ya batiHalafu watu tunaukataa ushamba.
Mimi mshamba lakini nashukuru kwetu hatujawahi kuishi hivyo hata kihistoria ya zamani zaidi.
Hawa wakuja baada ya kutoka huku na kufunua macho ndiyo wakaanza kwenda kujenga makwao. Wengine mpaka leo wapo vivyo hivyo tu.
Nyie wakuja inabidi mtuheshimu sana watu wa Pwani maana tumewastaarabisha wengi sana Tanzania hii.
Wangekuwa na akili za kinyama wamgekuwa wa kwanza kwenye elimu tangu enz na enz? Wangekuwa wajanja kwenye biashara? Nyie wacheza vigodoro ndo mna akili za wanyama mlikimbia umandeNdiyo maana hawa watu wa huko akili zao za kinyama nyama.