Nyumba ya Historia mkoani Kilimanjaro

Nyumba ya Historia mkoani Kilimanjaro

Kuku wana utitiri Ngombe na Mbuzi wana Kupe Binadamu kwenye nyumba yenye giza Kunguni lazima halafu Mbu lazima waje kuchukua mgao wao.
Hakukuwa na kupe wa kunguni. Na mbu hakuna so ni kulala bila neti tu
 
Nyumba ya asili ya wachagga haikujengwa kwa udongo wala haikupigwa bati ilikua ni full nyasi.hii imejengwa kwa structure ya zile nyumba za asili za wachagga Kasoro yake ni ya udongo alafu imepigwa bati. Kwa hiyo nyumba hii haijabeba uasilia ule .ila imejengwa kwa mfano ule.
Kama hii.
%2B255%20675%20788%20460%2020190914_061856.jpeg
 
Back
Top Bottom