macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,846
- 39,711
Uko sahihi. Hata mimi nilipoangalia hizo picha wazo la kwanza kunijia lilikuwa hilo hilo.Kwa haraka hilo ghorofa upandeni la mtu anayeweza kukuchungulia unaweza kudhani ni part ya hii nyumba...
Ndio maana kuna sehemu plan za nyumba zinapangwa mtaa mzima kwamba ziwe vipi; unaweza mtu umejenga nyumba yako unapigwa upape majirani wanakuja na kukuziba na kuzuia ile breeze...., Nadhani na huku tutafika Master Plan ya sehemu inasema kabisa majengo ya kujenga kama ni magorofa au vipi hususan sehemu zenye nyumba nyingi per area