House4Sale Nyumba inauzwa

Ionic banner

Member
Jul 19, 2023
5
9
Nyumba ya ghorofa moja Inauzwa milioni 300 maongezi yapo Ipo bunju B - Dar es salaam
Vyumba Vinne vya Kulala vyote ni self contained
▫Sitting room zipo mbili chini na juu
▫Dining room
◇ Kitchen
◇Store
▫ Public toilet
▫Ukubwa wa kiwanja: sqmt 1377
◇document clean TITLE DEED (Hati miliki kutoka wizara ya ardhi)
◇Umbali-kilomita 1 kutoka barabara kuu ya Bagamoyo
Nyumba ipo ndani ya fence maji Dawasco umeme vyote vipo
◇mteja anaruhusiwa kukagua nyumba muda wowote anapata nafasi.
 

Attachments

  • IMG_20230803_085950_613.jpg
    IMG_20230803_085950_613.jpg
    525.3 KB · Views: 43
Nyumba ya ghorofa moja Inauzwa milioni 300 maongezi yapo Ipo bunju B - Dar es salaam
Vyumba Vinne vya Kulala vyote ni self contained
▫Sitting room zipo mbili chini na juu
▫Dining room
◇ Kitchen
◇Store
▫ Public toilet
▫Ukubwa wa kiwanja: sqmt 1377
◇document clean TITLE DEED (Hati miliki kutoka wizara ya ardhi)
◇Umbali-kilomita 1 kutoka barabara kuu ya Bagamoyo
Nyumba ipo ndani ya fence maji Dawasco umeme vyote vipo
◇mteja anaruhusiwa kukagua nyumba muda wowote anapata nafasi.
Kula 50m mkuu
 
Bznes ya millions 300. Picha ya bure. Ukiamua kufanya bznes kubwa jiweke kikubwa n ww.
Ushauri tu
 
Nimeishia kuona Bibi Jefta hapo kwenye picha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom