King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,412
- 88,729
Hahahaha kaka tema mate chini wewe hauna ghorofa acha uongo hivi kwanini vijana munadanganya kiasi hiki?
Mkuu Jamii Forum kila mtu ni Bilionea ,ana majumba prime areas ,ana push Range ,Audi Q7 ,MBW X7 ,LC 300,kwahiyo zoea tu.

mpaka iwe chungu kabisa
+255 785 335 350.
, tena anaweka na kamsisitizo kwamba ye hana shida na pesa ana kazi kubwa sana serikalini