Nyuki wema, nyuki wabaya!

Nyuki wema, nyuki wabaya!

Mimi ninachotaka, ni kujua tu namna ya kuwatuma waende mahali flani hivi wakachimbe bit na kusepa basi!!
Hebu nipe somo...
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji119][emoji119][emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji119][emoji119][emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mkuu nipe maujanja, serious kama unafahama!
Sitaki kuwatumia kudhuru, just mkwara tu...
 
Mkuu nataka kuanza Rasmi somo la Meditation kwa hapa Bongo sijui
ni wapi, halafu nina safari ya India ambayop itanichukua miezi miwili
vipi inatosha huko kujifunza kwa hiyo miezi 2, na wapi nitapata mafunzo hayo.

Pole kwa kutoka nje ya Mada lakini nyumba iliyopo karibu na Mkutano
ndiyo ambayo watu huomba maji.
meditation nenda ghana
 
Tatizo nyuki wa Dizaini hiyo ambao wanatengenezwa na kina mkuu Mshana
na Likudi wanaweza kufufukia tumboni, wakaligeuza tumbo kuwa Mzinga ingawa
unaweza kupata faida ya kutoa haja kubwa ya masega na kukojoa asali
[emoji23]
 
IMG-20221004-WA0098.jpg
 
Back
Top Bottom