meditation nenda ghanaMkuu nataka kuanza Rasmi somo la Meditation kwa hapa Bongo sijui
ni wapi, halafu nina safari ya India ambayop itanichukua miezi miwili
vipi inatosha huko kujifunza kwa hiyo miezi 2, na wapi nitapata mafunzo hayo.
Pole kwa kutoka nje ya Mada lakini nyumba iliyopo karibu na Mkutano
ndiyo ambayo watu huomba maji.
Tatizo nyuki wa Dizaini hiyo ambao wanatengenezwa na kina mkuu Mshana
na Likudi wanaweza kufufukia tumboni, wakaligeuza tumbo kuwa Mzinga ingawa
unaweza kupata faida ya kutoa haja kubwa ya masega na kukojoa asali

Ilishawahi nitokea, niliugua sana kwa kweli but nikakaza. Kuugua huwa kunamaanisha nn?Mmh ndio mara ya kwanza kusikia kuwa inaleta misukosuko.... Hebu tumia kwa wiki nzima homa kali lazima ikuendeshe ukianza kutumia dawa
Bila shaka cameraman ni wewe
Mkuu,, nipo kwenye Uzi wako huu nadonoa vitu baada ya kunisogeza Huku.Usiwafukuze waache... Wanga hawawezi kamwe kusogea hapo