Nyuki wema, nyuki wabaya!

Nyuki wema, nyuki wabaya!

.
148.jpg
 
Siku wakiingilia msafara wa KAKA YAKE MAMA, na kuanza kumng'ata Nitafurahi sana

Hii tiba ya chumvi ungeweka na madhara ya kutumia ingependeza zaidi

Maana mi naona nikitumia napata misuko suko flani hivi sa hivi nimeamua kuacha
 
Siku wakiingilia msafara wa KAKA YAKE MAMA, na kuanza kumng'ata Nitafurahi sana

Hii tiba ya chumvi ungeweka na madhara ya kutumia ingependeza zaidi

Maana mi naona nikitumia napata misuko suko flani hivi sa hivi nimeamua kuacha
Mmh ndio mara ya kwanza kusikia kuwa inaleta misukosuko.... Hebu tumia kwa wiki nzima homa kali lazima ikuendeshe ukianza kutumia dawa
 
Mmh ndio mara ya kwanza kusikia kuwa inaleta misukosuko.... Hebu tumia kwa wiki nzima homa kali lazima ikuendeshe ukianza kutumia dawa
Kweli tena mkuu,

Yaani nikakumbwa na balaa la kuibiwa simu

Mara nizinguane na viongozi kazini

Mara nigombane na wife mtarajiwa

Yaani ni fujo mtindo mmoja, anyway kesho ntaanza tena
 
Kweli tena mkuu,

Yaani nikakumbwa na balaa la kuibiwa simu

Mara nizinguane na viongozi kazini

Mara nigombane na wife mtarajiwa

Yaani ni fujo mtindo mmoja, anyway kesho ntaanza tena
That is healing process... Baada ya hapo mambo yangetulia
 
Back
Top Bottom