Hivyohivyo inatoshaSasa ningemjibuje ndugu yangu
Mkuu mshana naomba unisaidie kuna mwaka 2008 kuna mtoto alikuwa mgonjwa likaja kundi la nyuki wakata kwenye mti kalibu kabisa n nyumba alimokuwa mgonjwa bahati mbaya alifariki siku ya mazishi yake wale nyuki wakatawanyika lakini hawakudhuru mtu baada ya mazishi hatukuwaona tena je walikuwa wa kheri au shari
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli aisee wiki mbili [emoji219][emoji219] wamekuwa wapo ktk nyumba yangu ila hawana madhara.Preamble! Chitchat sio sehemu salama sana siku hizi....! Uongozi usipokuwa makini JF itapoteza heshima yake
Sasa tuendelee na mada yetu
Je unajua kuwa Nyuki ni mlinzi kiroho na ni silaha pia ya kutumiwa pia na watu wabaya?
Hulka ya nyuki kuruka mbali na udogo wake ule na kurejea kwa usahihi sehemu alipotoka, hulka yake na kuweza kuchagua maua ya kunyonya ute a kutengeneza asali kwenye maua na mimea isiyo na sumu, hulka yake ya kuchagua choo kwa ajili ya kupata pia ute wa malighafi unamfanya awe na nguvu ya kipekee kiroho... Si kila choo nyuki anaingia na si kila ua nyuki anatua....
Sasa kutokana na sifa zake hizo..... Kuna wakati unapoingia kwenye mapambano ya kiroho na unapokuwa umeanza kupata kinga... Let's say kuogea chumvi nk... Usishangae kuona kundi la nyuki linakuja na kufanya makazi hapo kwako.... Lakini hapa kuna mawili... Zingatia sana haya...
1. Wakija hapo na kuwa wapole bila kuleta dhahama yoyote jua hapo umeletewa ulinzi na hupaswi kuwaogopa wala kuwabughudhi.. Wapo hapo kwa nia njema kabisa na kitisho cha hatari kikiisha watajiondokea wenyewe na kupotea kusikojulikana
2. Kama utakapoanza tiba yoyote ya kiroho na likaja kundi kubwa la nyuki na kuanza kuishambulia familia yako ama wewe mwenyewe na watu wengine karibu ya hapo.... Jua wazi vita ni kubwa na hao maadui zako wanataka kukuwahi na wameshaona udhaifu kwenye tiba yako hiyo hivyo nao huwatumia nyuki hao hao lakini wakiwa ni wa kichawi kuja kukudhuru... Maranyingi wanaweza kuja maramoja na kuacha madhara makubwa ama la wanaweza kurejea kila wakati na kuchimba bit tu! Utawambuaje hawa? huwa wanachagua wa kushambulia tofauti na nyuki wa kawaida waliochokozwa ambao humuuma yeyote!!!
Kwahiyo makinika sana Unapoanza hizi tiba za kiroho kwa kila jambo linalokutokea.... Na hili la nyuki ulipe kipaumbele kwakuwa laweza kukutokea hata nje ya makazi yako... Unajikuta wanakuzigira na kukuzunguuka tu bila kukuuma.. Ama la wanakushukia na kufanya yao
Kweli aisee wiki mbili [emoji219][emoji219] wamekuwa wapo ktk nyumba yangu ila hawana madhara.
Somo zuri[emoji219]
Sent using Jamii Forums mobile app
nime ku pm iongozi angalia meseji[emoji123][emoji116][emoji109]
Jr[emoji769]
Preamble! Chitchat sio sehemu salama sana siku hizi....! Uongozi usipokuwa makini JF itapoteza heshima yake
Sasa tuendelee na mada yetu
Je unajua kuwa Nyuki ni mlinzi kiroho na ni silaha pia ya kutumiwa pia na watu wabaya?
Hulka ya nyuki kuruka mbali na udogo wake ule na kurejea kwa usahihi sehemu alipotoka, hulka yake na kuweza kuchagua maua ya kunyonya ute a kutengeneza asali kwenye maua na mimea isiyo na sumu, hulka yake ya kuchagua choo kwa ajili ya kupata pia ute wa malighafi unamfanya awe na nguvu ya kipekee kiroho... Si kila choo nyuki anaingia na si kila ua nyuki anatua....
Sasa kutokana na sifa zake hizo..... Kuna wakati unapoingia kwenye mapambano ya kiroho na unapokuwa umeanza kupata kinga... Let's say kuogea chumvi nk... Usishangae kuona kundi la nyuki linakuja na kufanya makazi hapo kwako.... Lakini hapa kuna mawili... Zingatia sana haya...
1. Wakija hapo na kuwa wapole bila kuleta dhahama yoyote jua hapo umeletewa ulinzi na hupaswi kuwaogopa wala kuwabughudhi.. Wapo hapo kwa nia njema kabisa na kitisho cha hatari kikiisha watajiondokea wenyewe na kupotea kusikojulikana
2. Kama utakapoanza tiba yoyote ya kiroho na likaja kundi kubwa la nyuki na kuanza kuishambulia familia yako ama wewe mwenyewe na watu wengine karibu ya hapo.... Jua wazi vita ni kubwa na hao maadui zako wanataka kukuwahi na wameshaona udhaifu kwenye tiba yako hiyo hivyo nao huwatumia nyuki hao hao lakini wakiwa ni wa kichawi kuja kukudhuru... Maranyingi wanaweza kuja maramoja na kuacha madhara makubwa ama la wanaweza kurejea kila wakati na kuchimba bit tu! Utawambuaje hawa? huwa wanachagua wa kushambulia tofauti na nyuki wa kawaida waliochokozwa ambao humuuma yeyote!!!
Kwahiyo makinika sana Unapoanza hizi tiba za kiroho kwa kila jambo linalokutokea.... Na hili la nyuki ulipe kipaumbele kwakuwa laweza kukutokea hata nje ya makazi yako... Unajikuta wanakuzigira na kukuzunguuka tu bila kukuuma.. Ama la wanakushukia na kufanya yao
Kwahiyo mpishi wa mama samia nyuki wabayaPreamble! Chitchat sio sehemu salama sana siku hizi....! Uongozi usipokuwa makini JF itapoteza heshima yake
Sasa tuendelee na mada yetu
Je unajua kuwa Nyuki ni mlinzi kiroho na ni silaha pia ya kutumiwa pia na watu wabaya?
Hulka ya nyuki kuruka mbali na udogo wake ule na kurejea kwa usahihi sehemu alipotoka, hulka yake na kuweza kuchagua maua ya kunyonya ute a kutengeneza asali kwenye maua na mimea isiyo na sumu, hulka yake ya kuchagua choo kwa ajili ya kupata pia ute wa malighafi unamfanya awe na nguvu ya kipekee kiroho... Si kila choo nyuki anaingia na si kila ua nyuki anatua....
Sasa kutokana na sifa zake hizo..... Kuna wakati unapoingia kwenye mapambano ya kiroho na unapokuwa umeanza kupata kinga... Let's say kuogea chumvi nk... Usishangae kuona kundi la nyuki linakuja na kufanya makazi hapo kwako.... Lakini hapa kuna mawili... Zingatia sana haya...
1. Wakija hapo na kuwa wapole bila kuleta dhahama yoyote jua hapo umeletewa ulinzi na hupaswi kuwaogopa wala kuwabughudhi.. Wapo hapo kwa nia njema kabisa na kitisho cha hatari kikiisha watajiondokea wenyewe na kupotea kusikojulikana
2. Kama utakapoanza tiba yoyote ya kiroho na likaja kundi kubwa la nyuki na kuanza kuishambulia familia yako ama wewe mwenyewe na watu wengine karibu ya hapo.... Jua wazi vita ni kubwa na hao maadui zako wanataka kukuwahi na wameshaona udhaifu kwenye tiba yako hiyo hivyo nao huwatumia nyuki hao hao lakini wakiwa ni wa kichawi kuja kukudhuru... Maranyingi wanaweza kuja maramoja na kuacha madhara makubwa ama la wanaweza kurejea kila wakati na kuchimba bit tu! Utawambuaje hawa? huwa wanachagua wa kushambulia tofauti na nyuki wa kawaida waliochokozwa ambao humuuma yeyote!!!
Kwahiyo makinika sana Unapoanza hizi tiba za kiroho kwa kila jambo linalokutokea.... Na hili la nyuki ulipe kipaumbele kwakuwa laweza kukutokea hata nje ya makazi yako... Unajikuta wanakuzigira na kukuzunguuka tu bila kukuuma.. Ama la wanakushukia na kufanya yao
Preamble! Chitchat sio sehemu salama sana siku hizi....! Uongozi usipokuwa makini JF itapoteza heshima yake
Sasa tuendelee na mada yetu
Je unajua kuwa Nyuki ni mlinzi kiroho na ni silaha pia ya kutumiwa pia na watu wabaya?
Hulka ya nyuki kuruka mbali na udogo wake ule na kurejea kwa usahihi sehemu alipotoka, hulka yake na kuweza kuchagua maua ya kunyonya ute a kutengeneza asali kwenye maua na mimea isiyo na sumu, hulka yake ya kuchagua choo kwa ajili ya kupata pia ute wa malighafi unamfanya awe na nguvu ya kipekee kiroho... Si kila choo nyuki anaingia na si kila ua nyuki anatua....
Sasa kutokana na sifa zake hizo..... Kuna wakati unapoingia kwenye mapambano ya kiroho na unapokuwa umeanza kupata kinga... Let's say kuogea chumvi nk... Usishangae kuona kundi la nyuki linakuja na kufanya makazi hapo kwako.... Lakini hapa kuna mawili... Zingatia sana haya...
1. Wakija hapo na kuwa wapole bila kuleta dhahama yoyote jua hapo umeletewa ulinzi na hupaswi kuwaogopa wala kuwabughudhi.. Wapo hapo kwa nia njema kabisa na kitisho cha hatari kikiisha watajiondokea wenyewe na kupotea kusikojulikana
2. Kama utakapoanza tiba yoyote ya kiroho na likaja kundi kubwa la nyuki na kuanza kuishambulia familia yako ama wewe mwenyewe na watu wengine karibu ya hapo.... Jua wazi vita ni kubwa na hao maadui zako wanataka kukuwahi na wameshaona udhaifu kwenye tiba yako hiyo hivyo nao huwatumia nyuki hao hao lakini wakiwa ni wa kichawi kuja kukudhuru... Maranyingi wanaweza kuja maramoja na kuacha madhara makubwa ama la wanaweza kurejea kila wakati na kuchimba bit tu! Utawambuaje hawa? huwa wanachagua wa kushambulia tofauti na nyuki wa kawaida waliochokozwa ambao humuuma yeyote!!!
Kwahiyo makinika sana Unapoanza hizi tiba za kiroho kwa kila jambo linalokutokea.... Na hili la nyuki ulipe kipaumbele kwakuwa laweza kukutokea hata nje ya makazi yako... Unajikuta wanakuzigira na kukuzunguuka tu bila kukuuma.. Ama la wanakushukia na kufanya yao
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji144]
Haaaaa Haaaaa 😂We jamaa lazma utakuja kua mchawi,mwanga mkubwa siku zijazo,,
Alafu utakuja kutusumbua majumba ni kwetu,,