Nyuki wema, nyuki wabaya!

Nyuki wema, nyuki wabaya!

Sasa naitumiaje mshanar Jr naomba nieleze japo kwa ufupi: nilazima ikolee sana kwenye maji au kijiko kimoja kwenye kindoo"
Kiganja kimoja ndoo ya Lita 20
 
Preamble! Chitchat sio sehemu salama sana siku hizi....! Uongozi usipokuwa makini JF itapoteza heshima yake

Sasa tuendelee na mada yetu
Je unajua kuwa Nyuki ni mlinzi kiroho na ni silaha pia ya kutumiwa pia na watu wabaya?
Hulka ya nyuki kuruka mbali na udogo wake ule na kurejea kwa usahihi sehemu alipotoka, hulka yake na kuweza kuchagua maua ya kunyonya ute a kutengeneza asali kwenye maua na mimea isiyo na sumu, hulka yake ya kuchagua choo kwa ajili ya kupata pia ute wa malighafi unamfanya awe na nguvu ya kipekee kiroho... Si kila choo nyuki anaingia na si kila ua nyuki anatua....
Sasa kutokana na sifa zake hizo..... Kuna wakati unapoingia kwenye mapambano ya kiroho na unapokuwa umeanza kupata kinga... Let's say kuogea chumvi nk... Usishangae kuona kundi la nyuki linakuja na kufanya makazi hapo kwako.... Lakini hapa kuna mawili... Zingatia sana haya...

1. Wakija hapo na kuwa wapole bila kuleta dhahama yoyote jua hapo umeletewa ulinzi na hupaswi kuwaogopa wala kuwabughudhi.. Wapo hapo kwa nia njema kabisa na kitisho cha hatari kikiisha watajiondokea wenyewe na kupotea kusikojulikana

2. Kama utakapoanza tiba yoyote ya kiroho na likaja kundi kubwa la nyuki na kuanza kuishambulia familia yako ama wewe mwenyewe na watu wengine karibu ya hapo.... Jua wazi vita ni kubwa na hao maadui zako wanataka kukuwahi na wameshaona udhaifu kwenye tiba yako hiyo hivyo nao huwatumia nyuki hao hao lakini wakiwa ni wa kichawi kuja kukudhuru... Maranyingi wanaweza kuja maramoja na kuacha madhara makubwa ama la wanaweza kurejea kila wakati na kuchimba bit tu! Utawambuaje hawa? huwa wanachagua wa kushambulia tofauti na nyuki wa kawaida waliochokozwa ambao humuuma yeyote!!!
Kwahiyo makinika sana Unapoanza hizi tiba za kiroho kwa kila jambo linalokutokea.... Na hili la nyuki ulipe kipaumbele kwakuwa laweza kukutokea hata nje ya makazi yako... Unajikuta wanakuzigira na kukuzunguuka tu bila kukuuma.. Ama la wanakushukia na kufanya yao
Brother Mshana Jr: Asante kwa uzi mubashara. Umenikumbusha kuna mahali nilidokezwa kwamba nyuki wanapokuuma sio tu kwamba utapata maumivu makali lakini pia sumu yao(bee-venom) hiyo ni tiba ya tatizo la Arthritis (mauzmivu ya viungo). Nikaangalishwa niwachunguze warina asali wasiotumia kinga kama wanasumbuliwa na tatizo la Arthritis.
 
Natumia chumvi ipi ile ya mawe au hii hii ya kiwandani?
Kiasi gani cha kuchanganyia na maji kabla ya kuoga
 
Tatizo nyuki wa Dizaini hiyo ambao wanatengenezwa na kina mkuu Mshana
na Likudi wanaweza kufufukia tumboni, wakaligeuza tumbo kuwa Mzinga ingawa
unaweza kupata faida ya kutoa haja kubwa ya masega na kukojoa asali
 
NIMERUDIA KUSOMA X2 LAKINI NIMETOKA KAPA, NIMEAMBULIA TU CHITCHAT SIO PAZURI..KIVIPI?
 
We jamaa lazma utakuja kua mchawi,mwanga mkubwa siku zijazo,,
Alafu utakuja kutusumbua majumba ni kwetu,,
 
Back
Top Bottom