Mwanachama wa ACT-Wazalendo Abdul Nondo amewatka vijana wa CCM kuacha kuunga mkono kila jambo linalofanywa na watawala kwakuwa wananafasi kubwa ya kukosoa na kuwaunganisha vijana kama Taifa
Source: MwanaHALISI TV
Kauli mbiu: Sera ya kujiajiri na ajira haina chama, tuungane kudai sera bora ili mamilioni ya 'wamachinga' na tukaao 'vijiweni' tupungue mitaani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.