what about feedback?
View attachment 62759Wanasayansi nchini Brazil wamegundua aina ya nyoka vipofu wenye umbo kama uume wa binadamu.
Nyoka hawa wa ajabu aina ya atretochoana eiselti walipatikana kwenye bwawa la kuzalisha umeme ambapo wakandarasi walikuwa wakifanya ukarabati kwenye misitu ya Amazon.
Wana baiolojia waliwapata nyoka hawa wenye umbo la ajabu sita wenye urefu wa mita moja chini ya mto Madeira huko Rondonia, Brazil.
ila waangalie wasitafunwe vimboga jela tu.umeona.....si muda mrefu hawa nyoka watafanywa deal.....wanawake watakuwa wanawanunua
halafu hawana macho kama dushelele
kitalolo nimechekelea nyoka asiyeng'atambona umechekelea hivyo?
View attachment 62759Wanasayansi nchini Brazil wamegundua aina ya nyoka vipofu wenye umbo kama uume wa binadamu.
kitalolo nimechekelea nyoka asiyeng'ata
Hv hakunaga tuzo ya the funiest person hapa Jf nikupendekeze uichukue we Boflo ?
hawa ni nyoka au ni kambale samaki