Tosokane
Senior Member
- Jan 21, 2017
- 197
- 203
Jambo lolote pasi na elimu ni shida, jamii yetu ina elimu ya kutosha ya nyoka? Wewe wasema hayo tyr una elimu ya kutosha. Pia nyoka huishi kwa kujificha hakai wazi, usidhan watu hupenda kuwakanyaga kuwakalia au kuwabana makusudi na hapo ndio vita huanzia. So, heri kujihami nao mapema na ujue hata hospitali nyingi hazina tiba mahususi za nyoka.Nyoka wapo wa aina nyingi
Kuna vinyoka vya kawaida huwa wanapatikana kwenye miti majumbani hao hawana madhara ndio maana MTU anaweza kungatwa kwa bahati mbaya na kwenda hospitali hata kwa kuchelewa madhara hakuna
Kuna jamii ya nyoka hatarishi ambao huishi msituni kama koboko hawa wana sumu kali ndio maana wanaishi misituni na hata hawa usipowasumbua hawawi aggressive ila ukiwasumbua wanakuwa aggressive kama vile paka
Paka ni rafiki ila ukimsumbua na kumkanyaga mkia anakuwa aggressive