Nyoka avuruga date yangu na habiba

Nyoka avuruga date yangu na habiba

Mshamba wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2015
Posts
2,897
Reaction score
3,706
Habari wanajamvi!

Baada ya kumfukuzia mdada mmoja wa kichaga(habiba) mwenye umbo namba nane na sura nzuri ya kuvutia kwa takribani miezi mitatu bila mafanikio.

Nilipokea message ya uyo dada akinitaka tufanye evening walk huku akinipa nafasi ya kujaribu kushawishi mtima wake.

Mwanaume bila kuchelewa nikafika eneo la tukio, lakini kabla ya kuanza evening walk yetu.

Nilizama dukani kwa mangi na kununua chocolate, soft drinks pamoja na PK (maana niliamini kwa asilimia mia moja kuwa ninge pata denda kwa siku hiyo).

Evening walk yetu ikaanza nikampanga Mtoto akapangika vizuri, na mwisho kabisa kuna swali akaniuliza:-

Habiba: "hivi worldboss unaniambia unanipenda je upo tayari kunilinda?"

Worldboss:"mama usihofu yani nitakulinda, nitakutunza pia kukupenda maisha yangu yote"

Basi Habiba kusikia ivyo akanikumbatia, nakunijibu "nakupenda pia".Baada ya hapo tukakunja kona ili turudi mtaani.

Mara paap binti kaona kitu kama nyoka kaanza kupiga kelele huku akirukaruka na kunishikilia shati.

Mzee nikala mita kama Hussein bolt , manzi kang'ang'ania shati nika msukuma kulekule kwenye nyoka akaanguka Mzee nikauchana mpaka nyumbani huku nikihema juu juu kama funza.

Baada kama ya nusu saa naona text akiniambia hauwezi tena kuendelea na Mimi kwakuwa sitoweza kumlinda kama nilivyoahidi.

Aisee imeniuma sana, naombeni ushauri wanajamvi ntampataje habiba wangu.
 
Habari wanajamvi!

Baada ya kumfukuzia mdada mmoja wa kichaga(habiba) mwenye umbo namba nane na sura nzuri ya kuvutia kwa takribani miezi mitatu bila mafanikio.

Nilipokea message ya uyo dada akinitaka tufanye evening walk huku akinipa nafasi ya kujaribu kushawishi mtima wake.

Mwanaume bila kuchelewa nikafika eneo la tukio, lakini kabla ya kuanza evening walk yetu.

Nilizama dukani kwa mangi na kununua chocolate, soft drinks pamoja na PK (maana niliamini kwa asilimia mia moja kuwa ninge pata denda kwa siku hiyo).

Evening walk yetu ikaanza nikampanga Mtoto akapangika vizuri, na mwisho kabisa kuna swali akaniuliza:-

Habiba: "hivi worldboss unaniambia unanipenda je upo tayari kunilinda?"

Worldboss:"mama usihofu yani nitakulinda, nitakutunza pia kukupenda maisha yangu yote"

Basi Habiba kusikia ivyo akanikumbatia, nakunijibu "nakupenda pia".Baada ya hapo tukakunja kona ili turudi mtaani.

Mara paap binti kaona kitu kama nyoka kaanza kupiga kelele huku akirukaruka na kunishikilia shati.

Mzee nikala mita kama Hussein bolt , manzi kang'ang'ania shati nika msukuma kulekule kwenye nyoka akaanguka Mzee nikauchana mpaka nyumbani huku nikihema juu juu kama funza.

Baada kama ya nusu saa naona text akiniambia hauwezi tena kuendelea na Mimi kwakuwa sitoweza kumlinda kama nilivyoahidi.

Aisee imeniuma sana, naombeni ushauri wanajamvi ntampataje habiba wangu.
Mkuu, kwanza tambua tu una 1 kati ya magonjwa yanayoligharimu taifa
 
Nadhani huu uzi wafaa kuwekwa kuleeee jf chit chat. Tafadhali moderators tusaidieni!...
 
Pentagon kuna chochoro. Kuna nyoka tena nahisi ni anaconda huyo. Mlete Mtoto huyo bongo akutane na Kenge
 
Habari wanajamvi!

Baada ya kumfukuzia mdada mmoja wa kichaga(habiba) mwenye umbo namba nane na sura nzuri ya kuvutia kwa takribani miezi mitatu bila mafanikio.

Nilipokea message ya uyo dada akinitaka tufanye evening walk huku akinipa nafasi ya kujaribu kushawishi mtima wake.

Mwanaume bila kuchelewa nikafika eneo la tukio, lakini kabla ya kuanza evening walk yetu.

Nilizama dukani kwa mangi na kununua chocolate, soft drinks pamoja na PK (maana niliamini kwa asilimia mia moja kuwa ninge pata denda kwa siku hiyo).

Evening walk yetu ikaanza nikampanga Mtoto akapangika vizuri, na mwisho kabisa kuna swali akaniuliza:-

Habiba: "hivi worldboss unaniambia unanipenda je upo tayari kunilinda?"

Worldboss:"mama usihofu yani nitakulinda, nitakutunza pia kukupenda maisha yangu yote"

Basi Habiba kusikia ivyo akanikumbatia, nakunijibu "nakupenda pia".Baada ya hapo tukakunja kona ili turudi mtaani.

Mara paap binti kaona kitu kama nyoka kaanza kupiga kelele huku akirukaruka na kunishikilia shati.

Mzee nikala mita kama Hussein bolt , manzi kang'ang'ania shati nika msukuma kulekule kwenye nyoka akaanguka Mzee nikauchana mpaka nyumbani huku nikihema juu juu kama funza.

Baada kama ya nusu saa naona text akiniambia hauwezi tena kuendelea na Mimi kwakuwa sitoweza kumlinda kama nilivyoahidi.

Aisee imeniuma sana, naombeni ushauri wanajamvi ntampataje habiba wangu.
Mwabaume wa dar. Unaogopa nyoka mkuu tena uko na manzi unamkimbia? Come on man.
Hapa sikusgauri chochote ila umeonyesha bonge la udhaifu kwa huyo manzi. Umeshaharibu
 
Habari wanajamvi!

Baada ya kumfukuzia mdada mmoja wa kichaga(habiba) mwenye umbo namba nane na sura nzuri ya kuvutia kwa takribani miezi mitatu bila mafanikio.

Nilipokea message ya uyo dada akinitaka tufanye evening walk huku akinipa nafasi ya kujaribu kushawishi mtima wake.

Mwanaume bila kuchelewa nikafika eneo la tukio, lakini kabla ya kuanza evening walk yetu.

Nilizama dukani kwa mangi na kununua chocolate, soft drinks pamoja na PK (maana niliamini kwa asilimia mia moja kuwa ninge pata denda kwa siku hiyo).

Evening walk yetu ikaanza nikampanga Mtoto akapangika vizuri, na mwisho kabisa kuna swali akaniuliza:-

Habiba: "hivi worldboss unaniambia unanipenda je upo tayari kunilinda?"

Worldboss:"mama usihofu yani nitakulinda, nitakutunza pia kukupenda maisha yangu yote"

Basi Habiba kusikia ivyo akanikumbatia, nakunijibu "nakupenda pia".Baada ya hapo tukakunja kona ili turudi mtaani.

Mara paap binti kaona kitu kama nyoka kaanza kupiga kelele huku akirukaruka na kunishikilia shati.

Mzee nikala mita kama Hussein bolt , manzi kang'ang'ania shati nika msukuma kulekule kwenye nyoka akaanguka Mzee nikauchana mpaka nyumbani huku nikihema juu juu kama funza.

Baada kama ya nusu saa naona text akiniambia hauwezi tena kuendelea na Mimi kwakuwa sitoweza kumlinda kama nilivyoahidi.

Aisee imeniuma sana, naombeni ushauri wanajamvi ntampataje habiba wangu.
Dar kuna nyoka? Au ulikuwa ndotoni
 
Back
Top Bottom