mjasiri na mali
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 1,178
- 2,169
Mkuu usisahau nilihaidi kukupa hifadhi wewe na Dada yako pindi mtokapo hapo kwa shemeji yako
Kama unataka kutunga tumia uhalisia hase hamna mwanaume anaweza kukimbia nyoka kiasi hicho unachosema ww kama ni mwoga ataenda mita kadhaa tu lakin sio mpaka nyumbaniHabari wanajamvi!
Baada ya kumfukuzia mdada mmoja wa kichaga(habiba) mwenye umbo namba nane na sura nzuri ya kuvutia kwa takribani miezi mitatu bila mafanikio.
Nilipokea message ya uyo dada akinitaka tufanye evening walk huku akinipa nafasi ya kujaribu kushawishi mtima wake.
Mwanaume bila kuchelewa nikafika eneo la tukio, lakini kabla ya kuanza evening walk yetu.
Nilizama dukani kwa mangi na kununua chocolate, soft drinks pamoja na PK (maana niliamini kwa asilimia mia moja kuwa ninge pata denda kwa siku hiyo).
Evening walk yetu ikaanza nikampanga Mtoto akapangika vizuri, na mwisho kabisa kuna swali akaniuliza:-
Habiba: "hivi worldboss unaniambia unanipenda je upo tayari kunilinda?"
Worldboss:"mama usihofu yani nitakulinda, nitakutunza pia kukupenda maisha yangu yote"
Basi Habiba kusikia ivyo akanikumbatia, nakunijibu "nakupenda pia".Baada ya hapo tukakunja kona ili turudi mtaani.
Mara paap binti kaona kitu kama nyoka kaanza kupiga kelele huku akirukaruka na kunishikilia shati.
Mzee nikala mita kama Hussein bolt , manzi kang'ang'ania shati nika msukuma kulekule kwenye nyoka akaanguka Mzee nikauchana mpaka nyumbani huku nikihema juu juu kama funza.
Baada kama ya nusu saa naona text akiniambia hauwezi tena kuendelea na Mimi kwakuwa sitoweza kumlinda kama nilivyoahidi.
Aisee imeniuma sana, naombeni ushauri wanajamvi ntampataje habiba wangu.
Au unamaanisha njemba zimemkamata dem zikataka kukupaka mafuta nawwUsiombe ukutane na mmoja
Sawa nn mkuu hicho ndo ulichomaanisha au ni nyoka kama nyoka kabisaSawa mkuu
Utakimbiaje nyoka kiasi hicho mkuuNyoka mkuu
Aku me kwanza sijawah kufika pentagon wala pentatonixNdo wewe nini habiba wangu?
Ha ha haHaya yote yametokea hukohuko Pentagoni mkuu?
..!!!Haya yote yametokea hukohuko Pentagoni mkuu?