Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,897
- 3,706
- Thread starter
- #21
Usiombe ukutane na mmojaDar kuna nyoka? Au ulikuwa ndotoni
Usiombe ukutane na mmojaDar kuna nyoka? Au ulikuwa ndotoni
Kijana wa Dar unakimbia nyoka! Hahaaa ila we jamaa kwa chai hujamboUsiombe ukutane na mmoja
Sawa mkuuStori ya kutunga, ustupotezee time
Hivi kumbe ndo mtanzania wa kwanza kufanya kazi oetagonHaya yote yametokea hukohuko Pentagoni mkuu?
Hivi kumbe ndo mtanzania wa kwanza kufanya kazi oetagon


!....ndiyo mkuu!Hawa ntoka wa pentagon hatari sana aisee!....ndiyo mkuu!
Mtanzania wa kwanza kuanya kazi pentagon - JamiiForumsHabari wanajamvi!
Baada ya kumfukuzia mdada mmoja wa kichaga(habiba) mwenye umbo namba nane na sura nzuri ya kuvutia kwa takribani miezi mitatu bila mafanikio.
Nilipokea message ya uyo dada akinitaka tufanye evening walk huku akinipa nafasi ya kujaribu kushawishi mtima wake.
Mwanaume bila kuchelewa nikafika eneo la tukio, lakini kabla ya kuanza evening walk yetu.
Nilizama dukani kwa mangi na kununua chocolate, soft drinks pamoja na PK (maana niliamini kwa asilimia mia moja kuwa ninge pata denda kwa siku hiyo).
Evening walk yetu ikaanza nikampanga Mtoto akapangika vizuri, na mwisho kabisa kuna swali akaniuliza:-
Habiba: "hivi worldboss unaniambia unanipenda je upo tayari kunilinda?"
Worldboss:"mama usihofu yani nitakulinda, nitakutunza pia kukupenda maisha yangu yote"
Basi Habiba kusikia ivyo akanikumbatia, nakunijibu "nakupenda pia".Baada ya hapo tukakunja kona ili turudi mtaani.
Mara paap binti kaona kitu kama nyoka kaanza kupiga kelele huku akirukaruka na kunishikilia shati.
Mzee nikala mita kama Hussein bolt , manzi kang'ang'ania shati nika msukuma kulekule kwenye nyoka akaanguka Mzee nikauchana mpaka nyumbani huku nikihema juu juu kama funza.
Baada kama ya nusu saa naona text akiniambia hauwezi tena kuendelea na Mimi kwakuwa sitoweza kumlinda kama nilivyoahidi.
Aisee imeniuma sana, naombeni ushauri wanajamvi ntampataje habiba wangu.
Umefanikwa kuhama kwa Shemeji yako!Au umeamua kuvumilia Dada kushikwa takoHabari wanajamvi!
Baada ya kumfukuzia mdada mmoja wa kichaga(habiba) mwenye umbo namba nane na sura nzuri ya kuvutia kwa takribani miezi mitatu bila mafanikio.
Nilipokea message ya uyo dada akinitaka tufanye evening walk huku akinipa nafasi ya kujaribu kushawishi mtima wake.
Mwanaume bila kuchelewa nikafika eneo la tukio, lakini kabla ya kuanza evening walk yetu.
Nilizama dukani kwa mangi na kununua chocolate, soft drinks pamoja na PK (maana niliamini kwa asilimia mia moja kuwa ninge pata denda kwa siku hiyo).
Evening walk yetu ikaanza nikampanga Mtoto akapangika vizuri, na mwisho kabisa kuna swali akaniuliza:-
Habiba: "hivi worldboss unaniambia unanipenda je upo tayari kunilinda?"
Worldboss:"mama usihofu yani nitakulinda, nitakutunza pia kukupenda maisha yangu yote"
Basi Habiba kusikia ivyo akanikumbatia, nakunijibu "nakupenda pia".Baada ya hapo tukakunja kona ili turudi mtaani.
Mara paap binti kaona kitu kama nyoka kaanza kupiga kelele huku akirukaruka na kunishikilia shati.
Mzee nikala mita kama Hussein bolt , manzi kang'ang'ania shati nika msukuma kulekule kwenye nyoka akaanguka Mzee nikauchana mpaka nyumbani huku nikihema juu juu kama funza.
Baada kama ya nusu saa naona text akiniambia hauwezi tena kuendelea na Mimi kwakuwa sitoweza kumlinda kama nilivyoahidi.
Aisee imeniuma sana, naombeni ushauri wanajamvi ntampataje habiba wangu.
Dah...hamkumuelewa..alikuwa na maana ya Pentagon Bar ipo Moshi..Keshasahu kama alidanganya, hawa vijana wa facebook wana mambo sana. Pentagon upate msichana anaitwa Habiba?

Hamna sio hivo mkuu kaona unakaa kwa shemejiHabari wanajamvi!
Baada ya kumfukuzia mdada mmoja wa kichaga(habiba) mwenye umbo namba nane na sura nzuri ya kuvutia kwa takribani miezi mitatu bila mafanikio.
Nilipokea message ya uyo dada akinitaka tufanye evening walk huku akinipa nafasi ya kujaribu kushawishi mtima wake.
Mwanaume bila kuchelewa nikafika eneo la tukio, lakini kabla ya kuanza evening walk yetu.
Nilizama dukani kwa mangi na kununua chocolate, soft drinks pamoja na PK (maana niliamini kwa asilimia mia moja kuwa ninge pata denda kwa siku hiyo).
Evening walk yetu ikaanza nikampanga Mtoto akapangika vizuri, na mwisho kabisa kuna swali akaniuliza:-
Habiba: "hivi worldboss unaniambia unanipenda je upo tayari kunilinda?"
Worldboss:"mama usihofu yani nitakulinda, nitakutunza pia kukupenda maisha yangu yote"
Basi Habiba kusikia ivyo akanikumbatia, nakunijibu "nakupenda pia".Baada ya hapo tukakunja kona ili turudi mtaani.
Mara paap binti kaona kitu kama nyoka kaanza kupiga kelele huku akirukaruka na kunishikilia shati.
Mzee nikala mita kama Hussein bolt , manzi kang'ang'ania shati nika msukuma kulekule kwenye nyoka akaanguka Mzee nikauchana mpaka nyumbani huku nikihema juu juu kama funza.
Baada kama ya nusu saa naona text akiniambia hauwezi tena kuendelea na Mimi kwakuwa sitoweza kumlinda kama nilivyoahidi.
Aisee imeniuma sana, naombeni ushauri wanajamvi ntampataje habiba wangu.
HahahHamna sio hivo mkuu kaona unakaa kwa shemeji