Kweli kabisa, nami nasikiliza country music. Yaani, kama mpenzi wa music, masongi mazuri yamezagaa kila kona. Kwenye soft rock huko nako balaa, ukija reggae balaa, neo soul ndo usiseme, jazz uwiii. Yaani ni kusikiliza pande zote na kufocus kwenye meseji kwanza, utapenda.
in my tenesse mountain home