kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Nimesikitika sana kuwepo kipindi hewani tena live kinachozungumzia pornograph.
Jinsi huyu mzungumzaji anavyosema bila hata tafsida na kurudia rudia maneno kama masturbation,nimeshangaa na nimeona aibu kubwa mbele ya watoto tukinywa chai.
Mimi nikiwa nimeachana na mke wangu na nimeamua kuishi peke yangu,jamaa anasema watu wa jinsi yangu tuko possessed na mapepo ya masturbation!! Naamini watoto walianza kujiuliza kweli baba naye anafanya hivi!Kwani nina jilinda sana watoto wasijue mahusiano yangu ya nje.
Vipindi kama hivi muwe mnaviweka usiku sana,si haki kuwajengea watoto udadisi wa masuala haya wazi wazi hivi..
Jinsi huyu mzungumzaji anavyosema bila hata tafsida na kurudia rudia maneno kama masturbation,nimeshangaa na nimeona aibu kubwa mbele ya watoto tukinywa chai.
Mimi nikiwa nimeachana na mke wangu na nimeamua kuishi peke yangu,jamaa anasema watu wa jinsi yangu tuko possessed na mapepo ya masturbation!! Naamini watoto walianza kujiuliza kweli baba naye anafanya hivi!Kwani nina jilinda sana watoto wasijue mahusiano yangu ya nje.
Vipindi kama hivi muwe mnaviweka usiku sana,si haki kuwajengea watoto udadisi wa masuala haya wazi wazi hivi..