Unajua huwa inanishangaza sana watu wanapomdhihaki mwalimu na swala la maendeleo wakati wao wenyewe ndio wameharibu maendeleo. Hivi pamoja na ujenzi wa shule na vitu vyote hivi kuna mtu anaweza kunambia University bora zaidi ya UDSM? kuna anaweza kunambia leo tuna Hospital gani bora kwa huduma kuliko Muhimbili, anaweza kunambia tuna hata Hotel gani bora kuliko alizoziacha mwalimu bila kuwepo na utata..Na hata viwanda vikubwa na bora zaidi ya vile alivyoaviacha mwalimu?...
Labda mimi siijui vizuri Tanzania lakini nachokiona ni kwamba vitu vile vile vinapopata msimamizi mzuri vimeweza kuboreshwa zaidi ktk huduma, hivyo vilikosa usimamizi mzuri na kwa bahati mbaya mwalimu hakuwa msimamizi bali sisi wenyewe tuloviua vingine leo tunamlaumu mwalimu..
Labda mimi siijui vizuri Tanzania lakini nachokiona ni kwamba vitu vile vile vinapopata msimamizi mzuri vimeweza kuboreshwa zaidi ktk huduma, hivyo vilikosa usimamizi mzuri na kwa bahati mbaya mwalimu hakuwa msimamizi bali sisi wenyewe tuloviua vingine leo tunamlaumu mwalimu..