Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,301
Umewasahau Barubaru na Mzee Mohamed Saidi!hakika wewe ni great thinker!
sasa ngoja tusubiri mitazamo ya kina FF,RITZ,MS,REJAO ili tujue nao wana maoni gani
Umewasahau Barubaru na Mzee Mohamed Saidi!hakika wewe ni great thinker!
sasa ngoja tusubiri mitazamo ya kina FF,RITZ,MS,REJAO ili tujue nao wana maoni gani
Mkuu wangu,Umeishia Darasa la ngapi chalii? Mbona unaji-contradict mwenyewe hapo kwenye red panakuhusu.
Ni bora yeye aliiga,bahati mbaya akafeli (in very minute percentage that can,t be defined).Mwinyi aliwaleta kutusaidia au Aliwauzia kabisa kila kitu-Loliondo gate ya Mwarabu toka UAE.Jakaya Kikwete Kapewa Suti katepeta anashindwa hata kuwakemea amebaki ndiyo mzee.IPTL,Richmond(alijua kila kitu kadiri ya Lowassa) hivyo aliwaleta watusaidie amethubutu,ameweza amesongeshwa mbele kuibomoa nchi.Muasisi wa Udini,matabaka,ubinafsi chako ni chako yaani laana mzuka!!!M
uislam Pekee na mbaye anamtambua Mwalimu kwa sababu Elimu na Taaluma yake sio-ya-kuchakachua ni Dr.wa ukeli Dr.Salim Ahmed Salim ambaye Mzee ruksa ali-trick akamzunguka aupate ukuu wa nchi,lakini hakuwa,asingekuwa na hatakuwa chaguo la watz kama JK,na ndio maana JK hataki mkumwita Baba wa Taifa Mwalimu. Na asipotubu dhambi alizomsingizia Dr.Salim nchi lazima impakate tu!!!!
Hayo niliyategemea kutoka kwako na sivinginevyo, pole bi mkubwa!Kwanza kabisa mimi sikubaliani na hilo "baba" wa Taifa, huo ni ukatoliki na hutumika kanisani kuwaita wachungaji "baba", kumuita "papa" "baba" mtakatifu.
Hii nchi Nyerere aliikuta ina watu wa imani tofauti na ameondoka ametuwacha watu wa imani tofauti, kwanini mtubambikie vyeo vya kikatoliki na Kikristo? hamuoni kuwa huo ni "udini" wa wazi wazi?
Hakuna "baba" wa Taifa, huo ubaba alipewa na nani na kwa ridhaa ya nani? msitujaze ujinga.
Ukichunguza sana na kwa makini,wanaombeza na kusambaza chuki kwa Hayati baba wa Taifa hapa JF ni wale wapenzi wakubwa na watetezi wa CCM na utawala wa Awamu ya nne. Tujiulize kwa nini ni hivyo?
Lazima iko namna au ni mkakati maalum ambao haukuanzia JF ila una baraka toka juu.
Kwanza kabisa mimi sikubaliani na hilo "baba" wa Taifa, huo ni ukatoliki na hutumika kanisani kuwaita wachungaji "baba", kumuita "papa" "baba" mtakatifu.
Hii nchi Nyerere aliikuta ina watu wa imani tofauti na ameondoka ametuwacha watu wa imani tofauti, kwanini mtubambikie vyeo vya kikatoliki na Kikristo? hamuoni kuwa huo ni "udini" wa wazi wazi?
Hakuna "baba" wa Taifa, huo ubaba alipewa na nani na kwa ridhaa ya nani? msitujaze ujinga.
mzazi wako wa kiume huwa anaitwaje?
A. Baba B. Babu c. Sykes D. Mungu
Nadhani huwezi kosea maana hata yule mjukuu wako wa vidudu aweza jibu kwa usahihi!
Hivi kama patrice Lumbumba angechukua nchi na kuweka misingi ya kikomunisti nchini Zaire, kweli Lwambo na Lipua Lipua wangetamba barani africa?SI unajua wakomunistoi huondoa hati miliki za wanamuziki nakuwadhoofisha wanamuziki? Je zaire ingecheza world cup 1974 na kuchukua AFCON mwaka huo huo? Tazama nchi za kikomunisti zilivyo dolola kisoka mara baada ya kuuingiza ukomunisti nchini mwao. Ulaya mashariki yote, hamna hata nchi moja inayoweza kuifunga Ivory Cost, Ghana, Cameroon na Zambia.
Wazaire walijua kabisaa tokea zamani kuwa ukomunisti ni Unyama. Hivyo walimchinja Lumumba na kumtia mwili wake katika pipa la acid ayeyuke mpaka mifupa. halafu mpaka leo kaburi lake halijaonekana. Hapo waliwakomboa sana watu wenye vipaji vyao na kuajilika navyo kama vile kina Lwambo, DR Nico, Verkyis, Josky Kiambukuta, shaba kahamba na wengine wengi.
Nchi kama guine, ilikuwa taifa bora kwa soka hapa africa. Lakini mara baada ya kuingiza ukomunisti tuu, klabu yake ya Hafia iliyowahi kutwaa ubingwa wa africa mara nne iliporomoka vibaya sana. Soka la guine likafa na kukabakia makwaya na magwaride tuu.
Halafu lazima ukumbuke kuwa ukomunisti hapa africa, umeuwa watu wengi sana kuliko vita vya uhuru. Tazama walivyouana Angola, Msumbiji, Congo Brazavile na Ethiopia. ni ukweli kabisaa kuwa , shetani alitaka kuitawala dunia kwa kupitia sera za kinyama za kikomunisti. wazaire usiwalaumu kwa kumyonga Lumumba, hakuwa na tofauti na kina Boris Pugo-wa Urussi.
sasa hivi zaire ni taifa la tatu duniani , kwa kupeleka viaja wake kucheza soka la kulipwa ulaya mashariki na magharibi mpaka bara la america. Ya kwanza ni Brazil, na ya pili ni algentina.
Ukomunisti haujui kabisaa kulea vijana . Huwatumia viajan kuimba kwaya, kucheza gwaride na kuwapeleka mashambani kulima.
So wewe mzazi wako wa kiume mwenzetu unamuita nani? Make huwezi kumuita baba kufanya hivo utakuwa unatukuza ukatoliki. Leo nimeona faida nyingine ya jamvi hili ni ; Yaani wenye akili na wajinga wanajileta wenyewe. Pole pole twaweza kujua taifa lina mbumbu wangapi. Long live JFKwanza kabisa mimi sikubaliani na hilo "baba" wa Taifa, huo ni ukatoliki na hutumika kanisani kuwaita wachungaji "baba", kumuita "papa" "baba" mtakatifu.
Hii nchi Nyerere aliikuta ina watu wa imani tofauti na ameondoka ametuwacha watu wa imani tofauti, kwanini mtubambikie vyeo vya kikatoliki na Kikristo? hamuoni kuwa huo ni "udini" wa wazi wazi?
Hakuna "baba" wa Taifa, huo ubaba alipewa na nani na kwa ridhaa ya nani? msitujaze ujinga.
Ji habari reeeefu halisomeki, wala sina muda wa kulisoma, kwa kifupi:
Kama huu ungekuwa mkataba baina ya Tanzania na Mwekezaji, na wewe ukawa kiongozi wa nchi anayepaswa kuusani kwa niaba ya Watanzania, leo tungeanza kuibiwa, maana ungeusaini bila kusoma kwa sababu ni reeeeeeeeeefu. Afadhali Chief Mangungo alikuwa hajui kusoma aliposaini na Carl Peters. Leo watanzania wanajua kusoma, lakini wavivu wa kusoma mikataba yenye kurasa 50.
Dada Mdogo FaizaFoxy (nasema hivyo kwa sababu nina uhakika mimi ni kaka yako mkubwa kiumri):-Kwanza kabisa mimi sikubaliani na hilo "baba" wa Taifa, huo ni ukatoliki na hutumika kanisani kuwaita wachungaji "baba", kumuita "papa" "baba" mtakatifu.
Hii nchi Nyerere aliikuta ina watu wa imani tofauti na ameondoka ametuwacha watu wa imani tofauti, kwanini mtubambikie vyeo vya kikatoliki na Kikristo? hamuoni kuwa huo ni "udini" wa wazi wazi?
Hakuna "baba" wa Taifa, huo ubaba alipewa na nani na kwa ridhaa ya nani? msitujaze ujinga.
Mkuu wangu,
Mie kijakazi wako nimeishia darasa la nne la zamani. Samahani kama nimekukwaza kwa kujadiliana na wewe mwenye upeo mkubwa. Ila naomba usichoke kunisaidia kunifundisha mkuu wangu.
Nikisema China na Urusi nina maana nchi za kikomunisti au kwa lugha iliyozoeleka nchi ya kijamaa. Stalin alikuwa kiongozi wa Urusi (iliyoungana)
Nikisema angeleta wageni nina maana angeleta wageni kutoka magharibi (kwenye ubepari) maana mabepari ndio wanaweza kuendesha biashara yenye kuleta faida.
Mambo ya SAS na JK mie hayanihusu maana sio mada iliyopo mezani.
Nawasilisha mkuu wangu.
Ndimi
unaijua CHINA au unaisikia? ziulize hizo nchi za magharibi kuhusu China! ukipata jibu ndipo utaelewa kama tungewaiga mpaka leo hii tungekuwa wapi!!
Dada Mdogo FaizaFoxy (nasema hivyo kwa sababu nina uhakika mimi ni kaka yako mkubwa kiumri):-
1.Ni hivi karibuni nilikuwa Pakistan. Unapotua uwanja wa ndege Islamabad unakaribishwa na bango lisemalo "Welcome to the Islamic Republic of Pakistan". Lakini licha ya nchi hiyo kuwa ni ya mfumo wa kiislamu bado wanamuita kiongozi wa kwanza wa nchi hiyo, Muhammad Ali Jinah, Baba wa Taifa "Baba-e-Qaum (بابائے قوم😉".
2. Na sio Pakistan peke yake kati ya nchi za kiislamu ambako viongozi wamepewa wadhifa wa Baba wa Taifa. Kwa mfano Uturuki, Mustafa Kemal Atatürk (Atatürk = Great Father of the Turks). Sheikh Zayed bin Sultan Al Nahyan wa United Arab Emirates (والد الأمة = Waalid Alamat) na pia Ibn Saud of Saudi Arabia ( والد الأمة = Waalid Alam)
Kwa hiyo nadhani sio kila mada ni lazima uchangie kwa mtizamo wa kidini. Waswahili husema ujanja mwingi mbele giza!
unaijua CHINA au unaisikia? ziulize hizo nchi za magharibi kuhusu China! ukipata jibu ndipo utaelewa kama tungewaiga mpaka leo hii tungekuwa wapi!!
Tungewaiga kivipi na tungekuwa wapi kivipi? maamuzi ya nchi gani iwe tajiri, ipi ibakia maskini sio ya taifa kujiamulia kienyeji - China wamelazimisha kwa sababu ya kuwa na mabomu ya Nuclear kwahiyo wanayatumia as a deterrent na wana bahati sana katika kipindi chote hicho waliwekeza katika sayansi na teknolojia kwa watu wake, sio kama North Korea;
Nchi kama South Korea, Malaysia, Singapore, wanasiasa wetu wanapotosha sana watanzania kwa kusema kwamba tulikuwa sawa, wao wameendelea; Pia mataifa makubwa yanapenda kutumia uongo huu ili na sisi tuone kwamba tukifuata maelekezo yao tutafika kule; Ni kweli hizi nchi zilikuwa sawa kimaendeleo kama Tanzania lakini kilichofanya ziendelee ni guided capitalism ya US, UK, France...wakati wa cold war; walimwagiwa fedha nyingi kupita kiasi ili kuwafanya waone Soviet sio lolote bali marekani kimaendeleo; Marekani aliogopa sana nchi hizi kuangukia upande wa Soviet; Mafanikio ya Hizi nchi yalitokana na serikali na bureucrats kujiingiza katika state entreprenuership; ila na wao walikuwa na akili ya kuwekeza kwenye elimu, sayansi na teknolojia kwa kutumia mabilioni yale ya fedha; Katika Africa, hatukuwa na bahati hiyo ya kuwa protected away from the Soviet; kazi hiyo kwa kiasi fulani aliachiwa kaburu; ila kuna nchi moja ambayo ingeamua ingekuwa mbali sana leo - ZAIRE - hawa walipewa kila kitu na west kwa mtindo ule ule wa South Korea, Zaire ilikua the main playground ya Ubepari VS ukomunisti, lakini Mobutu hakutumia nafasi ile;
Hii imekaa vizuri sana na ni darasa zuri sana. Mbali na kuwa ni Rais wa kwanza wa Tanzania, mazuri ya Nyerere ukiamua kuyatafuta utayapata mengi sana, ukiamua kuyaandika utaandika na hata ukitaka kufundishia utapata mambo mengi sana ambayo yanaweza kutoa msingi mzuri kwa nchi yetu na Africa kwa Ujumla. Sidhani kama kuna kiongozi yeyote Africa aliyefanikiwa kwa kiasi cha Nyerere kuweza kuishi na kusimamia kile alichoamini ni bora kwa mwafrika. Ukitaka kuandika historia ya viongozi wengi utajikuja unaaandika historia binafsi, lakini historia ya Nyerere ni ya nchi, na Africa kwa ujumla.
Kulinganisha hili na mpira wa kulipwa au eti angechukua wakoloni tuliowaondoa ili waje kutuendeshea nchi ndio inaonyesha wanaokejeli ni wavivu wa kusoma hata yale uliyoandika hapo juu, ukiachilia mbali vyanzo vingine vya habari.
..........................
Heshima ya Baba wa taifa inatambulika na bunge la nchi husika kwa mujibu wa Sheria, kwa kuzingatia kwamba bunge ndio chombo cha kuwakilisha maoni ya wengi. Heshima ya Baba wa taifa haina mahusiano yoyote na kitabu chochote kitakatifu (Quran au Biblia) hasa ukizingatia kwamba serikali nyingi, kikatiba, hazina dini. Ni muhimu tutambue kwamba, katika historia ya dunia, haijawahi kutokea hali ya kwa taifa lolote huru kuingia katika mzozo juu ya nani anastahili heshima ya kuwa Baba wa Taifa, kwa sababu, kama tulivyokwisha ona asili ya heshima hii ni hali ya mwananchi mmoja kujitoa mhanga kuongoza wengi katika harakati za ukombozi. Vilevile, hakujawahi kutokea mjadala unahusu Baba wa Taifa, katika taifa lolote huru duniani, unaligawa taifa kwa misingi ya kidini, kikabila, au itikadi ya siasa, pia kwa sababu, kama tulivyoona, ubaguzi wa aina yoyote ndicho kiini cha mapambano ya uhuru au ukombozi. Mjadala wa namna hii umejitokeza Tanzania, ambapo hata wenzetu wa Kenya ambao, kihistoria wamegawanyika sana kama taifa kikabila, bado hawatofautiani juu ya Baba wao wa Taifa Mzee Kenyatta. .......
Tuingie kwenye hoja ya pili inayohoji uhalali wa Mwalimu Nyerere kuwa Baba wa Taifa katika Muungano:
- JE WENYE HOJA ZA KUMKEJELI BABA WA TAIFA WANAJIFUNZA NINI?
- USHAURI KWA WAFITINI WA BABA WA TAIFA
· Ubaba wa taifa sio Mapenzi ya mtu mmoja mmoja aidha kwa kutumwa au kwa juhudi binafsi bali ni heshima kwa mujibu wa sheria kama tulivyokwisha ona. ....
..........................................
Mungu amrehemu Baba Wetu wa Taifa, Mwalimu Julius Kambaraga Nyerere.
Mungu Ibariki Tanzania.
Nilikuwa najiuliza ni nini chimbuko la hii tabia iliyoanzan siku hizi za karibuni ya kumchafua Mwl. J.K. Nyerere. Sasa nimeanza kuelewa kidogo na itakuwa vizuri kufuatilia na kujua hao wanaofanya hivyo wanafanya kwa sababu gani na kwa faida ya nani hapo baadae. Hii campaign itagonga mwamba tu kwa sababu huwezi kujisafisha mwenyewe wakati wewe u mchafu kwa kutaka kumpaka mwingine matope.hakika wewe ni great thinker!
sasa ngoja tusubiri mitazamo ya kina FF,RITZ,MS,REJAO ili tujue nao wana maoni gani
FPWakuu WildCard na Mchambuzi,
Baba wa Taifa alikuwa HAAMBILIKI. Vijiji vingi ya Singida na Dodoma unavyoongelea ni vya UJAMAA na ndivyo vimekufa. Kwenda vijiji vya ujamaa kulifanywa bila tahmini na research ya kutosha. Mwalimu aliiga kila kitu Urusi na China bila ku LOCALIZE.
.