Katika CCM ya leo hakuna mtu angependa kumsikiliza Nyerere. Wangefurahi zaidi kama angesahaulika katika fikra za Watanzania kama walivyomsahau katika fikra zao.Ukisikiliza hii speech utajua kwanini watu wa uganda wanataka kumfanya huyu mtu awe mtakatifu...any way hii ni imani yao.
Mie ningependekeza kabla ya vikao vya baraza la mawaziri, bunge na vyama vya siasa, wawe wanaweka speech kama hii baada ya dua, na kabla ya kuanza mijadala yao.
Hii italeta discipline,focus,transparency, hata kuwaondoa watu walioitia mfukoni serikali ya JK (RA na wenzake).
Katika CCM ya leo hakuna mtu angependa kumsikiliza Nyerere. Wangefurahi zaidi kama angesahaulika katika fikra za Watanzania kama walivyomsahau katika fikra zao.
Nimeshindwa kujizuiz leo baada ya kuiona hii ya Hayati JK wa ukweli alipoongea 1995!, Tumekwishaaaaaaa!
Nakubaliana na wewe jasusi,na kwa namna wanvyomchukulia,mtu yoyote atakuwa sahihi kuamini kuwa huyu nyerere aliuwawa.Katika CCM ya leo hakuna mtu angependa kumsikiliza Nyerere. Wangefurahi zaidi kama angesahaulika katika fikra za Watanzania kama walivyomsahau katika fikra zao.
LoyalTZ...
Uzoefu unaonyesha kuwa wengi wala rushwa ni wanaume, ndo maana mwl akapelekea kusema hiyo sentensi ya kwenda kumuonyesha mke wake.....
Nakubaliana na wewe jasusi,na kwa namna wanvyomchukulia,mtu yoyote atakuwa sahihi kuamini kuwa huyu nyerere aliuwawa.
Hivi mnayajuwa ya Nyerere au mnasikiliza porojo zake za kwenye vibaraza vya kuchezea bao?
Hana jema aliloifanyia hii nchi. Lipi moja?
Hajaacha misingi imara ya kuendesha hii nchi kama aliacha ni ipi?
Hata katiba alizokuwa akiandika Ikulu na mawakili wake wabovu leo kila mTanzania hazitaki.
Hebu mmoja tu, anambie kitu kimoja kizuri alichofanya Nyerere zaidi ya kuongea sana na wanafiki kucheka hata pasipo chekesha.
Angekuwa na mawazo na fikra nzuri japo chembe, leo Tanzania na utajiri ilionao ingekuwa kwenye neema ya ajabu.
Exactly! hivi jamani huyu mzee aliugua muda gani? na haswa kilichomuua ni nini?? maana kila mtu anasema chake. Ukiangalia kwa makini ktk hizi videos anaonekana yuko fit to the extent, anasema kwa sauti, physical na wala haonekani kama anastruggle healthwise. Kwa sababu hii imenifanya ku employ doubts kuwa kuna kitu huenda kilifanyika! Mungu atusamehe.
Mnasahau kuwa "tumetoka kwa udongo, tutarudi kwa udongo"?
Nyerere kafa kwa Ukosefu wa Kinga Mwilini kwa kuwa na kansa ya damu. Na kafia hospital Uingereza.
Na kama hilo gonjwa lilimuua lilikuwa la kuuawa na binadamu mwingine, basi huyo binadamu inafaa apongezwe sana. Kwani Nyerere alishauwa wengi tu kwa ama makusudi ama maamuzi mabovu aliyokuwa akishikiza.
I do not see anything in this posting! Is it my problem???
Hiyo thread ingekuwa inakaa mwanzo kabisa mtu akifungua jamii kila siku anakutana nayo asianze kuisaka. Naona itakuwa nzuri sana hasa kwa akina ss ambao hatuna hotuba za baba.
Mnasahau kuwa "tumetoka kwa udongo, tutarudi kwa udongo"?
Nyerere kafa kwa Ukosefu wa Kinga Mwilini kwa kuwa na kansa ya damu. Na kafia hospital Uingereza.
Na kama hilo gonjwa lilimuua lilikuwa la kuuawa na binadamu mwingine, basi huyo binadamu inafaa apongezwe sana. Kwani Nyerere alishauwa wengi tu kwa ama makusudi ama maamuzi mabovu aliyokuwa akishinikiza.
Wanojidai kumpenda Nyerere hawakuwepo wakati wake na wala hawana fikra za kufikiri kwa kujiuliza hivi, Nyerere ni kipi chema alichokifanya? Hakuna.