Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,407
- 31,387
Kumbuka, kuhamisha makundi kwa makundi ya watu kuwasomba na kuwatupa porini, ukiwaamrisha "anzisheni kijiji cha ujamaa", simba, chui, nyoka, ndio wanawangoja, hakuna matibabu wala usafiri, hakuna nyumba wala tembe. "Imagine scenario" kama hiyo, ni wangapi waliopoteza maisha yao! Halafu apewe Noble prize. Is that "scenario" noble to you? If not, huyo ndio nyerere na hayo yametokea na si ya kuhadithiwa. Nilikuwepo.
Mahatma Ghandhi hakuwahi kupata Nobel, naye alifanya nini kinachofanana na Nyerere!