Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,841
- 2,663
- Thread starter
- #21
Nazani kunaufitina manake Mwalimu alipigania uhuru wa kila nchi iliyokuwa inatawaliwa Afrika hii alivyoweza. but he has never been given credit for it. I only here Mandela being praise as the best out of african leaders and he was in jail for 27 years na kipindi chote hicho mwalimu alikuwa anapigania uhuru wa Africa he even help South Africa na huyu Mnafiki Mandela hata amtajagi. to me is an impostor.
Any way the winners write the history and give medals to their puppet no wonder Mwalimu does not have any. Mwalimu was no puppet to any one, that's how is gonna go down in history. Dont ever be naive and think Africa leo tunauhuru. We are very far from being free. kuna nguvu ziko kazini, they are well prepared,well infomed, well finance and their goal is nothing but controling us.
ukizani viongozi wetu ndo wanatuongoza fikiria tena. Viongozi wetu wanapewa mkopo $30 million kwa mafano: alafu hizo hela hawapewi leo. wanapewa kwa kipindi lablda miaka 10. hiyo milioni kumi dollars inakuja kwa mfumo wa magari ya laxuri watakayo agiza hao ambao wametoa hizo ela, alafu wataleta watu wao, wanawaita "speshalist" wana ujuzi sawa au zaidi kidogo na jamaa kutoka VETA. alafu hawa jamaa "speshelisti" watalipwa $100,000 kwa mwaka na hiyo ela yetu ya mkopo dola milioni 30. alafu jamaa kutoka bongo hata dola 100 kwa mwezi haambulii kwa project hiyo akiajiriwa. Alafu sijakuambia milioni 30 leo siyo sawa na ukipewa kidogo kidogo in miaka kumi. Manake hela inashuka thamani. Lakini ukinipa milioni 30 leo nikiweka benki ninaweza nikapata faida miaka kumi inaweza kuzaa hata nusu yake.
Then it get craise, we have to pay the loan with interest kiasi ni milioni 30. hata iweje hapa sisi tumeliwa hatuendelei, wewe ukipewa mkopo benki leo si wanakupa kiasi chako chote na unaenda kujipanga mbona hapa masharti ni different kwanini? all this is a set up for us. hela zenyewe zitakuwa zimetumika kuwalipa wadosi wao, kununua magari ya kuwatembeza halafu kidogo kiasi kilichobaki tutapigania ku run our expenses. before we know kamradi hata hakijafika nusu alafu sisi ndio watatulaumu na kusema tunatumia expensive cars kumbe sisi tulikuwa ma dreva tuu na tume be taken for a ride to employ their incompetent watu walioshidwa kupata kazi makwao.
mkuu, Nyerere alipata tuzo mbalimbali zaidi ya 50 ila Nobel haipo. Ni sudi ya Mandela tu kupata tuzo zaidi ya 200 ikiwemo ya Nobel. To me Nyerere is far too revered than Mandela. As far as the prize is subjective, it wont change that fact