Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Ain't you a Christian? if your answer is Yes. Tell us what makes a person a sinner?
Many things...does this help you out of your unchristian ways.Mostly monotheistic paganism of the modern times?
Ain't you a Christian? if your answer is Yes. Tell us what makes a person a sinner?
Mkuu na Mtei na yeye ni CCM?Nimesikiliza, nimesoma, nimefuatilia hotuba ya kamanda Tundu Lissu kuhusu Nyerere na mambo yake ya muungano hakika nimestaajabu sana.
Majizi ya CCM yamekurupuka huko yalikokuwa na kuanza kumshambulia Lissu binafsi badala ya hoja zake.
Natambua kuwa Kanisa Katoliki linaendelea na mchakato wa kumfanya Nyerere kuwa Mtakatifu na sasa yupo kwenye 'ngazi' ya mwenye heri.
Je! Baada ya 'nondo' za Tundu Antipas Mughwai Lissu na ushahidi mwingine wa UFEDHULI wa Nyerere ikiwemo ile dhana kuwa Nyerere aliua Wazanzibari kwa nini Wakatoliki wasisitishe mchakato wa kumtakatifusha Nyerere na kuingia kwenye utafiti wa kina dhidi ya ushuhuda binafsi wa nyerere?
Hamwoni kuwa kumwacha Nyerere afanywe mtakatifu wakati ana kashfa hadi za kuua ni kulitumbukiza kanisa kwenye kashfa?
Nashauri, Mchakato wa kumpa nyerre utakatifu usititishwe.
Ndo tatizo la kusoma heading tuu na kukurupuka ku'comment.Hata wewe waweza kuwa mtakatifu...ni matendo na imani yako tu ..google mtakatifu paulo itakupa mfano mojawapo..
kila la kheri
Nimesikiliza, nimesoma, nimefuatilia hotuba ya kamanda Tundu Lissu kuhusu Nyerere na mambo yake ya muungano hakika nimestaajabu sana.
Majizi ya CCM yamekurupuka huko yalikokuwa na kuanza kumshambulia Lissu binafsi badala ya hoja zake.
Natambua kuwa Kanisa Katoliki linaendelea na mchakato wa kumfanya Nyerere kuwa Mtakatifu na sasa yupo kwenye 'ngazi' ya mwenye heri.
Je! Baada ya 'nondo' za Tundu Antipas Mughwai Lissu na ushahidi mwingine wa UFEDHULI wa Nyerere ikiwemo ile dhana kuwa Nyerere aliua Wazanzibari kwa nini Wakatoliki wasisitishe mchakato wa kumtakatifusha Nyerere na kuingia kwenye utafiti wa kina dhidi ya ushuhuda binafsi wa nyerere?
Hamwoni kuwa kumwacha Nyerere afanywe mtakatifu wakati ana kashfa hadi za kuua ni kulitumbukiza kanisa kwenye kashfa?
Nashauri, Mchakato wa kumpa nyerre utakatifu usititishwe.
Ndo tatizo la kusoma heading tuu na kukurupuka ku'comment.
Nimesikiliza, nimesoma, nimefuatilia hotuba ya kamanda Tundu Lissu kuhusu Nyerere na mambo yake ya muungano hakika nimestaajabu sana.
Majizi ya CCM yamekurupuka huko yalikokuwa na kuanza kumshambulia Lissu binafsi badala ya hoja zake.
Natambua kuwa Kanisa Katoliki linaendelea na mchakato wa kumfanya Nyerere kuwa Mtakatifu na sasa yupo kwenye 'ngazi' ya mwenye heri.
Je! Baada ya 'nondo' za Tundu Antipas Mughwai Lissu na ushahidi mwingine wa UFEDHULI wa Nyerere ikiwemo ile dhana kuwa Nyerere aliua Wazanzibari kwa nini Wakatoliki wasisitishe mchakato wa kumtakatifusha Nyerere na kuingia kwenye utafiti wa kina dhidi ya ushuhuda binafsi wa nyerere?
Hamwoni kuwa kumwacha Nyerere afanywe mtakatifu wakati ana kashfa hadi za kuua ni kulitumbukiza kanisa kwenye kashfa?
Nashauri, Mchakato wa kumpa nyerre utakatifu usititishwe.
Mimi ni mkatoliki Nyerere akitangazwa eti ni mtakatifu nitahamia dhehebu la Lutheran. am not joking niko serious, ujinga wote huu unaotuletea matatizo sasa hivi ni kazi ya Nyerere.
We mwana wa kufikia wa kahtaan Matola utahama madhehebu
mpaka kutakucha lkn choo ni kile kile!
Na we muhaya uliewasalaiti wazee wako na kuamua kujiunga na Chama cha watu wa kaskazini huwezi kuwazuia wakatoliki wenzako kumpa yule muuwaji Utakatifu!
Bila huyo muuwaji nyerere leo hii kanisa katoliki lisingefika hapo lilipo!
Na yule pengo analifahamu hilo.
Ndio maana kila akitoa hotuba anamsifu nyerere kuliko mkewe!
Mpaka siku mtakapo fahamu kuwa hio imani yenu ni ya kutengeneza wenyewe!
Mtawatukuza mpaka wauwaji mpaka siku ikifika mkatupwe motoni wote!
We mwana wa kufikia wa kahtaan Matola utahama madhehebu
mpaka kutakucha lkn choo ni kile kile!
Na we muhaya uliewasalaiti wazee wako na kuamua kujiunga na Chama cha watu wa kaskazini huwezi kuwazuia wakatoliki wenzako kumpa yule muuwaji Utakatifu!
Bila huyo muuwaji nyerere leo hii kanisa katoliki lisingefika hapo lilipo!
Na yule pengo analifahamu hilo.
Ndio maana kila akitoa hotuba anamsifu nyerere kuliko mkewe!
Mpaka siku mtakapo fahamu kuwa hio imani yenu ni ya kutengeneza wenyewe!
Mtawatukuza mpaka wauwaji mpaka siku ikifika mkatupwe motoni wote!
Mkuu, kuna threads zingine hutakiwi kuchangia. Zinakuzidi uwezo. Ona huu ugoro uliouandika
Mkuu, kuna threads zingine hutakiwi kuchangia. Zinakuzidi uwezo. Ona huu ugoro uliouandika
Many things...does this help you out of your unchristian ways.Mostly monotheistic paganism of the modern times?
Mimi ni mkatoliki Nyerere akitangazwa eti ni mtakatifu nitahamia dhehebu la Lutheran. am not joking niko serious, ujinga wote huu unaotuletea matatizo sasa hivi ni kazi ya Nyerere.
lakini uamzi wa kumpa utakatifu nyerere sio wa mseveni.Dikteta aliyekubuhu Museveni angesema nini wakati ni mnufaika wa matumizi ya majeshi na raslimali za Tanzania to fight a dumb war against Amin and imposing another dangerous Dictator Milton Obote?
Nimesikiliza, nimesoma, nimefuatilia hotuba ya kamanda Tundu Lissu kuhusu Nyerere na mambo yake ya muungano hakika nimestaajabu sana.
Majizi ya CCM yamekurupuka huko yalikokuwa na kuanza kumshambulia Lissu binafsi badala ya hoja zake.
Natambua kuwa Kanisa Katoliki linaendelea na mchakato wa kumfanya Nyerere kuwa Mtakatifu na sasa yupo kwenye 'ngazi' ya mwenye heri.
Je! Baada ya 'nondo' za Tundu Antipas Mughwai Lissu na ushahidi mwingine wa UFEDHULI wa Nyerere ikiwemo ile dhana kuwa Nyerere aliua Wazanzibari kwa nini Wakatoliki wasisitishe mchakato wa kumtakatifusha Nyerere na kuingia kwenye utafiti wa kina dhidi ya ushuhuda binafsi wa nyerere?
Hamwoni kuwa kumwacha Nyerere afanywe mtakatifu wakati ana kashfa hadi za kuua ni kulitumbukiza kanisa kwenye kashfa?
Nashauri, Mchakato wa kumpa nyerre utakatifu usititishwe.