Nyerere fit to be a saint - Museveni

Mtakatifu Nyerere! Mmesahau small houses zake wajameni? Mtakatifu hawezi kupendekezwa na mwanadamu tena dikteta museven
 
Hawa watu (Wakatoliki) anza kuwashanga pale wanapo ijengea kibanda sanamu ya Bikira Maria pamoja na ile sala yao;
..Maria mama wa mungu, umebarikiwa kuliko wanawake wote !

Wallahi nimecheka mpaka watu wote wananishangaa!

Mkuu, hawa wapakwa mafuta wana hasara sana!
 
Kanisa katoliki kumtangaza mtu mtakatifu haina umuhimu wowote mbele za Mungu ni upuuzi tu kama watu kuandaa sherehe na kunywa bia ni mambo ya dunia. Wapi utakatifu ukajadiliwa na binadamu ambao nao ni wazambi kisha wampe binadamu mwenzao utakatifu hizo ni bangi za mchana na uhuni

Hatuna sababu yakukashifiana kwenye mambo ya imani kwani mwisho wa siku tunaishia kwenye kukufuru,
Zaidi yakuamini unachokiamini nafikiri huna sababu yakujiona wewe ni bora sana kuliko mwingine,
Imani ni ki2 kigumu mno kwani kinachotufanya tuamini ni ki2 ambacho hatukukiona ila kwa mapokeo tunaamini,hivyo chamsingi wewe imani lako la mwenzako muachie mwenyewe,Ni ajabu kujivunia dini ambayo wewe uko huko kwasababu wazazi wako walikuzaa wakiwa na imani hio.
Watanzania waliowengi tumajua ukristo na uisilamu pamoja na madhehebu yalio ndani ya hizi dini mbili tu ila hapa dunia kuna mataifa yaamini vi2 ambavyo ni ajabu sana,hivyo huna sababu yakuto kashfa kwani kiasiri Mtanzania Sio Muislam wala Mkristo.
 
Hatuna sababu yakukashifiana kwenye mambo ya imani kwani mwisho wa siku tunaishia kwenye kukufuru,
Zaidi yakuamini unachokiamini nafikiri huna sababu yakujiona wewe ni bora sana kuliko mwingine,
Imani ni ki2 kigumu mno kwani kinachotufanya tuamini ni ki2 ambacho hatukukiona ila kwa mapokeo tunaamini,hivyo chamsingi wewe imani lako la mwenzako muachie mwenyewe,Ni ajabu kujivunia dini ambayo wewe uko huko kwasababu wazazi wako walikuzaa wakiwa na imani hio.
Watanzania waliowengi tumajua ukristo na uisilamu pamoja na madhehebu yalio ndani ya hizi dini mbili tu ila hapa dunia kuna mataifa yaamini vi2 ambavyo ni ajabu sana,hivyo huna sababu yakuto kashfa kwani kiasiri Mtanzania Sio Muislam wala Mkristo.

Sawa mkuu lakini ninachojua ni Mungu pekee anayejua fulani ni mtakatifu si binadamu yeyote yule hata awe na mamlaka gani. Hivyo kundi la watu kukaa na kusema fulani ni mtakatifu ni kejeli kwa Mungu maana ndiye anamjua mwanadamu hadi ndani ya moyo wake sasa iweje wanadamu nao wachukue nafasi ya Mungu kumtunuku binadamu mwenzao utakatifu ambayo ni sifa kuu ya Mungu inaleta maswali mengi na ndiyo maana nikasema hayo ni maigizo ya kibinadamu yasiyo na umuhimu wala baraka kwa Mungu maana kwa kusoma kwangu biblia sijawahi sikia kuwa mwanadamu atamtangaza mwanadamu mwenzie kuwa ni MTAKATIFU haya ni mapokeo ya kibinadamu si ya Mungu. Hata kama ni imani pia akili itumike maana najua imani katika ukristu msingi wake ni biblia sasa ili linapatikana wapi?
 
Dang dude!....hivi kwani usingetumia simple english?..yooh ungeeleweka vizuri tuu....garlie!....hebu na wewe acha ku-spend muda wako wote ku-kremisha oxford dictionary .....maneno mengine hata haya-make sense sasa wooooow!...."as Flava flav would have said"....
Lugha uliyotumia wewe ndio majanga zaidi.
Au ndio ile falsafa ya Nyani haoni........?
 
Asante.
Dada,

Heshima mbele, hapa kuna watu wanapenda artful, metaphor-laden, precise, articulate, simile rich expression.

Tatizo letu ni nini? Tuna tatizo la kiingereza as a nation, kiasi kwamba mtu akiandika kiingereza cha kawaida tu - ambacho kipo standard na people the world over will see nothing remarkable about it- sisi tunamuona mtu kama anataka sifa, katumia kiingereza kigumu etc. Mimi mwenyewe najifunza kiingereza, nitaandikaje kiingereza kigumu?

Trust me, hakuna hata chembe ya kiingereza kigumu hapo, kinachotokea ni kwamba standards zetu ziko chini sana, kiasi kwamba mtu akiandika kiingereza standard kama hapo juu -I did not even get into the Churchillian mode, let alone the Dickensian diction bombasts- tunamuona tofautiiii.

Wanasema, if you think I am speaking too fast, you are probably listening too slow.

Kama unafikiri hiki kiingereza ni kigumu, probably unahitaji ku build up vocab na kujifunza zaidi, which is one point of this bulletin board by the way, and you would do well to take advantage of this instead of shying away with MAimuna like "Anasema kiingereza kigumu, nimesema Maimuna!" :)

Rather than dumb down our standards by asking me to dumb down my pretty ordinary English, I am asking you to elevate our collective standards by aspiring to master this crucial language much better.

After all, aren't we supposed to be the home of great minds, why settle for any standards but the best?
 
Maneno ya Museven leo kutoka Uganda

I was the Chief Guest, this afternoon, at the Mass organised at the Uganda Matyrs' Shrine Namugongo, in memory of the former President of Tanzania for his outstanding contribution to Tanzania and to Africa.

The late Mwalimu was a Pan-Africanist who loved God and mankind. He united the people of Tanzania and helped liberate most African countries like Zimbabwe, Namibia, Angola, South Africa and Uganda.

I salute his contribution to our freedom struggle. If Nyerere had not helped us get rid of Idi Amin's regime, Uganda would not have contributed to the restoration of peace and security in other African countries like in Burundi, the Congo, Somalia, Rwanda and Kenya among others.

I worked with Mwalimu Nyerere for a long time and he indeed deserves to qualify as a Saint. He did not only make a big contribution to the liberation of African countries but also introduced universal education in Tanzania.

While people in some countries were engaged in sectarian conflicts, along religious and tribal leanings, Mwalimu Nyerere united the people of his country.

I thank Maama Maria Nyerere for choosing the 1st day of the month of June, two days before Matyrs' Day, to pray in Uganda for the cause of the beatification and eventual canonization of her late husband.

I look forward to hosting African leaders who used to work with the late Mwalimu at next year's prayers. The leaders include President Eduardo dos Santos of Angola, former President Sam Nujoma of Namibia and Alberto Chissano of Mozambique.

I have noted that there are many more pilgrims to Namugongo from Uganda and the region and will ensure our capacity is increased by boosting accommodation facilities.


10373788_459992860802810_8108456306179709626_n.jpg

10439482_459992770802819_6552614485965019251_n.jpg

10411812_459992927469470_7093164590520221932_n.jpg


Source: https://www.facebook.com/PresidentYoweriKagutaMuseveni
 
Ghafla Yoweri Kaguta Museveni anaonesha mahaba makubwa sana kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Rais wa kwanza wa Tanganyika na baadaye Tanzania. najiuliza haya mahaba yameanza lini? haya ya kudai nyerere ni mkuu kuliko Mandela( sina comment katika hilo ) haya ya kudai kila June 1 ni siku ya kumkumbuka Nyerere? je Nyerere angekuwepo hai mpaka leo hii angesema nini juu ya Utawala wa Museven na namna anavyoikandamiza demokrasia kama inavyosemekana? je huu ni mkakati gani wa Museveni kwa east Afrika au Tanzania kisiasa? mimi napata maswali nikihusisha na wale ndugu zangu wengine wanaotaka kumtangaza nyerere ni mtakatifu nawaza mambo mengi sana na maswali lukuki pasipo majibu. Huyu Museveni kweli ana ujasiri wa kumchukulia nyerere kama anavyotaka tumwone? au ni sawa na wale wanasiasa wanaomnukuu nyerere pale anapokuwa anaongelea maslah yao na kumtumia kama hirizi ilhali pale anapokuwa kinyume na maslah yao anakuwa hafai? ni wakati wa wananchi kuwa makini na hawa viongozi wanaotumia karata ya nyerere kama ni ya Game of chance au last card. kama kuna mazuri ya nyerere hatuwei kuyaenzi kwa maneno na pia si kwa kuchagua yale yanayotu fit kwa wakt husika halaf tukaacha yale ambayo ni ya faida kwa wananchi.Museven ana mazuri na mabaya yake pia sisemi ni mtu mbaya ila nachopinga ni matumizi yasiyo na tija ya jina la mwalimu nyerere kwa wanasiasa wetu.
 
Ngoja amuenzi Mwalimu kwani bila yeye M7 asingekuwa hapo alipo leo. Upande mwingine Serikali yetu na watu maarufu nchini hawamuenzi kwa vitendo.

Ghafla Yoweri Kaguta Museveni anaonesha mahaba makubwa sana kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Rais wa kwanza wa Tanganyika na baadaye Tanzania. najiuliza haya mahaba yameanza lini? haya ya kudai nyerere ni mkuu kuliko Mandela( sina comment katika hilo ) haya ya kudai kila June 1 ni siku ya kumkumbuka Nyerere? je Nyerere angekuwepo hai mpaka leo hii angesema nini juu ya Utawala wa Museven na namna anavyoikandamiza demokrasia kama inavyosemekana? je huu ni mkakati gani wa Museveni kwa east Afrika au Tanzania kisiasa? mimi napata maswali nikihusisha na wale ndugu zangu wengine wanaotaka kumtangaza nyerere ni mtakatifu nawaza mambo mengi sana na maswali lukuki pasipo majibu. Huyu Museveni kweli ana ujasiri wa kumchukulia nyerere kama anavyotaka tumwone? au ni sawa na wale wanasiasa wanaomnukuu nyerere pale anapokuwa anaongelea maslah yao na kumtumia kama hirizi ilhali pale anapokuwa kinyume na maslah yao anakuwa hafai? ni wakati wa wananchi kuwa makini na hawa viongozi wanaotumia karata ya nyerere kama ni ya Game of chance au last card. kama kuna mazuri ya nyerere hatuwei kuyaenzi kwa maneno na pia si kwa kuchagua yale yanayotu fit kwa wakt husika halaf tukaacha yale ambayo ni ya faida kwa wananchi.Museven ana mazuri na mabaya yake pia sisemi ni mtu mbaya ila nachopinga ni matumizi yasiyo na tija ya jina la mwalimu nyerere kwa wanasiasa wetu.
 
Back
Top Bottom