Nyerere fit to be a saint - Museveni

Nyerere fit to be a saint - Museveni

Am not sure of this issue of calling mwl a saint,can someone help me in the first place,what is the meaning of the word (saint)?
 
Nimesikiliza, nimesoma, nimefuatilia hotuba ya kamanda Tundu Lissu kuhusu Nyerere na mambo yake ya muungano hakika nimestaajabu sana.

Majizi ya CCM yamekurupuka huko yalikokuwa na kuanza kumshambulia Lissu binafsi badala ya hoja zake.

Natambua kuwa Kanisa Katoliki linaendelea na mchakato wa kumfanya Nyerere kuwa Mtakatifu na sasa yupo kwenye 'ngazi' ya mwenye heri.

Je! Baada ya 'nondo' za Tundu Antipas Mughwai Lissu na ushahidi mwingine wa UFEDHULI wa Nyerere ikiwemo ile dhana kuwa Nyerere aliua Wazanzibari kwa nini Wakatoliki wasisitishe mchakato wa kumtakatifusha Nyerere na kuingia kwenye utafiti wa kina dhidi ya ushuhuda binafsi wa nyerere?

Hamwoni kuwa kumwacha Nyerere afanywe mtakatifu wakati ana kashfa hadi za kuua ni kulitumbukiza kanisa kwenye kashfa?

Nashauri, Mchakato wa kumpa nyerre utakatifu usititishwe.

Nachelea kusema nyerere hafit na wala hafai kuwa mtakatifu,utakatifu ni kuishi maisha yasiyo na dhambi kitu ambacho nyerere hakuwa nacho
 
Last edited by a moderator:
matola hujachelewa amka kimbia huko...Mungu ni Mungu wa walio hai si wa wafu, tena Mungu hupendezwa na watakatifu waishio duniani na sio wafu...huyo ni Nyrr hao watakatifu wengine unajua habari zao?...ibada za wafu ni machukizo, wenzetu mmejitungia Biblia yenu?

Hebu peleka wenda wazimu wewe mjalaana....Nashindwa kukupa vidonge vyako maana nashindwa kuelewa kama wewe ni kijukuu cha Mwamedi au wale wachumia tumbo kwajina la Yesu.
 
kwa uislam mtakatifu anajulikana na mungu tu, kwani binadamu tuna mambo mengi tunafanyia gizani,
 
Mimi ni mkatoliki Nyerere akitangazwa eti ni mtakatifu nitahamia dhehebu la Lutheran. am not joking niko serious, ujinga wote huu unaotuletea matatizo sasa hivi ni kazi ya Nyerere.

ukihama dhehebu kwasababu hyo utakuwa unaufaham mdogo sana ndugu. lakn pia cjui kama unafaham hata huko Lutheran kule Denmark wameruhusu ndoa za mashoga. sasa cjui ukishajua hayo kesho utakuwa wap. any way, binafs cpingan na kanisa kwa yale wao wanataka kufanya dhidi ya Nyerere. ninachojua kanisa ni mimi na wewe. wale wanaongea kwa maana ya Pengo na wenzie ni viongozi wanaosimamia taasisi inayojishughulisha na kuratibu na kusimamia shughul za kila cku za hyo taasisi inayoitwa Kanisa Katoliki kwa niaba ya Jumuiya ya Wakatoliki. sasa wao kwa utaratibu wa taasisi yao wamekaa na kwa vigezo vyao wameona katka hawa wanajumuiya bana huyu amefanya zaid kupita wengine. so kifup nilipenda tu kukuasa Mkataba wako na Mungu ni Bible. sikiliza, shika, tenda neno la Mungu. unaweza kufa leo na ucmkute mbingun hata Papa na wala usishangae ni kwa vigezo vya Mungu tu hakukidh. na ucweke iman yako kwa kitu, au mtu, au jambo lolote zaid ya Mungu wako.
 
We mwana wa kufikia wa kahtaan Matola utahama madhehebu
mpaka kutakucha lkn choo ni kile kile!

Na we muhaya uliewasalaiti wazee wako na kuamua kujiunga na Chama cha watu wa kaskazini huwezi kuwazuia wakatoliki wenzako kumpa yule muuwaji Utakatifu!

Bila huyo muuwaji nyerere leo hii kanisa katoliki lisingefika hapo lilipo!
Na yule pengo analifahamu hilo.

Ndio maana kila akitoa hotuba anamsifu nyerere kuliko mkewe!

Mpaka siku mtakapo fahamu kuwa hio imani yenu ni ya kutengeneza wenyewe!

Mtawatukuza mpaka wauwaji mpaka siku ikifika mkatupwe motoni wote!

Naomba nikuulize swali ndugu.
Mungu ni nani?
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mkatoliki Nyerere akitangazwa eti ni mtakatifu nitahamia dhehebu la Lutheran. am not joking niko serious, ujinga wote huu unaotuletea matatizo sasa hivi ni kazi ya Nyerere.
Wewe jamaa sijui uongo uwa unakusaidia nini kuna siku ulisema wewe ni Lutheran na ulisali kanisa la Zanzibar leo tena unajifanya Katoliki.

Mwisho wa siku naona mnakubaliana na sisi kuwa Nyerere alikuwa mdanganyifu na muongo.
 
Watu wengi wana maarifa kidogo ya kujua utaratibu wa MUNGU,MUNGU wetu ni MUNGU wa utaratibu.Mtu anakuwa mtakatifu akiwa bado hapa Duniani,ndiyo maana Mtume Paul katika vitbu vyake ansemakwa mfano, WATAKATIFU WALIYOKO EFESO WAWASALIMI,huwezi kumuombea mtu ambaye mekwishakufa alfu ndiyo awe mtakatifu,utakatifu wa Mtu ni matendo yake mema ayatendayo akiwa hapa Duniani kabla ya kukutwana mauti.Watu wengi wanafikiri viongozi wakuu wa Din na Watawala ndiyo wanapashwa kuwa Watakatifu,kuna watu wana hali za chini kabisa wameisimamia imani mpaka mauti inawakuta tayari ni watakatifu na hakuna mtu anayewatangaza.Kumuombea Mtu ili awe mtakatifu baada ya kufa hiyo nu rushwa MUNGU hapokei rushwa,soma WAEBRANIA 9.27,Mtu amewekewa kufa mara moja baada ya kufa hukumu.Mtu akisha kufa matendo mabaya au mazuri umfuata.Kama Mwl Nyerere MUNGU alimiuona anamatendo mema mpaka mauti yanamkuta(hata kama alifanya mabaya akatubu dhambi zote kabla ya mauti kumkuta)Yeye tayari ni Mtakatifu la Utakatifu au kuombeawa awe mtakatifu nikujifuraisha nafsi tu.
 
Wewe jamaa sijui uongo uwa unakusaidia nini kuna siku ulisema wewe ni Lutheran na ulisali kanisa la Zanzibar leo tena unajifanya Katoliki.

Mwisho wa siku naona mnakubaliana na sisi kuwa Nyerere alikuwa mdanganyifu na muongo.

Dah huyo jamaa noma mara mlutheran mara mkatoliki.. mara lofa (raswiser) mara tajiri (billionaire pitgan) mara kaajiriwa mara ana kampuni.... huyu jamaa ni zaidi ya chizi
 
Dah huyo jamaa noma mara mlutheran mara mkatoliki.. mara lofa (raswiser) mara tajiri (billionaire pitgan) mara kaajiriwa mara ana kampuni.... huyu jamaa ni zaidi ya chizi

Watu wa namna hii, Mkosamali anawaita VIGEUGEU! kila sehemu kuna vigeugeu mpaka kwenye masuala ya dini.
 
Naomba nikuulize swali ndugu.
Mungu ni nani?

Mungu ni Yule Muumbaji wa mbingu na Ulimwengu.
Aliyekuumba wewe na mimi.
Na akamuumba Yesu na mama yake.
Na akaumba Viumbe vyote hapa ulimwenguni.

Hakuzaa wala hakuzaliwa. Wala hana anae fanana nae ktk Uungu wake.
Na ni MUNGU MMOJA TU.
 
Mungu ni Yule Muumbaji wa mbingu na Ulimwengu.
Aliyekuumba wewe na mimi.
Na akamuumba Yesu na mama yake.
Na akaumba Viumbe vyote hapa ulimwenguni.

Hakuzaa wala hakuzaliwa. Wala hana anae fanana nae ktk Uungu wake.
Na ni MUNGU MMOJA TU.

dhibitisha kisayansi nikuelewe acha kukariri vitabu. kama hujaja na maelezo ya iman hapa.
 
dhibitisha kisayansi nikuelewe acha kukariri vitabu. kama hujaja na maelezo ya iman hapa.

Sayansi unaijua wewe mtoto!?

Hebu nithibitishie kisayansi kuwa wewe uko hai!
Uo uhai ulionao uko wapi!

Na ukisema "nyerere KAFA! ni nini kilicho kufa!

Au hebu jaribu kunionyesha kwa kutumia hio sayansi yako kitu kiitwacho Busara! Au Fahamu! Au furaha! au Hasira!

Au umekurupuka bila kufikiri!!

Msipende kuropoka tu! Na kuiga wazungu ambao mpaka leo wameshindwa kutofautisha mwanamke na mwanamme.

Matokeo yake wanaamua kuoana ovyo!
Na watu km wewe mnaingia kichwa kichwa.

Sio KILA KILICHOPO LZM UILETE HIO SAYANSI KUTHIBITISHA KUWEPO KWAKE!

Igeni vitu vya maana! Sio utumbo wa wazungu mrithi nyie waafrika!
 
Wewe jamaa sijui uongo uwa unakusaidia nini kuna siku ulisema wewe ni Lutheran na ulisali kanisa la Zanzibar leo tena unajifanya Katoliki.

Mwisho wa siku naona mnakubaliana na sisi kuwa Nyerere alikuwa mdanganyifu na muongo.
Unajuwa mimi nimeamuwa kukupuuza lakini sijui unatafuta nini kwangu?

Mimi nilisari kanisa la Anglican church pale mkunazini na sababu nilikuwa na waingereza ambao ni waanglicana na pale kanisani kuna slave caves ni historical sites ya Zanzibar na source kubwa ya mapato ya kanisa.

by the way mkristo hakatazwi kusali kanisa lolote anapojisikia.

Hivi wewe unanitafuta nini?
 
nimezungumzia sayansi coz katika kutembea kwangu humu dunian nimekutana na wahindi wanaomwabudu ng'ombe na kusema ni Mungu wao, nimekutana na Waabudu Budha na wanadai ni Mungu wao kuna wengine niliwakuta Cambodia wanamwabudu Mbwa na wote ukiwauliza watakwambia huyo ni Mungu wao aliyeumba Mbingu na dunia na vilivyopo. nini msingi wa maelezo yangu. ni hv kama vile mimi nilivyodanganywa na Wazungu ndivyo na wewe ulivyodanganywa na Waarabu na wengine vivyo hivyo. nimeuliza sayansi coz ule mtindo ulioletewa din wewe ndio tulioletewa din na cc wengine. kinachowaponza wengi wenu ni kule kijiona nyie hyo ya kwenu ya mwarabu ndio bora. ingekuwa wewe unapenda ya Kiafrika usingetuletea hyo din yako ilyotokea Uarabuni ungenihamasisha niwe na nafanya mila bac.
 
Mungu ni Yule Muumbaji wa mbingu na Ulimwengu.
Aliyekuumba wewe na mimi.
Na akamuumba Yesu na mama yake.
Na akaumba Viumbe vyote hapa ulimwenguni.

Hakuzaa wala hakuzaliwa. Wala hana anae fanana nae ktk Uungu wake.
Na ni MUNGU MMOJA TU.

nimekujbu hapo chn kaka unaweza kusoma tujadiliane
 
nimekujbu hapo chn kaka unaweza kusoma tujadiliane

Kijana! Uwezo wako wa kujadili hili suala la kuwepo Mungu ni mdogo sana!
Matatizo yenu huwa mnapenda kukimbilia sayansi na hali ya kuwa sayansi yenyewe HAMUIJUI!

Huu sio uzi wa kujadili hayo unayo yataka na usiendelee kuuharibu!

Kabla ya kukimbilia hio sayansi km muongozo! Sharti ufahamu kuwa sayansi yenyewe ina mapungufu mengi mno!
Na wewe kutegemea sayansi 100% ni dalili ya upungufu mkubwa wa fikra!

Anzisha uzi wako wa kutaka kumjua MUNGU, Halafu ufundishwe kwa kituo ni nani hasa huyo MUNGU wa kweli!

Hapa tunamjadili yule Muuwaji nyerere kuwa inakuwaje wakatoliki wanataka kumpa Utakatifu mtu Muuwaji!?
 
Unajuwa mimi nimeamuwa kukupuuza lakini sijui unatafuta nini kwangu?

Mimi nilisari kanisa la Anglican church pale mkunazini na sababu nilikuwa na waingereza ambao ni waanglicana na pale kanisani kuna slave caves ni historical sites ya Zanzibar na source kubwa ya mapato ya kanisa.

by the way mkristo hakatazwi kusali kanisa lolote anapojisikia.

Hivi wewe unanitafuta nini?

Teh teh teh!

Asha mohamed kaolewa na pitbull milionare!
Kwi kwi kwi!
Unasema Wewe ULISARI!!

Tatizo lako we mtoto ni muongo sana! Mpaka unasahau unacho kiandika!
Mkuu Ritz hana haja ya kukutafuta mtu km wewe!
Mbona umejaa kila kona!? Mara milionare! Mara asha mohamed mara Ras bla bla bla!

Teh teh teh teh!
Ama kweli Invisible balaa!
Amezikusanya zoote hizo akazimwaga kwa mwana mtoka pabaya Matola.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom