Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
hawa ndio mafisadi manahujumu nchi ...na ndio tunao wasaka ambao hula mali za masikini na wanyonge ambao mlo mmoja kwa siku ni wa tabu.
Wewe bana una matatizo ya msingi ya uelewa, na unavyodhani unazidi kukandamizia hoja kumbe ndo unazidi kujianika mbele ya kadamnasi utupu wako.