Nyerere fit to be a saint - Museveni

hawa ndio mafisadi manahujumu nchi ...na ndio tunao wasaka ambao hula mali za masikini na wanyonge ambao mlo mmoja kwa siku ni wa tabu.

Wewe bana una matatizo ya msingi ya uelewa, na unavyodhani unazidi kukandamizia hoja kumbe ndo unazidi kujianika mbele ya kadamnasi utupu wako.
 
Wewe wasema..na hakuna aliyekuuliza mazee.



Acha u-comedy mazee. Wewe kama wajiona umehitimu na mwenye maarifa kuliko hao unaowaona kondoo, HONGERA SANA, ila usilete kashfa kwenye taratibu za wengine zilizoainishwa kikatiba. Kejeli unazoleta inaonesha jinsi ustaarabu umekupitia pembeni, na hata hiyo unayoita reason uwezekano mkubwa ni your own wishes, mazee.



Kama hujui kitu ni vyema ukauliza kuliko kuanza kujiabisha mbele ya kadamnasi. Utakatifu wa Nyerere haukuhusu kama wewe sio muumini, na hata ukieleweshwa haitakusaidia maana sio mmoja wa kondoo, kama ulivyosema mazee. Hivyo mazee just chill tu wakati wananchi wanakula bata kufuata imani wanayoiona ni sahihi mradi tu imeainishwa kikatiba.



Heri yako wewe uliyestukia hizi sarakasi na ulevi wa kadamnasi. Ila kama nilivyosema, waache wafu wawazike wafu wao mradi tu hawakubughudhi. Heshima ni kitu cha bure.

The pursuit of truth is paramount, na hata tukiacha wafu wawazike wafu wenzao, hatulazimiki kunyamaza.Ndiyo mana huwezi kuniona nimeandamana kupinga Nyerere kupewa utakatifu na kanisa katoliki.In fact nimeanza kwa kusema hata wakitaka kumpa uungu wampe tu, lakini nina wajibu wa kusema kwamba kwa mtu anayefikiri hasa Nyerere kupewa utakatifu/ u-ungu ni sarakasi.

As a matter of fact mungu mwenyewe -au idea ya mungu kwa maana mungu kama anavyoelezwa katika the Judeo-Christian tradition hayuko- ni fraud.

Hii ndiyo kazi muhimu ya JF, ku advance freedom of speech na kutoa outlet ya non-traditional views. Let's discuss the validity of concepts as opposed to merely sticking with traditions.
 
The pursuit of truth is paramount, na hata tukiacha wafu wawazike wafu wenzao, hatulazimiki kunyamaza.Ndiyo mana huwezi kuniona nimeandamana kupinga Nyerere kupewa utakatifu na kanisa katoliki.In fact nimeanza kwa kusema hata wakitaka kumpa uungu wampe tu, lakini nina wajibu wa kusema kwamba kwa mtu anayefikiri hasa Nyerere kupewa utakatifu/ u-ungu ni sarakasi.

The paramount inaweza kuwa kutafuta the truth,this is good to know. Lakini hata kama unao ukweli bado the uhuru wa watu wengine kufuata na kuamini wanachoona ni sahihi, overrides hayo unayoyaona ni ukweli.

Hata hivyo mazee, hadi usawa huu hujathibitisha kuwa unao huo unaouita ukweli., au hata kujaribu kuuweka bayana huo unaodhani ni kweli. Hapa unacholeta ni madai ambayo kama kawa we don't waste time discussing madai mazee.

As a matter of fact mungu mwenyewe -au idea ya mungu kwa maana mungu kama anavyoelezwa katika the Judeo-Christian tradition hayuko- ni fraud.

Haya ni mere madai..na bahati mbaya hayahusiani na mada. Tafuta forums husika ukathibitishe madai yako mazee.

Hii ndiyo kazi muhimu ya JF, ku advance freedom of speech na kutoa outlet ya non-traditional views. Let's discuss the validity of concepts as opposed to merely sticking with traditions.

Ni kazi ya JF vilevile kuhakikisha kuwa watu wanaheshimiana badala ya kuitana majina au kudharau wengine kwa kisingizio cha imani au kujitapa werevu usiothibitishwa popote. Arrogance hukimbiza maarifa na kutoheshimu wengine na yale wayaonayo ni nyeti ni konesha kutoelewa mipaka ya uhuru. Pia kuanzisha mada juu mada nyingine ni dalili ya upungufu wa uelewa.
 
The paramount inaweza kuwa kutafuta the truth,this is good to know. Lakini hata kama unao ukweli bado the uhuru wa watu wengine kufuata na kuamini wanachoona ni sahihi, overrides hayo unayoyaona ni ukweli.

Kama nilivyosema mwanzo, sina beef na watu wengine kuamini wanavyoamini.Nimesema wanaweza kumfanya hata mungu-mtu.Principles hizo hizo zinazowapa wao uhuru wa kuamini wanachotaka na kunizuia mimi kuwazuia wao kuamini wanachotaka zinanipa uhuru mimi kueleza nisivyoamini wanachoamini. As long as sivunji sheria.

Hata hivyo mazee, hadi usawa huu hujathibitisha kuwa unao huo unaouita ukweli., au hata kujaribu kuuweka bayana huo unaodhani ni kweli. Hapa unacholeta ni madai ambayo kama kawa we don't waste time discussing madai mazee.

Kitu pekee unachoweza kuthibitisha ni kuwa huwezi kuthibitisha.


Haya ni mere madai..na bahati mbaya hayahusiani na mada. Tafuta forums husika ukathibitishe madai yako mazee.

Tangu lini umekuwa moderator wa kuamua nini kikae wapi hapa bodini? Hii thread inahusiana na utakatifu wa Nyerere na dini topics ambazo by default zinamgusa mungu, sasa utasemaje hii point yangu si mahala pake?


Ni kazi ya JF vilevile kuhakikisha kuwa watu wanaheshimiana badala ya kuitana majina au kudharau wengine kwa kisingizio cha imani au kujitapa werevu usiothibitishwa popote.

Wewe utakachoona dharau wengine wataona unflinching dedication to truth, even at the risk of appearing brusque.

Arrogance hukimbiza maarifa
Na timidity huua ukweli.

na kutoheshimu wengine na yale wayaonayo ni nyeti ni konesha kutoelewa mipaka ya uhuru.

Mipaka ya uhuru inaanzia wapi na inaishia wapi? Vipi kama mimi "dini" yangu haiamini katika mungu na mtu yeyote anayeniletea issue ya mungu inakuwa offensive kwangu? kwa sababu ni kama ku insult intelligence yangu? Ni kwa nini waamini wawe protected na sheria hizi za ustaarabu lakini sisi tusioamini tusiwe protected? Kama unataka kweli watu waheshimu imani za wengine basi tusiongelee kitu chochote kuhusu dini, even in the slightest way, kwa sababu one way or another ukishaongea kuhusu dini tu una m alienate mtu.Ukiongea kuhusu mungu wasioamini mungu wataona unawafanya kama watoto, ukiongea kwamba mungu ni fraud wanaoamini mungu wataona umewakosea heshima.Mimi nipo tayari ku refrain kuongea kuhusu dini, lakini na waamini nao inabidi waache kuongea kuhusu dini, kwa sababu wakiongea tu tayari wataniguisa na mimi itabidi ni express views zangu.

Kwa nini tunakuwa na double standards?

Pia kuanzisha mada juu mada nyingine ni dalili ya upungufu wa uelewa.

Hakuna mada iliyoanzishwa juu ya mada nyingine, nimeeleza vizuri relation ya canonization ya Nyerere na sarakasi za dini/siasa mpaka fraud ya the god idea, kama una one track mind and cannot chew gum while walking, that is your problem, not mine.
 
Kama nilivyosema mwanzo, sina beef na watu wengine kuamini wanavyoamini.Nimesema wanaweza kumfanya hata mungu-mtu.Principles hizo hizo zinazowapa wao uhuru wa kuamini wanachotaka na kunizuia mimi kuwazuia wao kuamini wanachotaka zinanipa uhuru mimi kueleza nisivyoamini wanachoamini. As long as sivunji sheria.



Kitu pekee unachoweza kuthibitisha ni kuwa huwezi kuthibitisha.




Tangu lini umekuwa moderator wa kuamua nini kikae wapi hapa bodini? Hii thread inahusiana na utakatifu wa Nyerere na dini topics ambazo by default zinamgusa mungu, sasa utasemaje hii point yangu si mahala pake?




Wewe utakachoona dharau wengine wataona unflinching dedication to truth, even at the risk of appearing brusque.

Na timidity huua ukweli.



Mipaka ya uhuru inaanzia wapi na inaishia wapi? Vipi kama mimi "dini" yangu haiamini katika mungu na mtu yeyote anayeniletea issue ya mungu inakuwa offensive kwangu? kwa sababu ni kama ku insult intelligence yangu? Ni kwa nini waamini wawe protected na sheria hizi za ustaarabu lakini sisi tusioamini tusiwe protected? Kama unataka kweli watu waheshimu imani za wengine basi tusiongelee kitu chochote kuhusu dini, even in the slightest way, kwa sababu one way or another ukishaongea kuhusu dini tu una m alienate mtu.Ukiongea kuhusu mungu wasioamini mungu wataona unawafanya kama watoto, ukiongea kwamba mungu ni fraud wanaoamini mungu wataona umewakosea heshima.Mimi nipo tayari ku refrain kuongea kuhusu dini, lakini na waamini nao inabidi waache kuongea kuhusu dini, kwa sababu wakiongea tu tayari wataniguisa na mimi itabidi ni express views zangu.

Kwa nini tunakuwa na double standards?



Hakuna mada iliyoanzishwa juu ya mada nyingine, nimeeleza vizuri relation ya canonization ya Nyerere na sarakasi za dini/siasa mpaka fraud ya the god idea, kama una one track mind and cannot chew gum while walking, that is your problem, not mine.

Kijana tutakusomea Fatwa. Ina maana dunia iliundwa kwa siku sita ni uongo?

Ina maana dunia ina miaka 10,000 ni uongo?
 
Kama nilivyosema mwanzo, sina beef na watu wengine kuamini wanavyoamini.Nimesema wanaweza kumfanya hata mungu-mtu.Principles hizo hizo zinazowapa wao uhuru wa kuamini wanachotaka na kunizuia mimi kuwazuia wao kuamini wanachotaka zinanipa uhuru mimi kueleza nisivyoamini wanachoamini. As long as sivunji sheria..

Yaani wewe utakuwa na matatizo ya kimsingi ya uelewa. Yaani huoni wapi umeshavunja sheria ? Utu unahitaji heshima kwa wote mazee. Huwezi kuita kusanyiko lao hao wote na kuwaita kondoo na kusema kitendo cha dhehebu husika kumuhusu Nyerer kuliita fraud ni ukosefu wa adabu. Kutokubaliana na watu wengine sio kibali cha kuwaita majina yasio na staha especially kwamba hujadhihirisha madai yako so far, mazee.
 
Tangu lini umekuwa moderator wa kuamua nini kikae wapi hapa bodini? Hii thread inahusiana na utakatifu wa Nyerere na dini topics ambazo by default zinamgusa mungu, sasa utasemaje hii point yangu si mahala pake?

Sasa unaniuliza lini nimekuwa modereta kana kwamba hapa jamvini ni kama ngomani tu mtu waingia wasema lolote linalokujia kichwani bila kungalia ina-fit vipi? sivyo ndivyo unavyotaka? Sasa hujiulizi kuona kwa nini kuna forums tofautitofauti humu jamvini? au you are too clever even for this mazee? Naona mazee hoja zimeisha sasa..lol

Mazee hii thread inahusu Museveni na maoni yake kuhusu Nyerere. Imekaa hapa ktk sense ya siasa au ki-celebrity flani. Kama unataka kuhubiri upagani wako mazee, ipo kona mahsusi huko unaweza ukaenda ukamwaga utirio wako halafu subiria uone kama utapata wafuasi..Hapa umepotea njia mazee.
 
Wewe utakachoona dharau wengine wataona unflinching dedication to truth, even at the risk of appearing brusque.

Mazee ndio maana watu mbalimbali hukaa chini pamoja na kufanya convention ku-normalize mambo kadha wa kadha ili sio kila mtu atoke na muono wake.

Hata hivyo ktk hali ya kawaida tu, binadamu wa kawaida ambaye ni competent fizikali end mentali, anaelewa ipi ni dharau au kashfa bila hata ya kusoma manual yeyote, mazee.

Hivyo usizidi kulikoroga zaidi kwa kujifanya kujua ku-twist words mazee.
 
Mipaka ya uhuru inaanzia wapi na inaishia wapi? Vipi kama mimi "dini" yangu haiamini katika mungu na mtu yeyote anayeniletea issue ya mungu inakuwa offensive kwangu? kwa sababu ni kama ku insult intelligence yangu? Ni kwa nini waamini wawe protected na sheria hizi za ustaarabu lakini sisi tusioamini tusiwe protected? Kama unataka kweli watu waheshimu imani za wengine basi tusiongelee kitu chochote kuhusu dini, even in the slightest way, kwa sababu one way or another ukishaongea kuhusu dini tu una m alienate mtu.Ukiongea kuhusu mungu wasioamini mungu wataona unawafanya kama watoto, ukiongea kwamba mungu ni fraud wanaoamini mungu wataona umewakosea heshima.Mimi nipo tayari ku refrain kuongea kuhusu dini, lakini na waamini nao inabidi waache kuongea kuhusu dini, kwa sababu wakiongea tu tayari wataniguisa na mimi itabidi ni express views zangu.

Uhuru unaanza na kuishia kwenye sheria ya dhahabu, mazee. Maneno yako yanayofuata baada ya hilo swali yapo out of context, watu wa dhehebu X kuzungumzia Mr.Y na utakatifu wake hakuna mafungamano na yeyote asiyehusika na dhehebu husika, unless uniambie unawashwa na pilipili iliyopo shambani mazee.

Kuwashwa na pilipili iliopo shambani ndio udaku na umbeya, na matokeo yake ni kutoelewana mazee.
 
Hakuna mada iliyoanzishwa juu ya mada nyingine, nimeeleza vizuri relation ya canonization ya Nyerere na sarakasi za dini/siasa mpaka fraud ya the god idea, kama una one track mind and cannot chew gum while walking, that is your problem, not mine.

Sasa ku-chew gum wakati unatembea si ndo ninachoongea mazee? Unajua watu wenye busara walishaona na kusema masikio hayazidi kichwa na you can only be clever, ukishavuka scale inayopima u-clever unakutana na upupu, and thats where you are mazee. Hii mada inahusu maoni ya M7, na ndio ilitakiwa iwe main subject, sasa usijidhanie kuwa unaweza kuvuka scale ya u-clever mazee.

Cheers...!
 
Uhuru unaanza na kuishia kwenye sheria ya dhahabu, mazee. Maneno yako yanayofuata baada ya hilo swali yapo out of context, watu wa dhehebu X kuzungumzia Mr.Y na utakatifu wake hakuna mafungamano na yeyote asiyehusika na dhehebu husika, unless uniambie unawashwa na pilipili iliyopo shambani mazee.

Kuwashwa na pilipili iliopo shambani ndio udaku na umbeya, na matokeo yake ni kutoelewana mazee.

Abdulhalim, wewe unaupeo mkuu, ubarikiwe.
Hao jamaa wanodakia imani za watu na kujifanya wanauchungu nazo, matatu;
1. Wanazipenda sana imani za wenzao, ila wanaona soni kujitokeza waziwazi kwamba zao feki ila za wenzao ndio bora.
2. Ni wajinga unoelekea kuwa 'up....bavu'
3. Ni mkakati maalumu wa kuifanya imani yao (ya kuazima kwa mijitu mieupe)eti ndiyo bora!
 
Uhuru unaanza na kuishia kwenye sheria ya dhahabu, mazee. Maneno yako yanayofuata baada ya hilo swali yapo out of context, watu wa dhehebu X kuzungumzia Mr.Y na utakatifu wake hakuna mafungamano na yeyote asiyehusika na dhehebu husika, unless uniambie unawashwa na pilipili iliyopo shambani mazee.

Kuwashwa na pilipili iliopo shambani ndio udaku na umbeya, na matokeo yake ni kutoelewana mazee.


Sheria ya dhahabu inasemaje?
 
Abdulhalim, wewe unaupeo mkuu, ubarikiwe.
Hao jamaa wanodakia imani za watu na kujifanya wanauchungu nazo, matatu;
1. Wanazipenda sana imani za wenzao, ila wanaona soni kujitokeza waziwazi kwamba zao feki ila za wenzao ndio bora.
2. Ni wajinga unoelekea kuwa 'up....bavu'
3. Ni mkakati maalumu wa kuifanya imani yao (ya kuazima kwa mijitu mieupe)eti ndiyo bora!

Kati ya Ukristo/ Uislamu upande mmoja na kutoamini ukristo/uislamu kipi kimeazimwa kwa "mijitu mieupe"? You are just exposing your racist disposition.
 
Uhuru unaanza na kuishia kwenye sheria ya dhahabu, mazee. Maneno yako yanayofuata baada ya hilo swali yapo out of context, watu wa dhehebu X kuzungumzia Mr.Y na utakatifu wake hakuna mafungamano na yeyote asiyehusika na dhehebu husika, unless uniambie unawashwa na pilipili iliyopo shambani mazee.

Kuwashwa na pilipili iliopo shambani ndio udaku na umbeya, na matokeo yake ni kutoelewana mazee.

Hapo unakosea sana. Uhuru unaanzia na kuishia kwenye haki za binadamu. Nyerere mwenyewe, mwanzoni alikataa urais wa maisha na hata huo ubaba wa taifa ameupokea mwishoni sana tena baada ya kuona kuwa legacy zake mnaanza kuzikimbia.

Kama kweli Mungu yupo, kwanini watu muwe mnahangaika kumfanya Nyerere awe saint wakati hiyo ni kazi ya Mungu.
 
Hapo unakosea sana. Uhuru unaanzia na kuishia kwenye haki za binadamu. Nyerere mwenyewe, mwanzoni alikataa urais wa maisha na hata huo ubaba wa taifa ameupokea mwishoni sana tena baada ya kuona kuwa legacy zake mnaanza kuzikimbia.

Mazee ni vizuri kuelewa kwanza unacho-respond. Nachelea
kuwa unayo tayari conclusion yako na kudhani inaaply kufit maelezo yangu. Just ushauri tu mazee..
Kama kweli Mungu yupo, kwanini watu muwe mnahangaika kumfanya Nyerere awe saint wakati hiyo ni kazi ya Mungu.

Mazee sipo kwenye hiyo panel ya kuchagua watakatifu na wala sijasema popote kuwa nasapoti wanachofanya. Msimamo wangu upo wazi toka mwanzo kama ulisoma na kuelewa trend ya thread. Nachelea kurejea nilichokwisha kukisema. Take your time kuelewa wengine wanachoongea mazee..its free but priceless.
 
Back
Top Bottom