Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Kama binadamu wote tulivyo ndivyo na Nyerere alivyokuwa,Biblia inasema wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka kwa sababu hakuwa mkamilifu,hakuna binadam aliye mkamilifu,udhaifu wa Nyerere unaonekana dhahiri alipoachia madaraka ya kuongoza chama cha Tanu na kumkabidhi mtu aliyekuwa dhaifu wa kutupwa Kawawa
kulikuwa na watendaji wengi wenye uwezo mzuri kama wakina Kambona,Msekwa,Mwanjisi wengi tu ambao walikuwa very intelligent,Nyerere aliogopa kuwaachia mmojawapo wa hao kwa sababu alihofia watakuja kumzidi na kuchukua nafasi yake,kama binadamu naye alikosea mambo mengi hasa hili la kumpa uenyekiti wa chama mtu ambaye ni dhaifu
Nyerere alifanya kazi na watu wote hao na alijua uwezo wao,Rashidi Kawawa alikuwa hana sifa hata kidogo ila kutokana na woga wa Nyerere kumpa mwenye uwezo aliamua kumwachia
kumbe nyerere naye ni binadam na alijaa madhaifu kama binadamu sisi
 
Kwa hiyo unataka nini?mtu katangulia mbele ya haki.kwanza yaelekea mpaka kifo chake we hujazaliwa.peleka pumba zako zanziba na somalia

acha kutoa povu mkuu,soma mada na toa maelezo kama ni kweli kawawa naye alikuwa dhaifu
 
ni vyema ungeanza kwa kusema haya ni maoni yangu, then uendelee.. usipende kufanya conclusive presentation kwenye kitu ambacho haukijui.

Madhaifu ya nyerere yapo kwani hata yeye alikuwa binadamu wa kawaida, ila ukweli kuwa tangu baada yake hatujapata tena kiongozi mwenye walau kufanya 75% ya yale mema aliyofanya HAUPINGIKI KWA HOJA.

sifa za kiongozi yeyeote ni pamoja kuhakikisha kuwa kila wakati yupo kwenye game no matter what!. kawawa alikuwa ni mzalendo wa kweli wa nchi hii hakuwa na majivuno hata kidogo na ndo maana aliaminika sasa enzi zake.
 
Upuuzi tu, kama angekuwa hivyo hata asingemwachia huyo Kawawa (may both R.I.P) angewandaa wanae kumrithi kama viongozi wengi wa Afrika wanavyofanya, jamani mui muue haki yake mpe.
 
kijana acha kuwa na fikra mgando! Nyerere alikuwa na nia ya dhati! kama angekuwa na tamaa angejilimbikizia mali! Nyumba yake amejengewa na JKT.
 
Kama binadamu wote tulivyo ndivyo na Nyerere alivyokuwa,Biblia inasema wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka kwa sababu hakuwa mkamilifu,hakuna binadam aliye mkamilifu,udhaifu wa Nyerere unaonekana dhahiri alipoachia madaraka ya kuongoza chama cha Tanu na kumkabidhi mtu aliyekuwa dhaifu wa kutupwa Kawawa
kulikuwa na watendaji wengi wenye uwezo mzuri kama wakina Kambona,Msekwa,Mwanjisi wengi tu ambao walikuwa very intelligent,Nyerere aliogopa kuwaachia mmojawapo wa hao kwa sababu alihofia watakuja kumzidi na kuchukua nafasi yake,kama binadamu naye alikosea mambo mengi hasa hili la kumpa uenyekiti wa chama mtu ambaye ni dhaifu
Nyerere alifanya kazi na watu wote hao na alijua uwezo wao,Rashidi Kawawa alikuwa hana sifa hata kidogo ila kutokana na woga wa Nyerere kumpa mwenye uwezo aliamua kumwachia
kumbe nyerere naye ni binadam na alijaa madhaifu kama binadamu sisi


Unasema "KUMBE NYERERE NAYE ALIKUWA BINAADAMU" kwani kuna mtu au yeye mwenyewe alishawahi kusema Nyerere ni malaika? Hoja dhaifu!
 
Mwenyeheri, DIKTETA Mwalimu Julius Kambarage Nyerere baba wa Taifa la Tanzania

 
kijana acha kuwa na fikra mgando! Nyerere alikuwa na nia ya dhati! kama angekuwa na tamaa angejilimbikizia mali! Nyumba yake amejengewa na JKT.

hoja hapa ni kuogopa wenye uwezo wa kuongoza kuWAWEKA KARIBU
 
Hakuna aliyekamilika duniani,ingawa nyerere alipendwa sana lakini ukweli uko palepale mapungufu alikuwa nayo hasa mengine yako wazi mfano kuwapeleka waharifu bila kupitia mahakamani kwa kipindi hicho,ila mapungufu ya nyerere yamemezwa na mazuri mengi sana aliyotutendea na kuifanyia nchi yake ndo maana sio vizuri sana kujadili mapungufu yake
 
hoja hapa ni kuogopa wenye uwezo wa kuongoza kuWAWEKA KARIBU

mkuu huku jf watu wengi wanamtukuza nyerere kupindukia, hawawezi kukuelewa.
Nyerere ndio alomaliza uchumi wa nchi yetu kwa sera zake mbovu,
ndie alielea matatizo mengi kama ya udini na muungano kwa kuwanyima wananchi uhuru wa kusema.

Wanaomtetea watuambie kilicho mkimbiza mzee mtei serekalini kama sio madudu ya nyerere.

Chakushangaza leo anataka kupewa utakatifu.
 
mkuu huku jf watu wengi wanamtukuza nyerere kupindukia, hawawezi kukuelewa.
Nyerere ndio alomaliza uchumi wa nchi yetu kwa sera zake mbovu,
ndie alielea matatizo mengi kama ya udini na muungano kwa kuwanyima wananchi uhuru wa kusema.

Wanaomtetea watuambie kilicho mkimbiza mzee mtei serekalini kama sio madudu ya nyerere.

Chakushangaza leo anataka kupewa utakatifu.

Mkuu mimi nawashangaa sana hawa watu wanaomtetea kwa nguvu zote,hivi wale wote waliokimbia na kujiondoa kwenye utawala wake walikuwa wabaya? Mtei angesikilizwa leo tungekuwa mbali kuliko wakenya,Kambona angesikilizwa leo tusingekuwa hapa tulipo,yule mzee alikuwa anawaogopa sana wenye uwezo wa kufikiri,alikuwa hataki kuachia madaraka
 
Kama binadamu wote tulivyo ndivyo na Nyerere alivyokuwa,Biblia inasema wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka kwa sababu hakuwa mkamilifu,hakuna binadam aliye mkamilifu,udhaifu wa Nyerere unaonekana dhahiri alipoachia madaraka ya kuongoza chama cha Tanu na kumkabidhi mtu aliyekuwa dhaifu wa kutupwa Kawawa
kulikuwa na watendaji wengi wenye uwezo mzuri kama wakina Kambona,Msekwa,Mwanjisi wengi tu ambao walikuwa very intelligent,Nyerere aliogopa kuwaachia mmojawapo wa hao kwa sababu alihofia watakuja kumzidi na kuchukua nafasi yake,kama binadamu naye alikosea mambo mengi hasa hili la kumpa uenyekiti wa chama mtu ambaye ni dhaifu
Nyerere alifanya kazi na watu wote hao na alijua uwezo wao,Rashidi Kawawa alikuwa hana sifa hata kidogo ila kutokana na woga wa Nyerere kumpa mwenye uwezo aliamua kumwachia
kumbe nyerere naye ni binadam na alijaa madhaifu kama binadamu sisi
Wewe wasema
 
Hivi unaijua tamaa ya madaraka au unaongea tu mkuu???????????????
 
Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka kwa sababu hakuwa mkamilifu,hakuna binadam aliye mkamilifu,udhaifu wa Nyerere unaonekana dhahiri alipoachia madaraka ya kuongoza chama cha Tanu na kumkabidhi mtu aliyekuwa dhaifu wa kutupwa Kawawa kulikuwa na watendaji wengi wenye uwezo mzuri kama wakina Kambona,Msekwa,Mwanjisi wengi tu ambao walikuwa very intelligent,Nyerere aliogopa kuwaachia mmojawapo wa hao kwa sababu alihofia watakuja kumzidi na kuchukua nafasi yake

Kuwaza kwako rafiki yangu ni kufupi sana. You run into conclusions. Kufikia conclusion kwamba Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka kwa kuwa alimwachia Kawawa uwaziri Mkuu badala ya kina Kambona kama ungekuwa mwanafunzi wangu wa political science ningekupa 8% ya upendeleo.

Je unasahau Nyerere, japo ya kuwa raisi kwa mika 23, alikuwa raisi mojawapo wa kwanza Africa kuachia madaraka kwa hiari? Na kumbuka alitaka kuachia mapema, lakini akasema basi ngoja angalau nisaidie kurekebisha makali ya vita ya Kagera. Angalia kwamba kina Museveni waliokuja baada ya Nyerere wamekuwa maraisi muda mrufu zaidi ya Nyerere!

Angalia kina Puttin wamerudi tena kwenye uraisi!

Nyerere alikjua nini kifanyike baada ya uhuru ili kuwafaidisha watanzania wote, vijijini na mijini, ki-elimu, afya na umasikini. akawa na mtazamo wa kisiasa wenye kupambana na haya mambo matatu; ujinga (elimu kwa wote), maradhi (huduma ya afya kwa wote) na umasikini (umiliki wa umma wa uchumi).

Kina Kambona walikuwa na mtazamo tofauti, walitaka tufuate sera za kibepali (capitalism). Nyerere akawa ana argue kwamba capitalism itazua tabaka la watanzania masikini sana na wachache matajiri sana - watwana na mabwana. Akasema mkiwinda mnyama kijijini, ni vema mwanakijiji apewe mgawo sawa, hata kama hakuhusika moja kwa moja kuwinda kwa kuwa alikuwa na kazi nyingine kijijini. (Kenyatta alisema hapana, waindaji wanapaswa kupata maini, na kama hukuwapo uambulie kitakachobaki baada ya wawindaji kuchukua sehemu nzuri nzuri!)

Sasa niambie, ungekuwa wewe ndio Nyerere, katika mazingira hayo, ungewaachia nchi kina Kambona ambao ukijua wazi mna mitazamo tofauti katika uongozi wa nchi? Nyerere alichofanya ni tamaa ya madaraka au rational thinking?

Unafikiri nini kingetokea iwapo angewaachia kina Kambona? Angefanya hivyo nadhani leo hii tungekuwa na historia inayosema Nyerere ailikufa kifungoni mwaka 1961, na wengi wetu lecture halls za UDSM tungekuwa tunazisikia redioni tu. Huenda baba yako hata darasa la saba asingefika!
 
Kuwaza kwako rafiki yangu ni kufupi sana. You run into conclusions. Kufikia conclusion kwamba Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka kwa kuwa alimwachia Kawawa uwaziri Mkuu badala ya kina Kambona kama ungekuwa mwanafunzi wangu wa political science ningekupa 8% ya upendeleo.

Je unasahau Nyerere, japo ya kuwa raisi kwa mika 23, alikuwa raisi mojawapo wa kwanza Africa kuachia madaraka kwa hiari? Na kumbuka alitaka kuachia mapema, lakini akasema basi ngoja angalau nisaidie kurekebisha makali ya vita ya Kagera. Angalia kwamba kina Museveni waliokuja baada ya Nyerere wamekuwa maraisi muda mrufu zaidi ya Nyerere!

Angalia kina Puttin wamerudi tena kwenye uraisi!

Nyerere alikjua nini kifanyike baada ya uhuru ili kuwafaidisha watanzania wote, vijijini na mijini, ki-elimu, afya na umasikini. akawa na mtazamo wa kisiasa wenye kupambana na haya mambo matatu; ujinga (elimu kwa wote), maradhi (huduma ya afya kwa wote) na umasikini (umiliki wa umma wa uchumi).

Kina Kambona walikuwa na mtazamo tofauti, walitaka tufuate sera za kibepali (capitalism). Nyerere akawa ana argue kwamba capitalism itazua tabaka la watanzania masikini sana na wachache matajiri sana - watwana na mabwana. Akasema mkiwinda mnyama kijijini, ni vema mwanakijiji apewe mgawo sawa, hata kama hakuhusika moja kwa moja kuwinda kwa kuwa alikuwa na kazi nyingine kijijini. (Kenyatta alisema hapana, waindaji wanapaswa kupata maini, na kama hukuwapo uambulie kitakachobaki baada ya wawindaji kuchukua sehemu nzuri nzuri!)

Sasa niambie, ungekuwa wewe ndio Nyerere, katika mazingira hayo, ungewaachia nchi kina Kambona ambao ukijua wazi mna mitazamo tofauti katika uongozi wa nchi? Nyerere alichofanya ni tamaa ya madaraka au rational thinking?

Unafikiri nini kingetokea iwapo angewaachia kina Kambona? Angefanya hivyo nadhani leo hii tungekuwa na historia inayosema Nyerere ailikufa kifungoni mwaka 1961, na wengi wetu lecture halls za UDSM tungekuwa tunazisikia redioni tu. Huenda baba yako hata darasa la saba asingefika!
Synthesizer,
You can not educate an educated fool.
 
Back
Top Bottom