Nyaronyo Kicheere 'ahamia CCM'

Nyaronyo Kicheere 'ahamia CCM'

!
!
Jina la huyu bwana huwa nalipenda mno na sijawahi kulisikia mahali pengine kokote, Nyaranyo Kicheere teh teh teh teh
 
CCM inapendwa jamani, tuache utani

Nimegundua wale wapinzani wenu huwa wanatoa mapovu bure kuwajibu kumbe huwa hata hamsomi threads au kama mnazisoma basi huwa mnakuwa na majibu mliyokariri maana hata hamuelewi fasihi
 
He thinks great good ndo hazina tulizo nazo katika tasnia ya habari
 
Nadhani jukwaa la siasa ndio la hovyo kabisa Jf kwa sasa!
Watu hawafikiri,hawasomi,kazi ni kutetea vyama tu!
 

Huyu si alisema Kikwete anamchukia bila ya sababu? Kafuata nini tena huko CCM?


https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...cheere-kikwete-ananichukia-bila-sababu-3.html

Nyaronyo-Mwita-Kicheere.jpg
Umeielewa vizuri lkn hiyo makala hapo juu..!? Nakushauri usome tena mkuu.
 
Idadi ya wachumia tumbo inaongezeka!!! Ila kamnanga jamaa kuwa eti kafumbia macho EPA, Wauza unga, majangili!!! Toba rabi, eti ingekuwa CDM hawa watu wangekuwa gerezani, which is the fact!!! Kweli huyu ana akili na inajumlisha na kutoa!!! Nina hakika kwake 1+1 =10.
 
Hahaa,
nimekumbuka makala ya nyaronyo kicheere inayohusu kubadili jina na kujiita nyaronyo kicheere kikwete.
Sababu aliyotoa kufikia uamuz huo ni kwamba kwa kujiita kikwete ataweza kuwa tajir haraka kama watoto wa mkuu wetu wa nchi.
 
Fasihi andishi safi sana kamanda nyahoro kichere
 
Hii makala imenifanya niwatambue vilaza wa Jf.

Wakati mwingine watu tunajibizana na ma-robot humu pasipo kujua.
 
Back
Top Bottom