Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,505
Tena Nyaronyo kaitukana vibaya CCM lakini ajabu eti watu wanashangilia na kusema Chadema inazidi kufa kwa watu kama Nyaronyo kwenda CCM. Wanashindwa kusoma makala yenyewe vizuri wanaishia kushangilia ujinga. Nyaronyo makala zake nyhingi anatumia lugha ya Picha na kama una akili fupi huwezi kumuelewa vema au ukiishia kusoma kichwa cha habari unapoteaNimesoma post ya kwanza na nyingine kama nne hivi nikagundua kwamba watu huwa wanasoma heading na kuanza kuchangia! Kwenye hii post eti unakuta mtu anamini kwamba Nyaronyo kaenda CCM na kuuliza kafuata nini huko wakati alikuwa akiitukana!