Nyaronyo Kicheere 'ahamia CCM'

Hebu ngoja niandike -----
Ni kweli kabisa hili gazeti la m a w i o sijui limewakosea nini.

hata neno mwa.na.ha.li.si jaribu kuandika sijui wanabifu gani na ngoja nijarbu jina la gazeti lingine MZALENDO..
Hakika mzalendo limekubali.. sijui ndo mafisadi washaanza kuiteka jf!!!????
cc Matola Mzito Kabwela
 
Last edited by a moderator:

kasoma sheria za nini mbona vi vihoja mahakamani?tunamtakia kila la kheri ana lake jambo, hapendi watu wanaona uchungu na nchi ok tumemuelewa
 
Kweli naakubali 2mekaa miaka 9 bila raisi, ngoja 2malizie umebaki mmoja 2
 

mwenyekiti wa kuchekacheka nasikia ameandaa mkutano wa kumkabidhi kadi
 
hahahaha napenda sana uandishi wa kicheere...ccm sijui useme nn ili wabadilike? mfano mwaka 2007/08 kikwete akihutubia ktk viwanja vya mashijaa bukoba alilalamika juu ya mchwa anayetafuna halmashaur ya bk.....huwez kuamin hakuna kilichotokea mpaka mwaka jana mwishon madiwan wa ccm wanaanza kushikana uchawi!!!! dhaifuuuuuuuuu
 
mwanasheria nguli mkali wa fasihi umefikisha ujumbe kwa mkuu wa kaya.mzee wa tabasamu,mtu wa kusamehe ingawa anawajua majangili,wezi ,wauza poda,.......kweli nyaronyooooo kicheeeeeeere umetisha

mkuu wewe ndo umemwelewa mtoa uzi hapo maana wengine wanaweweseka hawajui kama hiyo stori ni kweli au hapana. fasihi imetumika vilivyo kuwakilisha ujumbe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…