Mkuu mbona unaogopa nyaronyo kuja lumumba?
ni mchumia tumbo sana.
Mkuu mbona unaogopa nyaronyo kuja lumumba?
Haaaaaaaa lione lilivofurahi.haaaaa asiejua maaana usimwambie maanaNaam, ngoma inogile, tutampokea tundu lissu na pro.safari na baregu sio mda mrefu
Naam, ngoma inogile, tutampokea tundu lissu na pro.safari na baregu sio mda mrefu
Huyu si alisema Kikwete anamchukia bila ya sababu? Kafuata nini tena huko CCM?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...cheere-kikwete-ananichukia-bila-sababu-3.html
![]()
Mwandishi Mahiri wa Makala na Mwanasheria wa Jijini Dar es Salaam Nyaronyo Mwita Kicheere amehamia CCM, kati ya sababu kubwa zilizomhamisha CHADEMA, anasema Viongozi wake hawana sura ya Tabasamu, tofauti na viongozi wa CCM, Kikubwa zaidi anasema ameamua kuipenda CCM kwa kuwa Mwenyekiti wake Jakaya Kikwete ni mtu Rahimu, anayependa watu wake na kuwahurumia kutokana na magumu ya maisha, Juzi juzi ametangaza jinsi alivyopelekewa orodha ya majangili 40 wanaotikisa mbuga zetu lakini hakuwachukulia hatua yeyote kwa kuwa wanafanya ujasiriamali kujikimu na wanaweza kuwekeza. Nyaronyo amesema pia, anahamia CCM kwani kesho au keshokutwa akikamatwa na ngozi ya Chui, ya Mamba, au meno ya Tembo atapata msamaha kama wale 40 waliosamehewa na Kikwete.
Nyaronyo anasema, CHADEMA wangekuwa madarakani leo, ambao viongozi wao hawana tabasamu, akamtaja Mbowe Slaa, Lissu na Lwakatare nchi isingekalika, maana ni wazee wa visasi, maana Wezi wangekamatwa, watekaji wangesakwa, wauza dawa za kulevya wangekuwa wote gerezani.
Tena akaongeza kuwa hii si mara ya kwanza Kikwete kusamehe. Amesamehe Majangili 40, kama alivyosamehe wezi wa EPA, Nyaronyo anasema Tumshukuru Mungu kwa kuwa na Kikwete, Rais anayesamehe. = Chanzo gazeti la -----
Huyu si alisema Kikwete anamchukia bila ya sababu? Kafuata nini tena huko CCM?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...cheere-kikwete-ananichukia-bila-sababu-3.html
![]()
Unajua unaonesha wewe ni jamii ya mlugo kabisa?
Haaaaaaaa lione lilivofurahi.haaaaa asiejua maaana usimwambie maana
Naam, ngoma inogile, tutampokea tundu lissu na pro.safari na baregu sio mda mrefu
Sijamwelewa hapa. Is this really a parting shot?
Ccm inapendwa jamani, tuache utani
Naam, ngoma inogile, tutampokea tundu lissu na pro.safari na baregu sio mda mrefu
kumbe mnatishia nyau?
Mkuu soma vizuri, Jamaa amewakilisha kifasihi.